Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,232
- 113,610
...huyo Masha kishalewa na kawa mjinga tuu hana lolote,juzi kaenda magereza kufanya ufisadi tuu,wizara yake ndio inaongoza kwa rushwa na huduma mbovu,nilitegemea angefanya improvement kubwa sana kwenye wizara yake especially kwenye IT lakini ni upuuzi mtupu..nasikia kazi yake wanawake tuu na ujiko wa kijinga jinga!
Umesikia wapi na kutoka kwa nani?