William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
1.
- Hiii ni sasa baada ya Mengi kuanza kufichua uchafu wa Mkapa akiwa rais, swali la Mkapa in private ni kwamba Mengi amem-betray, unafikiri inaweza kua ni nini hasa?
- Na besides, kwa maoni yako wewe unafikiri Mengi anatoa wapi nyeti za biashara za Mkapa akiwa Ikulu, maana kumbuka kua ni magazeti yake Mengi ndio yamekuwa ya kwanza alyways, kutoa hizo habari?
2.
- Ni kweli kabisa maneno yako, my point ni kwamba ninajua for a fact kwamba huko nyuma walikuwa marafiki, nimewaona mara nyingi sana wakiwa pamoja huko majuu, inawezekana kuwa walikosana somewhere, lakini haibadili ukweli kuwa wamewahi kuwa close friends, ikiwa ni pamoja na kusaifir pamoja kwenye ndege ya rais au?
Otherwise sina tatizo kukubali hoja yako ya msingi kuwa sasa hawaelewani, au?
FMES mkuu, heshima mbele, naomba nikusahihishe kidogo Mengi na Mkapa ni paka na panya.
- Hiii ni sasa baada ya Mengi kuanza kufichua uchafu wa Mkapa akiwa rais, swali la Mkapa in private ni kwamba Mengi amem-betray, unafikiri inaweza kua ni nini hasa?
- Na besides, kwa maoni yako wewe unafikiri Mengi anatoa wapi nyeti za biashara za Mkapa akiwa Ikulu, maana kumbuka kua ni magazeti yake Mengi ndio yamekuwa ya kwanza alyways, kutoa hizo habari?
2.
Mengi hafanyi siri ya kuwa Mkapa alimwekea vikwazo katika mipango yake mingi sana ya biashara lakini kilichobaki kama doa na kufanya Mengi aweke kinyongo kwa Mkapa ni Kilimanjaro hotel alafu Kiwira. Nadhani wewe mkuu unaweza kupata taarifa zote kuhusu ishu hii bila mimi kuweka zaidi hapa. Asante
- Ni kweli kabisa maneno yako, my point ni kwamba ninajua for a fact kwamba huko nyuma walikuwa marafiki, nimewaona mara nyingi sana wakiwa pamoja huko majuu, inawezekana kuwa walikosana somewhere, lakini haibadili ukweli kuwa wamewahi kuwa close friends, ikiwa ni pamoja na kusaifir pamoja kwenye ndege ya rais au?
Otherwise sina tatizo kukubali hoja yako ya msingi kuwa sasa hawaelewani, au?