Binti Magufuli
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 7,479
- 5,160
Duhh Poleni wafiwa ila Tz ajali zimezidi. Vijana acheni kulewa/kunywa na kudrive. Inauma sana umejinyima au umekopa ujikwamue na adha ya usafiri kumbe unanunua uwahishe mauti yako. Ajali haina kinga sawa ila kwa kuwa makini unapunguza probability