Lakini hana kashifa ya ufisadi kama huyu wa kwenu.
Si bure utakua unaugua tezi dume wewe.
Sijawahi kuona serikali yoyote makini ambayo ni adui kwa wawekezaji wazawa kama serikali ya Tanzania
Mzee Mengi ametukanwa na kudhalilishwa sana na baadhi ya watu wenye dhamana serikalini huku wakilinda kuwanyenyekea wageni.Haiwezekani hata kidogo
Pia ikifikia hatua Mwenyekiti wa Bunge la katiba ambaye ni waziri anatishia ITV kwa kutekeleza wajibu wake ujue kuna serious hostility dhidi ya mmiliki wake
Hapa katumia akili ya kawaida sana anajua ikiandikwa na magazeti yake italeta picha fulani kwahiyo yeye alichofanya kawapa hela Rai mwema waandike,
ujue akili ya mengi ndogo sana anacheza na akili ya watanzania tu kwa wale tunaomjua tunampuuza tu fisadi huyu.
Mkuu hapa jf kuna watu wanauwezo wakujua mambo ya ukweli na wasomi na kuna watu wapuuzi hawana kazi wapo hapa kupotosha watu..Huyu bwana Mengi ni muhuni mwizi anatumia vyombo vyake kupotosha habari...Jana mwisho bado anaongelea saga la escrow kwanini na bunge limeshamaliza kazi yake..Hakuna mtu anomtishia huyu kilaza wachaga ni majambazi
hahaahahaha
Ukiulizwa wewe na Mengi nani kilaza utajibu nini labda mkuu?? Akafu wachaga wanaingiaje hapa??
Unaweza kuwa na hela nabado ukawa kilaza tu
Mengi kaka yangu nakushangaa sana unavyowahi kusema kuwa "Unatishwa"
Kama ingekuwa ni kweli mara zote nne, ungetishwa tu? Si wangeshatekeleza vitisho vyao?
​Hujui usemalo ww kijana acha kutumika
Fikiri zaidi, Bunge limepeleka kwa Raisi na bado jambo hili linataka msukumo wa wananch hasa baada ya wawakilishi wao kusema tatizo lipo. Hii nchi ni ya wananchi na ndo wenye jukumu la mwisho kikatiba. Kama wewe umechoka, just let other work.Mkuu hapa jf kuna watu wanauwezo wakujua mambo ya ukweli na wasomi na kuna watu wapuuzi hawana kazi wapo hapa kupotosha watu..Huyu bwana Mengi ni muhuni mwizi anatumia vyombo vyake kupotosha habari...Jana mwisho bado anaongelea saga la escrow kwanini na bunge limeshamaliza kazi yake..Hakuna mtu anomtishia huyu kilaza wachaga ni majambazi
Chanzo:raiamwema
My take
Hii ni mara ya nne mzee wetu huyu kudai maisha yake yako hatarini. Mara ya kwanza wakati akiwa katika mzozo na wamiliki wa DTV, mara ya pili wakati wa Sakata la ufisadi na mara ya tatu wakati alipogombana na Waziri kijana ambaye hakumtaja.
Serikali impe ulinzi mzee wetu.
Huyu mengi anaosema anatishiwa mbona yeye hasemi anatunyanyasa sisi na ardhi zetu huko tanga. namtafutia siku yake nimuanike watazania nao wamjue tabia .tapeli mkubwa huyo mzee. Hata wamuuwe wakiweza.Chanzo:raiamwema
My take
Hii ni mara ya nne mzee wetu huyu kudai maisha yake yako hatarini. Mara ya kwanza wakati akiwa katika mzozo na wamiliki wa DTV, mara ya pili wakati wa Sakata la ufisadi na mara ya tatu wakati alipogombana na Waziri kijana ambaye hakumtaja.
Serikali impe ulinzi mzee wetu.
Fikiri zaidi, Bunge limepeleka kwa Raisi na bado jambo hili linataka msukumo wa wananch hasa baada ya wawakilishi wao kusema tatizo lipo. Hii nchi ni ya wananchi na ndo wenye jukumu la mwisho kikatiba. Kama wewe umechoka, just let other work.
Exactly mkuu mbona Baaresa hatumsikii akilalama hovyo kama huyu mheshimiwa?Apewe ulinzi kama nani?
Kama ni kwa sababu ya utajiri wake basi aajili walinzi wake mwenyewe, nadhani hata DIAMOND anaajili walinzi mwenyewe.
Jamii ya Kitanzania ina tabia ya kujijengea matabaka ya watu wenye thamani kuliko wengine.
Anatishwa, anatishwa kwa lipi, mbona hasemi?
Sitaki hata niseme sana nimewahi kuishi dar nakufanya kazi kwenye taasisi za huyu mzee mengi jamani huyu mzee mwizi na mtesaji wa wanyonge pia ni fisadi sema hamjapata fulsa ya kumjua huyu siyo wa kutetea hafai kanisani wala msikitini.