Kabla ya mkutano kuanza, matangazo yaliagiza anayetaka kinywaji angeweza kununua kwa pesa yake, yaani soda hata bia. hivyo wao walishaanza kitambo.
Hao wa updp walilewa pombe, viongozi wetu wengi wamelewa madaraka.
Waliagiza watu wajileweshe kwa gharama yao wenyewe, sawa na serikari yetu inavyotumia rasilimali yetu kisha kudai mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyewe, na kuagiza wananchi wajenge shule zao wenyewe.
Mgombea aliongea kama utani kwa lengo la kuchekesha kama kiongozi wetu mkuu anavyofanya hata misibani.