Mfumo mpya wa cheatting waingia!!

Sasa UNAMBAMBAJE GAIDI LINALOTUMIA MBINU HII DUME!!!!! Manake aweza CHEAT TO ETERNITY usistuke, ukapewa hadi watoto wasio wako!

Inasikitishaaaa...
Mi wa kwangu nimemmezesha ki-chip kinachorekodi kila anachoongea.
The other day alikua anatongozwa live namsikia naye saut kidogo ishaanza kulegea nikaona nimpigie simu kuepusha yasifike mbali.
Ila hajui....
 
Inanistua sana na kushusha dhaman ya mwanamke to some extent. Naona kama uchi uchi.

*CH* si ndo wanaume wanaoupenda kuliko chochote duniani? AYA NIMEWEKA HIYO YA KIMAMA MCHUNGAJI!!!!!!! Happy NOW!!!!
 
Wakubwa zangu shikamoooni!!!!!!!

Peopleeeeeeesss NIAJE!!!!!!!!!!!!!


Bwana wale ndugu zetu sugu, wataka yote kwa pupa, wazee wa MORE is prefered to LESS, wanaoenda contrary na law of demand kama LUXURY GOODS, The Higer the price they are charged the higher their demand!!!!!!!! Kwa lugha nyepesi ni CHEATERSSSSSSSSSS!!!!!!!! wamebuni mbinu mpya ya KUFAIDI MTI WA KATI bila bugdha za wapenzi au wake/waume zao. Mbinu hii ni ya KIMAFYA zaidi na si rahisi kuishtukia hadi siku ya 60.

Ujue mi ofisini kuna tabia flani hivi mida ya saa 6 mpaka 8 watu hawaonekani, na kila mtu kaondoka kivyake si ndo nikajua tu wanaenda KULA LUNCH bana!!!!!

Sasa juzi kati hapa kuna mtu aliniomba nimsaidie biashara yake ya Kussuply vitu mahotelini na bar yeye anafanya MITIHANI. Nikakubali bana, Kila hoteli nikifika saa 6,7,8 VYUMBA VIMEJAAA!!!!!!!!!! Basi mi nadeliver mzigo nasepa!!!! Curiousty killed the Cat, ikabidi niulize "Inamaana BIASHARA NZURI HIVO HADI SAA 6 MMEJAZA VYUMBA VYOTE????" Si ndo akatiririka siri za biashara "HAWA WENGI SHORT TIME TU, WAMETOKA MAKAZINI HUKO WANAKUJA KUSHITUA VIWILI VYA FASTA AFU WANARUDI KUENDELEA NA KAZI!!!!!!!!!!! WENGINE WANAKUJA NA WANAFUNZI HAPA AFU WATOTO WANARUDI KWAO SAFI!!!!!!!!!!! we njoo saa 10 utakuta vyumba vipo teleeee!" DUUUUUUUUUUUUUH!!!!!!! UTRATRAAAAAA!!!!!! aadhubillahimina shaytwani rajim!

Si ndo nikajuaaaaa!!!!!!!! Ndo maana watu wakitoka lunch wanarudi na mood nzuri!!!!!!!! Afu badala ya lisaa wanakaa hadi 2 au 3 WALA NINI HICHO WENZETU KAMA SIO BAMIA !!!!! Ndomaana Accountant UKIFATA CHEKI MCHANA ANAFURAHI HUYO, OLE WAKO UMZUKIE ASUBUHI, ALMANUSURA KUKUTWANGA KICHWA!!!!! Nikasema ipo haja kumuuliza mtu anakula wapi NIMUIBUKIE HUKO HUKO isijekuwa ananizuga!!!!!!! Kweli watu nundaaaa, jioni unarudi kwa mumeo/mkeo mwepesiiiiii wa roho, na mchoooovu kwa KAZI za mchana kutwaaa!!!!!!!! SAA KUMI NA MOJA JIONI WIFE/HUBBY YUPO SEBULENI ANACHEZA NA WATOTO!!!!!!!!!!!!

dawa ni kuweka tego(wake zetu) a.k.a kitanzi kotekote tigo na k. mtu akizama ananasa.
 
dawa ni kuweka tego(wake zetu) a.k.a kitanzi kotekote tigo na k. mtu akizama ananasa.

Hahahaaaaaa! KINO tumeshajua JINSI YA KUTEST KAMA TEGO LIPO AU SHWARI!!!!!!! Dawa ngogo tu, UNAPITISHA FUNGUO/KITU CHA CHUMA TOKA PAJA LA KUSHOTO HADI LA KULIA!!!!!!!!!!! BAAAAAAAAASS!!! KAMA TEGO LIPO CHUMA KILE KIKIFIKA USAWA WA K KIAPIGWA NA KITU KA RADI, KINATETEMEKA KABISA, KAMA CHEPESI KINAKATIKA!!!!!!!! UNAJUA HAPA UTAMU HAKUNA!!!!!!!!! NI KUNASA TU!!!!!!!!!!! Unamwambia kiupole tu, HAYA VAA PICHU UENDEEEE KWA MUMEO!!!!!!!!! Watu nundaaaaaa! Usione wanatembea na SPOKU!!!!!!!! za kutest TEGO!
 
yani lara 1 huu uzi na jinsi watu wanavotiririka umepigia mstari kuwa pipo are cheating mchana kweupeeeee.
Hapa ofsn siku moja mdada kaaga anenda kula msosi, bahati mbaya akaacha PC yake on nilivokuwa mshakunaku nikazama kwa outlook! Niliyoyakuta.........ni majibizano ya kutoka kila mmoja na njia yake then wakutane parking waende kulimega!
Next time bi dada akaaga anaenda lunch, aliporudi akaanza kutafuta mtu wa kuagiza lunch.Nkajiuliza hiyo lunch aliyoenda 2hrs imekuwaje?!?!!??!

KUMBEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!

Hivi mnafikiri kwa nini watu wanaweka TEGO?!?!?!
 
Last edited by a moderator:
kazi ipo,bila uaminifu wa mtu binafisi tutaisha,lakini jamani mke ama mume wa mtu wa nini ?mimi siwezi uji!!!!
 
'MIMI NIKIONA MTU ANAIBIWA NAONA KAMA NAIBIWA MIMI..NGOJA NIZEEKEZEKE KIDOGO PENGINE NTAKUJA ELEWA' (Source:MwanaFa).....Binafsi ninachokiona ni kuwa kuishi kwenye NDOA lazima uishi kwa IMANI tu..UJUE moyo wa Mtu ni KIZA kinene......IF you can't beat them JOIN them!!...........
 
Taarifá pia ni kwamba Embassy Hotel si mnaiona haina lolote! Basi ndio maarufu sana kwa shughuli hiyo. Mchana pako busy pale. Wateja wanapitia mlango wa nyuma!
 
Taarifá pia ni kwamba Embassy Hotel si mnaiona haina lolote! Basi ndio maarufu sana kwa shughuli hiyo. Mchana pako busy pale. Wateja wanapitia mlango wa nyuma!

Ndioooo! Pale pia nilideliver mzigo, nikakuta WATU WANAPISHANA KAMA KUNA MKUTANO WA WIZARA!!!!!!!!!! Sikuelewa WHY?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom