mkunyegere
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 453
- 93
pole kwa familia,ndugu,jamaa na marafiki
duuuh! mwisho wa mwaka huu jaman mdogomdogo tuwapo kwa road jaman..!
MUNGU AMUWEKE APENDAPO
polen wote
polen sana
baada ya kifo ni hukumu
mshahara wa dhambi.....
mhh ni mark x!!!!! Watakuwa wameingia uvunguni
RIP umetuachia kiota cha maana..
Hongera mwenzetu huna dhambi , hutokufa utaendelea kulinda dunia