Labda wawekezaji wazawa hawakati cha juu kama wageni!
Huu ndio ukweli uliofichwa na hawa mafisadi.
Mtu anamtetea Muhongo aliyehongwa mabilioni ya fedha kama asante na bili ya umeme inapaa kila siku.
Anapokosolewa na wananchi anatumia Elimu yake kukejeli watu na kuwahadaa watanzania kuwa uchumi na maisha ya watanzania yatabadilishwa na kuboreshwa na wanyonyaji toka nje,wahindi ,waarabu na wazungu. Huyu ni mtu mbaya sana na adui wa wazalendo.Wakati utakapofika atapata majibu yake. Hakuna taifa lililoinuka kiuchumi kwa kuwatenga wazawa.
Muhongo na kampani yake wanatumia ofisi za umma kuwatisha wananchi.
Walimtisha na kumpa sumu Mwakyembe,magufuli na Mgimwa sasa wanaendelea na ujinga wao.
Hayo Mabilioni waliyopewa kwa nini wasianzishe makampuni yao kama Mengi wakatoa ajira badala ya kuyaficha huko ulaya na kutumia kuwahonga wapiga kura.
Pesa zao ni za rushwa ndio maana zinalekezwa kwenye rushwa ya kununua wapiga kura.
Wamezoea kutumia mashirika ya umma kuvuna mabilioni sasa wanategemea Mengi atawalamba viatu.
Mengi ni Mtanzania mwenzetu, atakayemgusa atatangaza vita na wazalendo.
Tunajua kuwa siku CCM itakapoondoka madarakana hawa wahindi mnaowaona matajiri watakimbia nchi kwani utajiri umeshikiliwa na wezi wa mali za umma.
Wanasiasa ni watu wa ajabu sana wanaiba mabilioni ya fedha badala ya kuwekeza kwenye viwanda wananunua kura na kununua mawakala na wagombea wa uchaguzi kama timu za mpra zinavyonunua wachezaji.