Mfanyabiashara Matei apata ajali na kufariki

Mfanyabiashara Matei apata ajali na kufariki

Wamiliki wa bar wengi wanakufa kwa ajali dah!!!! M/mungu atunusuru kwakweli!!!!!
 
Naonahuu huyu Israel anadili nawafanyabiashara maarufu wa bar kaanza bukoba,Dodoma,dar sijui anamchukua NANI wenyepub kaeni mkao wa kuelelekeanyumbayamilele
Rip!Matei

Huku dar washaondoka wa 3 wamiliki wa bar kubwa kinondoni tena bar zenyewe zinaongozana
 
Naomba kuwa tofauti. Kwanza nasema: I am against drink and drive habit. Mtu yeyote aliyekunywa na akaendesha (very popular in TZ) kwa mimi ni possible murderer. Na hakuna sababu ya ku justify wewe kuendesha gari ukiwa umelewa. Hasa baada ya kusababisha au kushiriki ktk ajali. Subiri: Just imagine kuwa hao na ulevi wao wanagonga Noah yako inayoendeshwa na mkeo ikiwa imejaa watoto wako. Just because he is pissed off with alcohol and forget to return to his lane on time. Au ana slam Vits ya baba na mama yako kwani gari yake ni kubwa. Tell me, utazika wazazi na kupokea RIP za wana JF bila kumeza makomeo ya uchungu? By the way, gari hilo lina frontal and side (so called curtains) air bags. But they are active when you fasten seat belts: I dont see traces of air bags so either they were already exploited in previous accidents or rich and educated were driving without seat belts. Sorry, I hold my RIP for those who deserve it. I stand accused.
 
Kumbe ulikuwa Raisi wa wanafunzi?

Nilikuwa Rais wa SOSJUT, huyu marehemu na wenzie akina Chris, Mtetemela, Kobogo.... Ooh sorry Dobogo na wengineo nimepambana nao sana nikiwatetea wanafunzi kutokana na mabyanyaso yao utafikiri walikuwa hawajui kama kuna kifo na hii dunia ni mapito tu!!.

Mi nasema walaaniwe sana hata hawa waliobaki hapa duniani ikiwezekana nao wafe tu hakyamungu wameharibu future za watoto wengi wa masikini kwa makusudi kwa kuwafelisha walipokuwa wakinyimwa mapenzi, shenzi sana!
 
nilikuwepo pale pub kama wiki tatu zilizopita,nilikuwa dom kwenye semina,luna kabaamedi kamoja karefu kembamba,..nilikapenda bure kwa huduma yake!
We chizi, badala ya kum-RIP aliyewaleta, wewe una........!!!!!
 
Nilikuwa Rais wa SOSJUT, huyu marehemu na wenzie akina Chris, Mtetemela, Kobogo.... Ooh sorry Dobogo na wengineo nimepambana nao sana nikiwatetea wanafunzi kutokana na mabyanyaso yao utafikiri walikuwa hawajui kama kuna kifo na hii dunia ni mapito tu!!.

Mi nasema walaaniwe sana hata hawa waliobaki hapa duniani ikiwezekana nao wafe tu hakyamungu wameharibu future za watoto wengi wa masikini kwa makusudi kwa kuwafelisha walipokuwa wakinyimwa mapenzi, shenzi sana!

We nae tumekuvumilia,, umejipa promo juu tumetulia tu,sasa naona wazd jipaisha tu, ndo keshafarik hvo kamseme kaburin kwake,, afu we uliwezaje kuwa Rais wa wanachuo afu huna staha wala hekim na maneno yako? Kenge shooougaa ww
 
We nae tumekuvumilia,, umejipa promo juu tumetulia tu,sasa naona wazd jipaisha tu, ndo keshafarik hvo kamseme kaburin kwake,, afu we uliwezaje kuwa Rais wa wanachuo afu huna staha wala hekim na maneno yako? Kenge shooougaa ww

Upo sahihi kabisa... ...mtu akifariki tumuache apumzike.
 
Nilikuwa Rais wa SOSJUT, huyu marehemu na wenzie akina Chris, Mtetemela, Kobogo.... Ooh sorry Dobogo na wengineo nimepambana nao sana nikiwatetea wanafunzi kutokana na mabyanyaso yao utafikiri walikuwa hawajui kama kuna kifo na hii dunia ni mapito tu!!.

Mi nasema walaaniwe sana hata hawa waliobaki hapa duniani ikiwezekana nao wafe tu hakyamungu wameharibu future za watoto wengi wa masikini kwa makusudi kwa kuwafelisha walipokuwa wakinyimwa mapenzi, shenzi sana!
Nyambaf mkubwa wewe, ni maneno gani haya ya kifedhuli unayazungumza? Na wewe ULAANIWE kwa wizi wa hela zetu za sosjut ukaenda kununua kale ka mark 2 kako mkweche

We nae tumekuvumilia,, umejipa promo juu tumetulia tu,sasa naona wazd jipaisha tu, ndo keshafarik hvo kamseme kaburin kwake,, afu we uliwezaje kuwa Rais wa wanachuo afu huna staha wala hekim na maneno yako? Kenge shooougaa ww
hahahahaaa mkuu Kiboko, nawasiwasi na huyu poyoyo anaejiita rais wa sosjut, huyu rais Chid** alikua mwivi mkubwa wa hela za sosjut! Hili jamaa jinga sana linafurahia kifo cha marehemu

Upo sahihi kabisa... ...mtu akifariki tumuache apumzike.
kweli kabisa miss strong usemacho ni sahihi, kunako msiba lazma tuweke tofauti zetu kando na kuzikana, huyo mkuu hapo juu kakosa busara kabisa, kwamaneno mepesi ni kwamba kafurahishwa na kifo cha marehemu! Inaonyesha upumbafu wake ni wa hali ya juu sana!
 
Last edited by a moderator:
When will we learn. I once said the government is not doing enough to combat the road death carnage which is very high by any standards. The Government has become a killer of its own people.
 
Sio kwenye pati ni msibani mwenzao amefariki kwao moro

yeah walitoka msibani......kuna rafiki yangu mmoja ambae aliongozana nao ingawa yeye alikuwa kwenye gari nyingine.....na inasemekana alikuwa analipita lorry akakutana na lorry jingine.....wakashindwa kurudi pembeni.....basi wakakutana na lorry uso kwa uso.....na walikuwa speed ajabu......
 
our self made billionaires wanazidi kwenda.tutabaki na mabilionea waliotokana na wizi wa fedha za umma tu.
RIP bilioniya Matei
 
Marehemu na wenzake walikuwa wanatoka Morogoro kwenye party flan hivi na walikua wamelewa vizur tuu, na Matei Lounge mwenyewe ndiyo alikuwa anadrive kwa mbwembwe huku akishndana na fuso...

Inasemekana ulikuwa ni mwendo hatari kiasi kwamba gari ilipinduka na Fuso likaja kwa juu. Mmoja wa abiria alikuwa ni Wakili Joshua Oguda ambaye amefariki masaa machache baada ya mwenzie kupumzishwa motuary ya General Hospital Dodoma.

Hawakuwa wametoka kwenye Party walitoka kwenye mazishi ya Rafiki yao anaitwa Rashid Nyau. Alifariki kwa ajali ya gari katika maeneo hayohayo
 
Back
Top Bottom