Mateso chakubanga
JF-Expert Member
- May 10, 2021
- 456
- 505
Habari, wanajamvi kutokana kutokua na tija na ufanisi kwa nafasi ya Naibu Waziri Mkuu , ninamshauri Mh Rais atengue nafasi ya Naibu Waziri Mkuu na kwa mamlaka yake na katiba nafasi hiyo ifutwe kabisa na vyombo vya dola vielekezo macho yao katika mipaka hasa nchi jirani mpaka kama Rusumo. Ngara na Karagwe, Manyovu Kigoma yaani mipaka tunayopakana na Rwanda. Na Burundi