Mengi: Natishwa

Mengi: Natishwa

Uliona wapi serikali yenye akili duniani ikifanya hivyo kwa wawekezaji wazawa kwenye mhimili muhimu wa uchumi wa nchi?
Huko US ambako ubepari ndiko umezaliwa, Obama anatoa incentive kwa makampuni ya nyumbani kwake. Kuna protection ya wawekzaji wa nyumbani dhidi ya makampuni ya nje.

Japan kila asubuhi wanaangalia wazawa na makampuni yao wanafanyaje
Sisi tunawaambia wakauze juice na maandazi.

Wakati mhongo anasema hayo, tayari ana account kwa ajili ya kupokea makampuni Hewa kutoka nje.
Yaani ili uwe na uwezo lazima uwe na rangi tofauti na nyeusi.

Wanaamini kuwa Dangote anaweza, mengi hawezi.
 
Mzee huyu hawezi kusema uongo!Apewe ulinzi.

mbona sisi tumeajiri wamasai wanalinda majumbani kwetu. kama anawasiwasi awaajiri kk au g4s wamlinde. pia anaweza wasiliana na mbowe akampatia mlinzi kama alivyofanya kwa dr.slaa.
 
Kama ni mzalendo arudishe maeneo ya madini anayoshikilia ili wachimbaji wadogo wadogo wanufaike.mengi si mzawa ni mbinafsi....alitaka kuzuia kombe la dunia lisioneshwe kwa kuwa itv ilinyimwa haki ya kuonyesha!alipiga vita tbc mpaka wakaacha kuonesha ligi kuu ya uiengereza...mnafiki sana anadanganya umma kuwa utajiri wake ulitokana na kalamu kumbe ni ufisadi wa taasisi mbali mbali za serikali wakati huo ikiwamo kuua stamico na kujimilikishia maeneo yeye na wtz wengine wenye asili ya kiasia
 
Kwa mujibu wa gazeti la Raia Mwema, Reginald Mengi anasema maisha yake yako hatarini.

Hii ni mara ya nne mzee wetu huyu kudai maisha yake yako hatarini. Mara ya kwanza wakati akiwa katika mzozo na wamiliki wa DTV, mara ya pili wakati wa Sakata la ufisadi na mara ya tatu wakati alipogombana na Waziri kijana ambaye hakumtaja.

Serikali impe ulinzi mzee wetu.
Nani Kamtisha Mengi? Aache kudanganya Watu hii mbinu yake ya Kusaka Huruma toka kwa Wananchi huwa anayo toka Zamani, Mengi huwa akiona kafanya jambo kisha likawa Gumu kutekelezeka hukimbilia kwenye vyombo vya Habari kusaka Huruma za watu, wajanja wamezinduka sasa wanamjua kuwa naye ni Mpigaji Na Dalali wa Vitalu nk, lakini wapo wengine bado hawajamjua vyema na hao ndiyo watetezi wake, Kafulila , Sendeka na Zito amewalipa Mabilioni ili wamsaidie kumng'oa Mhongo huku wafanyakazi wake akiwalipa mishahara midogo tena kwa kuchelewa. Msimwamini huyo Mzee hakuna Mtu anayemtishia bali Kabuni mbinu ya kusahaulisha watu mbinu zake kisha watu wamwonee Huruma.
 
Kama ni mzalendo arudishe maeneo ya madini anayoshikilia ili wachimbaji wadogo wadogo wanufaike.mengi si mzawa ni mbinafsi....alitaka kuzuia kombe la dunia lisioneshwe kwa kuwa itv ilinyimwa haki ya kuonyesha!alipiga vita tbc mpaka wakaacha kuonesha ligi kuu ya uiengereza...mnafiki sana anadanganya umma kuwa utajiri wake ulitokana na kalamu kumbe ni ufisadi wa taasisi mbali mbali za serikali wakati huo ikiwamo kuua stamico na kujimilikishia maeneo yeye na wtz wengine wenye asili ya kiasia
Pia aliifirisi NBC bank kwa kukopa kisha akachoma ushahidi, huyo Mzee ana Madhambi Mengi sana , Watanzania wa sasa si wale wa Zamani hawadanganyiki kirahisi hivyo.
 
Mengi anaponzwa na tamaa zake na ubinafsi uliopitiliza.

Anataka watanzania tuumuunge mkono kila akiwa na ugomvi wake binafsi.

Suala la vitalu vya gesi Prof. Muhongo alishalitolea ufafanuzi wa kina kabisa, kuwa hakuna Mtanzania aliyenyimwa kumiliki vitalu, ila wafuate utaratibu wa kununua hisa TPDC.

Mengi ni mnafiki sana!

Mengi huwa anasaka Huruma za Watu kwa Hoja nyepesi tena kwa masilahi yake binafsi anakaa na kubuni mbinu ya kuteka Akili za Wananchi ili Wasahau Mapungufu na kumwonea Huruma.
 
Pia aliifirisi NBC bank kwa kukopa kisha akachoma ushahidi, huyo Mzee ana Madhambi Mengi sana , Watanzania wa sasa si wale wa Zamani hawadanganyiki kirahisi hivyo.

halafu anashadadia escrow kumbe naye ndio balaa zaidi afadhali escrow ina ushahidi bora kizuizini warudishe
 
Sethi ni Mzaliwa wa Iringa, sio mgeni wa Nchi hii!

Ni kweli kabsa huyo singasinga ni Mtanzania harisi alizaliwa iringa na kukulia hapo kabla ya kwenda kenya na South Africa.
 
Huko US ambako ubepari ndiko umezaliwa, Obama anatoa incentive kwa makampuni ya nyumbani kwake. Kuna protection ya wawekzaji wa nyumbani dhidi ya makampuni ya nje.

Japan kila asubuhi wanaangalia wazawa na makampuni yao wanafanyaje
Sisi tunawaambia wakauze juice na maandazi.

Wakati mhongo anasema hayo, tayari ana account kwa ajili ya kupokea makampuni Hewa kutoka nje.
Yaani ili uwe na uwezo lazima uwe na rangi tofauti na nyeusi.

Wanaamini kuwa Dangote anaweza, mengi hawezi.

Nguruvi3 ,

Exactly,Hatujifunzi hata kupitia sera za wengine.Tumekosa Uzalendo,Ubunifu na Uadilifu tu katika maamuzi
 
Last edited by a moderator:
halafu anashadadia escrow kumbe naye ndio balaa zaidi afadhali escrow ina ushahidi bora kizuizini warudishe

Ngugu yangu hapa Tz hakuna aliye Msafi kiasi cha Kumnyooshea mwenzake kidole, Huko kwenye Upinzani Ruzuku huwa zinaishia makao makuu tu, Matawini hazifiki, pia napo escrow imefika japo ni kwa Siri ndani ya mifuko ya Rambo,huku Sendeka, kafulila wakivuta za Mengi na mkono, mwenzao Zito alivuta Pande zote huku na huku,lakini Sethi alimpa kidogo akaamua kuegemea kwa Mkono ambaye ni Rafiki yake Mkubwa, Nchi hii kila kona ni Mwendo wa Kupiga ana Rushwa,Watumishi wengi wa Umma wanaishi kinyume na Vipato vyao harisi, na Siku itokee kila kiongozi achunguzwe sidhani kama yupo atakayepona.
 
Uliona wapi serikali yenye akili duniani ikifanya hivyo kwa wawekezaji wazawa kwenye mhimili muhimu wa uchumi wa nchi?

Serikali zenye akili zote zinafanya hivyo. zinaangalia mapato kwa serikali sio kwa watu wachache mfano Norway with statoil, feel free kuangalia mafanikio ya system hii. Serikali zisizo na akili zinazotumia system ya "uzawa" ni kama Nigeria na Angola, again feel free ku-assess how that system has benefited the majority compared to how it has benefited few families za "wazawa".
 
Tupo tuna mlinda hakuna wakumgusa nadhani.wanajuwa tutatumia Mitaji yetu kuwa adabisha hawatasahu milele ole wa adhania anaweza cheza na mzee wetu mengi patanuka
 
Mengi is an attention seeker angelikuwa anatishiwa tusingelikuwa tunapishana nae mjini free kabisa bila ya hata body guard? Angelikuwa anahofia maisha yake tusingelikuwa tunapigana vikumbo katika kumbi za starehe tuache hizi dirty politics jamani kama anatishwa aombe ulinzi wa serikali tutamwelewa he is serious.

Mengi analeta Siasa za Maji Taka, anasaka Huruma za Wananchi kwa staili ile ile ya Zamani, hajui kuwa Wananchi wa sasa ni wajanja hawadanganyiki, Mengi bado ana Ndoto ya kuwa mgombea Binafsi hivyo anajifanyia promo.
 
Back
Top Bottom