Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,731
Usijifanye zuzu we kenge.
Nimekwambia mm nimenukuu hilo andiko.
Well,alikua kalewa chakali.
Hahahaha wachaga wengi Wana dhambi ya ulevi basis kama ndo hivyo
Usijifanye zuzu we kenge.
Nimekwambia mm nimenukuu hilo andiko.
Well,alikua kalewa chakali.
Yon 5:17
How about airbags?
Wataalam plz fungukeni kuhusu msaada wa airbag maeneo kama haya.
au gari haikua na airbag?
bcoz niliwa kuishuhudia ajari1 SA-SONDTON gari BMW lilipondeka kabisa,but jamaa alitoka na majeraha kidogo sana mpaka nikashangaa.
Wakuu, posti #27 (picha ya 4 kulia gari ikionekana kwa nyuma) imeonyesha moja ya chanzo cha ajali.
Hiyo gari (Mark X 'jipya' tu halafu) ilikuwa inatumia gurudumu la dharura upande wa kulia nyuma. Hili liwekwapo hupaswi kuendesha mwendo mkali. Gari, kawaida, inatakiwa kuwa na gurudumu zinazofanana kote kwa usalama. Katika spidi kuanzia 80kph, gurudumu huongezeka uzito sana na kama zimetofautiana aina na kiwango cha uchakavu, gari huserereshwa upande hivyo dereva kushindwa kulidhibiti. Ninahisi, ndicho kilichowaponza. Ulevi ulichangia kuwasahaulisha kanuni za usalama wa gari.
RIP kina Matei na poleni wafiwa. Watu wengi huangamia kwa kukosa au kukaidi maarifa!!
...asante mkuu kwa kutupatia maarifa.
Kuna taarifa kuwa katika ajali hiyo pia amefariki Wakili wa kujitegemea ambaye pia ni mwalimu wa Business Law wa Chuo Kikuu cha St. John's hapo Dodoma Bwana Joshua Oguda, mwenye taarifa zaidi atujuze tafadhali
Daaah!, masikini Mheshimiwa Wakili Bwana Oguda, huyu ndugu alikuwa ana dharau na mnyanyasaji mkubwa wa wanafunzi pale St. John's University hasa akina dada wamenyanyasika sana kijinsia na huyu Mungu mtu!.
Hata hivo watanzania hatuna tabia wala tamaduni ya kufurahia matatizo ya binadamu wenzetu.
Nilipokuwa Rais wa Serikali ya wanafunzi hapo chuoni ndugu Oguda ulisimama kidete kutengeneza fitna ili nifukuzwe Chuo eti kwa kuwa nilipinga sana tabia yako ya kuwaonea wanafunzi hasa wa kike na mpaka Israel anainyemelea roho yako leo nina kesi na Chuo hicho ambapo wewe kwa kiherehere chako ndo wakili unaesaini viapo vya chuo!, natamani upone haraka ili ushuhudie nitakavo wahenyesha hapo Mahakama Kuu ya Dodoma.
Mungu akunusuru Wakili Msomi Joshua Oguda, nimeguswa na kusikitishwa sana kama binadamu kwa kweli nakuombea upone haraka lakini ujue dunia ni mapito mheshimiwa hivo si uungwana kuharibu ndoto za watoto wa watanzania wenzio!
Marehemu na wenzake walikuwa wanatoka Morogoro kwenye party flan hivi na walikua wamelewa vizur tuu, na Matei Lounge mwenyewe ndiyo alikuwa anadrive kwa mbwembwe huku akishndana na fuso...
Inasemekana ulikuwa ni mwendo hatari kiasi kwamba gari ilipinduka na Fuso likaja kwa juu. Mmoja wa abiria alikuwa ni Wakili Joshua Oguda ambaye amefariki masaa machache baada ya mwenzie kupumzishwa motuary ya General Hospital Dodoma.
Walienda kumnzika mwenzao moro wakati wana rudi ndio na wao wamepata ajali hata marehemu waliokuwa wamemsindikiza nae alipata ajali na kufariki