Mfanyabiashara Matei apata ajali na kufariki

Mfanyabiashara Matei apata ajali na kufariki

Mungu apitishie mbali asikaribie na JF
 
Kuna taarifa kuwa katika ajali hiyo pia amefariki Wakili wa kujitegemea ambaye pia ni mwalimu wa Business Law wa Chuo Kikuu cha St. John's hapo Dodoma Bwana Joshua Oguda, mwenye taarifa zaidi atujuze tafadhali

Huyo hajafariki ila hali yake ni mbaya sana, Mungu amnusuru.
 
Matei pub ya wap na Matei yup maelezo ya kina tafadhali

Shangaa na mie! Mletamada sijui nae msiba umemvuruga!
Kiasi anadhani akisema tu Matei kafa basi members wote humu tutamfahamu deceased ! Taarifa kama hii labda ingekua anatujulisha kifo cha mtu popular e..g Sospeter Muwongo , De Maria , Cpt Komba , Dr Slaa , Pinda ect ni kama kajisahau kwamba wote tunaishi Dom .
Nway R . I . P the late Matei .
 
Biashara yake imekua chanzo cha maambukizo ya hiv na maasi kibao rip wakili wa shetani
 
Huyo hajafariki ila hali yake ni mbaya sana, Mungu amnusuru.

Daaah!, masikini Mheshimiwa Wakili Bwana Oguda, huyu ndugu alikuwa ana dharau na mnyanyasaji mkubwa wa wanafunzi pale St. John's University hasa akina dada wamenyanyasika sana kijinsia na huyu Mungu mtu!.

Hata hivo watanzania hatuna tabia wala tamaduni ya kufurahia matatizo ya binadamu wenzetu.

Nilipokuwa Rais wa Serikali ya wanafunzi hapo chuoni ndugu Oguda ulisimama kidete kutengeneza fitna ili nifukuzwe Chuo eti kwa kuwa nilipinga sana tabia yako ya kuwaonea wanafunzi hasa wa kike na mpaka Israel anainyemelea roho yako leo nina kesi na Chuo hicho ambapo wewe kwa kiherehere chako ndo wakili unaesaini viapo vya chuo!, natamani upone haraka ili ushuhudie nitakavo wahenyesha hapo Mahakama Kuu ya Dodoma.

Mungu akunusuru Wakili Msomi Joshua Oguda, nimeguswa na kusikitishwa sana kama binadamu kwa kweli nakuombea upone haraka lakini ujue dunia ni mapito mheshimiwa hivo si uungwana kuharibu ndoto za watoto wa watanzania wenzio!
 
Daaah!, masikini Mheshimiwa Wakili Bwana Oguda, huyu ndugu alikuwa ana dharau na mnyanyasaji mkubwa wa wanafunzi pale St. John's University hasa akina dada wamenyanyasika sana kijinsia na huyu Mungu mtu!.

Hata hivo watanzania hatuna tabia wala tamaduni ya kufurahia matatizo ya binadamu wenzetu.

Nilipokuwa Rais wa Serikali ya wanafunzi hapo chuoni ndugu Oguda ulisimama kidete kutengeneza fitna ili nifukuzwe Chuo eti kwa kuwa nilipinga sana tabia yako ya kuwaonea wanafunzi hasa wa kike na mpaka Israel anainyemelea roho yako leo nina kesi na Chuo hicho ambapo wewe kwa kiherehere chako ndo wakili unaesaini viapo vya chuo!, natamani upone haraka ili ushuhudie nitakavo wahenyesha hapo Mahakama Kuu ya Dodoma.

Mungu akunusuru Wakili Msomi Joshua Oguda, nimeguswa na kusikitishwa sana kama binadamu kwa kweli nakuombea upone haraka lakini ujue dunia ni mapito mheshimiwa hivo si uungwana kuharibu ndoto za watoto wa watanzania wenzio!

Amefariki pia muda mchache uliopita.
 
Marehemu na wenzake walikuwa wanatoka Morogoro kwenye party flan hivi na walikua wamelewa vizur tuu, na Matei Lounge mwenyewe ndiyo alikuwa anadrive kwa mbwembwe huku akishndana na fuso...

Inasemekana ulikuwa ni mwendo hatari kiasi kwamba gari ilipinduka na Fuso likaja kwa juu. Mmoja wa abiria alikuwa ni Wakili Joshua Oguda ambaye amefariki masaa machache baada ya mwenzie kupumzishwa motuary ya General Hospital Dodoma.
 
Marehemu na wenzake walkua wanatoka Morogoro kwny party flan iv na walkua wamelewa vizur tuu,na Matei lounge mwenyew ndo alkua anadrive kw mbwembwe kibao huku akishndana na fuso...ulkua mwendo hatar sana kias kwmb gari ikapnduka na fuso likaj kw juu,..huyo wakil amefarik masaa machach baad ya mwnzie kupumzshw motuary ya general hospital dom..
Correction.....walikua wametoka moro kumzika mshmshkaji wao Rashidi Nyau ambaye na yeye alipata ajali akitokea moro kurudi dom
 
Marehemu na wenzake walkua wanatoka Morogoro kwny party flan iv na walkua wamelewa vizur tuu,na Matei lounge mwenyew ndo alkua anadrive kw mbwembwe kibao huku akishndana na fuso...ulkua mwendo hatar sana kias kwmb gari ikapnduka na fuso likaj kw juu,..huyo wakil amefarik masaa machach baad ya mwnzie kupumzshw motuary ya general hospital dom...

My God!, R.I.P Advocate Joshua Oguda!!
 
Pich y ajali
 

Attachments

  • 1417382235584.jpg
    1417382235584.jpg
    30.3 KB · Views: 8,760
Marehemu na wenzake walkua wanatoka Morogoro kwny party flan iv na walkua wamelewa vizur tuu,na Matei lounge mwenyew ndo alkua anadrive kw mbwembwe kibao huku akishndana na fuso...ulkua mwendo hatar sana kias kwmb gari ikapnduka na fuso likaj kw juu,..huyo wakil amefarik masaa machach baad ya mwnzie kupumzshw motuary ya general hospital dom...

Walikuwa wanatoka kwa msiba si party kuna jamaa walikuwa ameniambia
 
Daaah!, masikini Mheshimiwa Wakili Bwana Oguda, huyu ndugu alikuwa ana dharau na mnyanyasaji mkubwa wa wanafunzi pale St. John's University hasa akina dada wamenyanyasika sana kijinsia na huyu Mungu mtu!.

Hata hivo watanzania hatuna tabia wala tamaduni ya kufurahia matatizo ya binadamu wenzetu.

Nilipokuwa Rais wa Serikali ya wanafunzi hapo chuoni ndugu Oguda ulisimama kidete kutengeneza fitna ili nifukuzwe Chuo eti kwa kuwa nilipinga sana tabia yako ya kuwaonea wanafunzi hasa wa kike na mpaka Israel anainyemelea roho yako leo nina kesi na Chuo hicho ambapo wewe kwa kiherehere chako ndo wakili unaesaini viapo vya chuo!, natamani upone haraka ili ushuhudie nitakavo wahenyesha hapo Mahakama Kuu ya Dodoma.

Mungu akunusuru Wakili Msomi Joshua Oguda, nimeguswa na kusikitishwa sana kama binadamu kwa kweli nakuombea upone haraka lakini ujue dunia ni mapito mheshimiwa hivo si uungwana kuharibu ndoto za watoto wa watanzania wenzio!

nimejifunza tuishi na watu vizuri siku zote bila kuwanyanyasa hatujui siku wala saa ya kuondoka
 
shetani anajua vyema sana namna ya kusababisha vifo aisee...mwisho wa siku siye wanadamu tutajifariji kwa kusema kazi ya Mungu haina makosa...

Ajali kwa namna unavyoielezea inaonekana ilikuwa ya kutisha sana...

Marehemu na wenzake walkua wanatoka Morogoro kwny party flan iv na walkua wamelewa vizur tuu,na Matei lounge mwenyew ndo alkua anadrive kw mbwembwe kibao huku akishndana na fuso...ulkua mwendo hatar sana kias kwmb gari ikapnduka na fuso likaj kw juu,..huyo wakil amefarik masaa machach baad ya mwnzie kupumzshw motuary ya general hospital dom...
 
Kwani walienda kufanya nini huko Morogoro kwa pamoja? Na weekend hii itakuwa tu mapombe na ushabiki wa ujana bila maono vimechangia pia. Wapumzike kwa amani, kila kifo kina sababu lakini vya ghafla namna hii vitufunze utayari.
 
Back
Top Bottom