CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
lara 1 umesahau mbinu moja hivi inatumiwa sana na watu wafanyao kazi za field. anaondoka asubuhi na mkewe then ana mdrop ofisini kwake naye anakwenda kwake akifika anajipanga kutoka zake kwenda field... hapo ndo anapanga na miadi y a kukutana na kidate chake... jioni huuuyooo kampitia tena mkewe hao home.. mume hatoki kwenda bar wala kwenye vijiwe kumbe mchana kapiga CHAPUOOO!!!!!!
Last edited by a moderator: