Wakubwa zangu shikamoooni!!!!!!!
Peopleeeeeeesss NIAJE!!!!!!!!!!!!!
Bwana wale ndugu zetu sugu, wataka yote kwa pupa, wazee wa MORE is prefered to LESS, wanaoenda contrary na law of demand kama LUXURY GOODS, The Higer the price they are charged the higher their demand!!!!!!!! Kwa lugha nyepesi ni CHEATERSSSSSSSSSS!!!!!!!! wamebuni mbinu mpya ya KUFAIDI MTI WA KATI bila bugdha za wapenzi au wake/waume zao. Mbinu hii ni ya KIMAFYA zaidi na si rahisi kuishtukia hadi siku ya 60.
Ujue mi ofisini kuna tabia flani hivi mida ya saa 6 mpaka 8 watu hawaonekani, na kila mtu kaondoka kivyake si ndo nikajua tu wanaenda KULA LUNCH bana!!!!!
Sasa juzi kati hapa kuna mtu aliniomba nimsaidie biashara yake ya Kussuply vitu mahotelini na bar yeye anafanya MITIHANI. Nikakubali bana, Kila hoteli nikifika saa 6,7,8 VYUMBA VIMEJAAA!!!!!!!!!! Basi mi nadeliver mzigo nasepa!!!! Curiousty killed the Cat, ikabidi niulize "Inamaana BIASHARA NZURI HIVO HADI SAA 6 MMEJAZA VYUMBA VYOTE????" Si ndo akatiririka siri za biashara "HAWA WENGI SHORT TIME TU, WAMETOKA MAKAZINI HUKO WANAKUJA KUSHITUA VIWILI VYA FASTA AFU WANARUDI KUENDELEA NA KAZI!!!!!!!!!!! WENGINE WANAKUJA NA WANAFUNZI HAPA AFU WATOTO WANARUDI KWAO SAFI!!!!!!!!!!! we njoo saa 10 utakuta vyumba vipo teleeee!" DUUUUUUUUUUUUUH!!!!!!! UTRATRAAAAAA!!!!!! aadhubillahimina shaytwani rajim!
Si ndo nikajuaaaaa!!!!!!!! Ndo maana watu wakitoka lunch wanarudi na mood nzuri!!!!!!!! Afu badala ya lisaa wanakaa hadi 2 au 3 WALA NINI HICHO WENZETU KAMA SIO BAMIA !!!!! Ndomaana Accountant UKIFATA CHEKI MCHANA ANAFURAHI HUYO, OLE WAKO UMZUKIE ASUBUHI, ALMANUSURA KUKUTWANGA KICHWA!!!!! Nikasema ipo haja kumuuliza mtu anakula wapi NIMUIBUKIE HUKO HUKO isijekuwa ananizuga!!!!!!! Kweli watu nundaaaa, jioni unarudi kwa mumeo/mkeo mwepesiiiiii wa roho, na mchoooovu kwa KAZI za mchana kutwaaa!!!!!!!! SAA KUMI NA MOJA JIONI WIFE/HUBBY YUPO SEBULENI ANACHEZA NA WATOTO!!!!!!!!!!!!
SASA MTU WAKO ANAECHIT HIVI UTAMJUAJE!!!!!!!/ KUMI NA MOJA YUPO NDANI KAJAA TELEEEE! SIMU JUU YA MEZA!!!!! Ukimhisi vibaya si dhambi walakini? Na ukimuamini ndo anakukula kisogo hivoooo!
rumuor has it zamani midingi ilikuwa inasimamia vidole bana !yani mtu ka analima vile!Mi bado sijaelewa!!!!!!1 Ina maana dushelele za zamani ZILIKUWA KUBWA SANA!? AMA SHUGHULI ILIKUWA PEVU ZAIDI!? Kuliko sasa ama aje? Badi niko njia panda mwenzio.
Mi bado nashangaa ama kwa vile siko Sali Dalama! Inamaana Mbunye huko ziko njenje tu kama za kuku? Sasa hapo ndo wafanyakazi wanalalamika kwamba hawana hela na serikali eti imebana hela? Mbona hela zinaishia gesti? Je kuna kizazi cha watu timamu hapo? Vitoto vinavyozaliwa huko si vitakuwa kama baba au mama ambae kila lunch anastua mbunye? (Genetics??) Wenye wake wasomi wanaofanya lazi huko mmeipata hii?
ha! na mimi ndo nasikia hii.sasa kwa kuwa nishajua;na mimi leo ni leo! lunch ikifika tu, huyoooo! ala!
We wiyelele embu tuliza ball hilo, yaani mbunye ya beki tatu wako haikutoshi tu mpaka za ofisini unazitamani!!!!!!!!! Tutakupoteza mapema wiyelele jiangalie!!!!! Ohooooooooo!!!!!
mimi nilishakunywa kikombe cha bibi ambocho hunifanya nisiweze kunasa kokote.hata kama kuna sumaku;mimi napita tu!heheheeheheeeee lazima ujikute uko temeke kwa kubandana looh maana inaweza kuwa si mke wa mtu ila ukasahau badala ya kupaka ky kwa ajili ya harahaharaka na kuzingatia muda wa lunch unapaka super glue, weeeh mwenyewe utapiga simu temeke hosp wakawabandue looh.
wakubwa zangu shikamoooni!!!!!!!
Peopleeeeeeesss niaje!!!!!!!!!!!!!
Bwana wale ndugu zetu sugu, wataka yote kwa pupa, wazee wa more is prefered to less, wanaoenda contrary na law of demand kama luxury goods, the higer the price they are charged the higher their demand!!!!!!!! Kwa lugha nyepesi ni cheaterssssssssss!!!!!!!! Wamebuni mbinu mpya ya kufaidi mti wa kati bila bugdha za wapenzi au wake/waume zao. Mbinu hii ni ya kimafya zaidi na si rahisi kuishtukia hadi siku ya 60.
Ujue mi ofisini kuna tabia flani hivi mida ya saa 6 mpaka 8 watu hawaonekani, na kila mtu kaondoka kivyake si ndo nikajua tu wanaenda kula lunch bana!!!!!
Sasa juzi kati hapa kuna mtu aliniomba nimsaidie biashara yake ya kussuply vitu mahotelini na bar yeye anafanya mitihani. Nikakubali bana, kila hoteli nikifika saa 6,7,8 vyumba vimejaaa!!!!!!!!!! Basi mi nadeliver mzigo nasepa!!!! Curiousty killed the cat, ikabidi niulize "inamaana biashara nzuri hivo hadi saa 6 mmejaza vyumba vyote????" si ndo akatiririka siri za biashara "hawa wengi short time tu, wametoka makazini huko wanakuja kushitua viwili vya fasta afu wanarudi kuendelea na kazi!!!!!!!!!!! Wengine wanakuja na wanafunzi hapa afu watoto wanarudi kwao safi!!!!!!!!!!! We njoo saa 10 utakuta vyumba vipo teleeee!" duuuuuuuuuuuuuh!!!!!!! Utratraaaaaa!!!!!! Aadhubillahimina shaytwani rajim!
Si ndo nikajuaaaaa!!!!!!!! Ndo maana watu wakitoka lunch wanarudi na mood nzuri!!!!!!!! Afu badala ya lisaa wanakaa hadi 2 au 3 wala nini hicho wenzetu kama sio bamia !!!!! Ndomaana accountant ukifata cheki mchana anafurahi huyo, ole wako umzukie asubuhi, almanusura kukutwanga kichwa!!!!! Nikasema ipo haja kumuuliza mtu anakula wapi nimuibukie huko huko isijekuwa ananizuga!!!!!!! Kweli watu nundaaaa, jioni unarudi kwa mumeo/mkeo mwepesiiiiii wa roho, na mchoooovu kwa kazi za mchana kutwaaa!!!!!!!! Saa kumi na moja jioni wife/hubby yupo sebuleni anacheza na watoto!!!!!!!!!!!!
hiyo story hata mie nshawahi kuisikia sakapal... Mh me huwa sihitahi kujua kilichopo nyuma ya pazia.. Ye afanze madudu yake hukoo ila heshima iwepo... Make hawa wenzitu ni ngumu kumesa mambo yao ukiyasikia.. Wanamalizia hata maofisini... Jikoni... Chooni bila woga!!!
lara 1 mi sikuwezi ila unayoongea ni kweli.Umejipanga vipi kunusuru ndoa ya Wiyelele inayovunjwa na housegirl wake? Uko wewe, Kongosho, Zion Daughter, Badili Tabia, Asprin, Preta na Ciello!!Mi ningependa Wiyelele akutane na wewe live ili umshushie vitu vyako.
Wabongo ubunifu wetu ni kwenye maovu tu kama babu zetu na uchawi wao. No creativity on positive matters.
Ninavyosikia ndege wanasafiri kwenda kuloga sio kurahisisha usafiri wao wa kawaida. e.g. mchawi anaishi mwanza anataka kuja dar kufanya shopping hawezi kuja na ndege yake atapanda basi au ndege ya wazungu ila kama wanakuja kuroga ndoo wanapanda ndege zao. Faida iko wapi hapo?Hahaha hapo kwenye uchawi umenifurahisha but pengine ndo ungekuwa ndio innovation yetu hiyo kama kusingekuwa na kulinganisha na vya wazungu. Kuna tofauti gani kuruka na ungo na kuruka kwa ndege? Wangeendelezwa na kukubalika pengine wangetutengenezea ndege za mapipa hahahahahhah