Atakuwa yupo kwenye forexJamani hii ni 2019... Huyo engineer yukwapi?
Tumia akili ndogo tuu Jamaa akiuza vitini kwa elfu 10 akiuza vitini laki mbili anapat B 2Dah haya maisha Mungu tu anajua. Yaani jamaa na degree yake ya Petroleum anauza vitini wakati kuna washkaji nawafahamu wana vidiploma vya DIT wanapiga pesa ndefu kwenye makampuni ya PUMA Oryx nk. Full mikoko ya kutembelea mishahara ya hatari. Mungu ambariki aendelee kutengeneza vitini ndo wito wake alioitiwa na mwenyezi Mungu
Ingia field uone kazi ilivyo rahisi kuuza vitini laki 2. Msidanganywe na motivational speakers mkadhani ni kazi rahisi. Wengi wanatoa copyTumia akili ndogo tuu Jamaa akiuza vitini kwa elfu 10 akiuza vitini laki mbili anapat B 2
Kilimo cha matikiti kwenye makaratasi.Tumia akili ndogo tuu Jamaa akiuza vitini kwa elfu 10 akiuza vitini laki mbili anapat B 2
Ni kufanya tuu marketing ya kutosha sema tuu kutoa photo kopi ndo itamuumizaIngia field uone kazi ilivyo rahisi kuuza vitini laki 2. Msidanganywe na motivational speakers mkadhani ni kazi rahisi. Wengi wanatoa copy
Yaani mtu mwenyewe chuo kilimshinda, akabadili formation kwa kurudisha mpira kwa golikipa ila bado anajiita invincible? !?.Hakuna resourse hapo, sana sana nimeona Invisible tu.
Du noma sana hiiHalafu Kibajaji Standard 7 nakula kiyoyozi bungeni na V8 + Mshahara mororo
Mbuzi wewe ambaye ujamuelewa Jamaa.Mpaka sasa sijaelewa ulitaka tufanye nini kwa hii stori yako mbuzi...........
Nimeuona mswada wa Tanzania Teachers Board of Professional Act 2018. Unakataa haya mambo. Tuombe upite salama hawa sio walimu hawa ni wale wanaosimama tu mbele ya wanafunzi haphazardly
Nan chuo kilimshinda..? Kiombo?Yaani mtu mwenyewe chuo kilimshinda, akabadili formation kwa kurudisha mpira kwa golikipa ila bado anajiita invincible? !?.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio jokingUkiwa T.O Tanzania basi ujue utaishia kuandika vitin na kufundisha tuition!
#Joking!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndy manake!Nan chuo kilimshinda..? Kiombo?
Hakushindwa..... Alikuwa mjuaji kuliko professorNdy manake!