Michael Ngusa
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 1,637
- 463
wacha wammalize awaachie nafasi vijana, maisha ameshakula sana
Huko US ambako ubepari ndiko umezaliwa, Obama anatoa incentive kwa makampuni ya nyumbani kwake. Kuna protection ya wawekzaji wa nyumbani dhidi ya makampuni ya nje.Uliona wapi serikali yenye akili duniani ikifanya hivyo kwa wawekezaji wazawa kwenye mhimili muhimu wa uchumi wa nchi?
Mengi anataka kutudalalia hata sisi watanzania wenzie kwenye gas?
Huyu Mchaga katili sana!
Mzee huyu hawezi kusema uongo!Apewe ulinzi.
Katika post ndefu za kipumbavu kuwahi kutokea hapa JF hii ni namba moja... ---- ---- ----
Nani Kamtisha Mengi? Aache kudanganya Watu hii mbinu yake ya Kusaka Huruma toka kwa Wananchi huwa anayo toka Zamani, Mengi huwa akiona kafanya jambo kisha likawa Gumu kutekelezeka hukimbilia kwenye vyombo vya Habari kusaka Huruma za watu, wajanja wamezinduka sasa wanamjua kuwa naye ni Mpigaji Na Dalali wa Vitalu nk, lakini wapo wengine bado hawajamjua vyema na hao ndiyo watetezi wake, Kafulila , Sendeka na Zito amewalipa Mabilioni ili wamsaidie kumng'oa Mhongo huku wafanyakazi wake akiwalipa mishahara midogo tena kwa kuchelewa. Msimwamini huyo Mzee hakuna Mtu anayemtishia bali Kabuni mbinu ya kusahaulisha watu mbinu zake kisha watu wamwonee Huruma.Kwa mujibu wa gazeti la Raia Mwema, Reginald Mengi anasema maisha yake yako hatarini.
Hii ni mara ya nne mzee wetu huyu kudai maisha yake yako hatarini. Mara ya kwanza wakati akiwa katika mzozo na wamiliki wa DTV, mara ya pili wakati wa Sakata la ufisadi na mara ya tatu wakati alipogombana na Waziri kijana ambaye hakumtaja.
Serikali impe ulinzi mzee wetu.
Pia aliifirisi NBC bank kwa kukopa kisha akachoma ushahidi, huyo Mzee ana Madhambi Mengi sana , Watanzania wa sasa si wale wa Zamani hawadanganyiki kirahisi hivyo.Kama ni mzalendo arudishe maeneo ya madini anayoshikilia ili wachimbaji wadogo wadogo wanufaike.mengi si mzawa ni mbinafsi....alitaka kuzuia kombe la dunia lisioneshwe kwa kuwa itv ilinyimwa haki ya kuonyesha!alipiga vita tbc mpaka wakaacha kuonesha ligi kuu ya uiengereza...mnafiki sana anadanganya umma kuwa utajiri wake ulitokana na kalamu kumbe ni ufisadi wa taasisi mbali mbali za serikali wakati huo ikiwamo kuua stamico na kujimilikishia maeneo yeye na wtz wengine wenye asili ya kiasia
Mengi anaponzwa na tamaa zake na ubinafsi uliopitiliza.
Anataka watanzania tuumuunge mkono kila akiwa na ugomvi wake binafsi.
Suala la vitalu vya gesi Prof. Muhongo alishalitolea ufafanuzi wa kina kabisa, kuwa hakuna Mtanzania aliyenyimwa kumiliki vitalu, ila wafuate utaratibu wa kununua hisa TPDC.
Mengi ni mnafiki sana!
Pia aliifirisi NBC bank kwa kukopa kisha akachoma ushahidi, huyo Mzee ana Madhambi Mengi sana , Watanzania wa sasa si wale wa Zamani hawadanganyiki kirahisi hivyo.
Sethi ni Mzaliwa wa Iringa, sio mgeni wa Nchi hii!
Huko US ambako ubepari ndiko umezaliwa, Obama anatoa incentive kwa makampuni ya nyumbani kwake. Kuna protection ya wawekzaji wa nyumbani dhidi ya makampuni ya nje.
Japan kila asubuhi wanaangalia wazawa na makampuni yao wanafanyaje
Sisi tunawaambia wakauze juice na maandazi.
Wakati mhongo anasema hayo, tayari ana account kwa ajili ya kupokea makampuni Hewa kutoka nje.
Yaani ili uwe na uwezo lazima uwe na rangi tofauti na nyeusi.
Wanaamini kuwa Dangote anaweza, mengi hawezi.
Ntakuwa wa mwisho kuamini kauli hii ya mzee Mengi kama ni kweli
halafu anashadadia escrow kumbe naye ndio balaa zaidi afadhali escrow ina ushahidi bora kizuizini warudishe
Uliona wapi serikali yenye akili duniani ikifanya hivyo kwa wawekezaji wazawa kwenye mhimili muhimu wa uchumi wa nchi?
Mengi is an attention seeker angelikuwa anatishiwa tusingelikuwa tunapishana nae mjini free kabisa bila ya hata body guard? Angelikuwa anahofia maisha yake tusingelikuwa tunapigana vikumbo katika kumbi za starehe tuache hizi dirty politics jamani kama anatishwa aombe ulinzi wa serikali tutamwelewa he is serious.
Sethi ni Mzaliwa wa Iringa, sio mgeni wa Nchi hii!