Mengi: Natishwa

Mengi: Natishwa

Unamsikiliza muongo? Mtu yuko kwenye forbes list halafu unamkashifu kwamba he cant afford kumiliki kitalu cha gesi? Watanzania wangapi wanamiliki migodi mererani na wana mtaji kiasi gani?
Mengi anaponzwa na tamaa zake na ubinafsi uliopitiliza.

Anataka watanzania tuumuunge mkono kila akiwa na ugomvi wake binafsi.

Suala la vitalu vya gesi Prof. Muhongo alishalitolea ufafanuzi wa kina kabisa, kuwa hakuna Mtanzania aliyenyimwa kumiliki vitalu, ila wafuate utaratibu wa kununua hisa TPDC.

Mengi ni mnafiki sana!
 
kwa mujibu wa gazeti la raia mwema, reginald mengi anasema maisha yake yako hatarini.

Hii ni mara ya nne mzee wetu huyu kudai maisha yake yako hatarini. Mara ya kwanza wakati akiwa katika mzozo na wamiliki wa dtv, mara ya pili wakati wa sakata la ufisadi na mara ya tatu wakati alipogombana na waziri kijana ambaye hakumtaja.

Serikali impe ulinzi mzee wetu.

mzee wa nani huyo mnafiki,mpenda sifa na kuonewa huruma kama mtoto mdogo?kwanza anao uwezo wa kujilinda sababu ya nguvu zake za kiuchumi na uhusiano wake na ndugu zake wachaga walio kwenye vyombo vya usalama.akwende zake huko,anataka upendeleo umnufaishe yeye binafsi kisia baadaye awe anatupa makombo na kujisifia.tunachotaka si upendeleo ambao hautaza tija.aliwahi kuwa na waajiliwa zaidi ya asilimia 80 kwenye makupuni yake wote wakitokea kilimanjaro mpaka al4po7emwa sana na kuonywa!ebu kwanza tajeni biashara zake huyu tuone kama ana ujasiriamali wa mana sio ujanjaujanja wa kucieza na makaratasi.mkataba na coca umevunjika nasikia.
 
kwa watanzania uwezo wetu ni kumiliki vitalu vya mashamba ya mpunga tu sio mafuta;-prof. MUONGO
 
sijawahi kuona serikali yoyote makini ambayo ni adui kwa wawekezaji wazawa kama serikali ya tanzania

mzee mengi ametukanwa na kudhalilishwa sana na baadhi ya watu wenye dhamana serikalini huku wakilinda kuwanyenyekea wageni.haiwezekani hata kidogo

pia ikifikia hatua mwenyekiti wa bunge la katiba ambaye ni waziri anatishia itv kwa kutekeleza wajibu wake ujue kuna serious hostility dhidi ya mmiliki wake


orodhesha biashara yake tuitathimini inaliingizia taifa fedha za kigeni kiasi gani!!mnafiki mengi,mbona akina bakharesa hawapigi kelele na tunaona biashara zake zinavyoenea kuwaghusa watu wengi kuanzia wakulima mpaka wafanyabiashara.
 
Mengi ana magazeti mengi na tv nyingi, aache kutuhabarisha kwa kina kwenye vyombo vyake ili tuwajue hao wanaomtisha ni kina nani na kwa nini, badala yake tupate habari kwa wengine tena habari kiduchu.
 
Kuna wakati mwanasayansi wa kimarekani aliwahi kusema akili zetu sisi watu weusi zinamatatizo (nafikiri anaitwa James Watson) unapoyaona matendo ya viongozi wa ccm na serikali yake the way wanavyo nyanyasa wafanyabiashara wa kizawa unashindwa kabisa kumbishia James Watson, wapo tayari kuona utajiri wa Tanzania wote unahamia nje ya nchi na wakawa happy but anapotokea mzawa, akawekeza kwa wazawa na faida ikabaki hapa hapa wanamchukia kweli kweli, linganisha matukio yafuatayo.

1. Bakheresa na ngano yako mwaka 1995 na unga wa ngano wa Mohamed enterprice (mliokuwepo enzi hizo mnakumbuka, ngano na Bakharesa ilimwagwa na Mo serikali ilibadiri mkemia mkuu wa serikali)
2. Mengi na vita vyake kwenye madini, vyombo vya habari linganisha na wawekezaji wa nje ya nchi.
3. Madini ya Tanzanite, Kenya na India kua muuzaji mkubwa kuliko anaeyachimba, Tanzania na ukimya wa serikali katika hilo.

Nakumbuka mwaka 1994 wakati wa kombe la dunia, wahindi wale wa CTN waliwahi kutishia hata kulipua viwanda vya huyu mzee pale Mikocheni but serikali ilikaa kimya kabisa; najiulizaga, hivi si tumelogwa? Wakoloni walikuja Africa kufanya walioyafanya kwa ajili yao na vizazi vijavyo hata baada ya wao kufa, viongozi wetu wanayajua haya buy why hawataki ku-practice?
 
mbulaa!! acha na yeye ale'apo kitogo

unajua gharama za kutafuta gas au unaropoka tuu, kutafuta gas baharini ni zaidi ya Dola Milioni 500, ambao ni sawa na utajiri wote wa Mengi, ukikosa imepotea, ukipata kuichimba mpaka iingie sokoni zinahitajika Dila kama Bilioni 20, budget ya Tanzania ya maiaka miwili.
 
Yodoki II na Msalan cjui huyu mzee kawafanyia nini pengine sababu ni mchaga ndio maana. Msihangaike nae sana yamtaeza kumpunguzia chochote
 
mzee wa nani huyo mnafiki,mpenda sifa na kuonewa huruma kama mtoto mdogo?kwanza anao uwezo wa kujilinda sababu ya nguvu zake za kiuchumi na uhusiano wake na ndugu zake wachaga walio kwenye vyombo vya usalama.akwende zake huko,anataka upendeleo umnufaishe yeye binafsi kisia baadaye awe anatupa makombo na kujisifia.tunachotaka si upendeleo ambao hautaza tija.aliwahi kuwa na waajiliwa zaidi ya asilimia 80 kwenye makupuni yake wote wakitokea kilimanjaro mpaka al4po7emwa sana na kuonywa!ebu kwanza tajeni biashara zake huyu tuone kama ana ujasiriamali wa mana sio ujanjaujanja wa kucieza na makaratasi.mkataba na coca umevunjika nasikia.
Magazeti yako ICU, Radio One zilipendwa, ITV angalau, taja nyingine
 
km hufaham khs biashara ni vema kunyamaza, aliekuambia biashara lazma utoe cash uliyonayo ni nan? uwekezaj wwte mkubwa huwez toa pesa zk cash bal unakopa bank , ht Bill Gates hua anakopa bank japo ana utajr wa dolla bil 76 so ht wawekezaj wazawa waweza kukopa il wawekeze!
 
ZABURI 91:10-11... Atamlinda tu haitaji ulinzi wa mafisadi

km kla anaetishiwa maisha serikali impe ulinz cdhn km serikal itaweza cz ht ss idad ya polis haitoshelez mahitaj, kwa m2 km yeye na nguvu ya pesa nadhn anaweza kujilinda...by de way y always him?!
 
mzee wa nani huyo mnafiki,mpenda sifa na kuonewa huruma kama mtoto mdogo?kwanza anao uwezo wa kujilinda sababu ya nguvu zake za kiuchumi na uhusiano wake na ndugu zake wachaga walio kwenye vyombo vya usalama.akwende zake huko,anataka upendeleo umnufaishe yeye binafsi kisia baadaye awe anatupa makombo na kujisifia.tunachotaka si upendeleo ambao hautaza tija.aliwahi kuwa na waajiliwa zaidi ya asilimia 80 kwenye makupuni yake wote wakitokea kilimanjaro mpaka al4po7emwa sana na kuonywa!ebu kwanza tajeni biashara zake huyu tuone kama ana ujasiriamali wa mana sio ujanjaujanja wa kucieza na makaratasi.mkataba na coca umevunjika nasikia.
Sure mkuu mengi ni mnafiki sana anataka upendeleo kwenye vitaru vya gesi halafu anajificha kwenye mgongo wa uzalendo eti ahurumiwe,inakuwaje mengi yeye ndiye mpiga majungu namba one eti leo atishwe huyu mzee fisadi sana hata afanye nini.
 
km hufaham khs biashara ni vema kunyamaza, aliekuambia biashara lazma utoe cash uliyonayo ni nan? uwekezaj wwte mkubwa huwez toa pesa zk cash bal unakopa bank , ht Bill Gates hua anakopa bank japo ana utajr wa dolla bil 76 so ht wawekezaj wazawa waweza kukopa il wawekeze!
Mbona hakuna aliyewakataza kukopa na kuweza sasa mengi anataka upendeleo gani kwanini asiende kukopa akawekeza kuliko kutwa anamsimanga muhongo! Mengi mnafiki na tapeli.
 
Mengi ni muongo sana. Anatafuta umaarufu wa chee tu hapa. Atishiwe ana nini?
 
Kuna wakati mwanasayansi wa kimarekani aliwahi kusema akili zetu sisi watu weusi zinamatatizo (nafikiri anaitwa James Watson) unapoyaona matendo ya viongozi wa ccm na serikali yake the way wanavyo nyanyasa wafanyabiashara wa kizawa unashindwa kabisa kumbishia James Watson, wapo tayari kuona utajiri wa Tanzania wote unahamia nje ya nchi na wakawa happy but anapotokea mzawa, akawekeza kwa wazawa na faida ikabaki hapa hapa wanamchukia kweli kweli, linganisha matukio yafuatayo.

1. Bakheresa na ngano yako mwaka 1995 na unga wa ngano wa Mohamed enterprice (mliokuwepo enzi hizo mnakumbuka, ngano na Bakharesa ilimwagwa na Mo serikali ilibadiri mkemia mkuu wa serikali)
2. Mengi na vita vyake kwenye madini, vyombo vya habari linganisha na wawekezaji wa nje ya nchi.
3. Madini ya Tanzanite, Kenya na India kua muuzaji mkubwa kuliko anaeyachimba, Tanzania na ukimya wa serikali katika hilo.

Nakumbuka mwaka 1994 wakati wa kombe la dunia, wahindi wale wa CTN waliwahi kutishia hata kulipua viwanda vya huyu mzee pale Mikocheni but serikali ilikaa kimya kabisa; najiulizaga, hivi si tumelogwa? Wakoloni walikuja Africa kufanya walioyafanya kwa ajili yao na vizazi vijavyo hata baada ya wao kufa, viongozi wetu wanayajua haya buy why hawataki ku-practice?
Sitaki hata niseme sana nimewahi kuishi dar nakufanya kazi kwenye taasisi za huyu mzee mengi jamani huyu mzee mwizi na mtesaji wa wanyonge pia ni fisadi sema hamjapata fulsa ya kumjua huyu siyo wa kutetea hafai kanisani wala msikitini.
 
Yaani reginald mengi ana habari nzito kama hii halafu inaripotiwa na gazeti la raia mwema? Nipashe, daily news na itv anazomiliki zimeenda wapi? Tusidanganyane
 
katishwa? mzee kituko kweli huyu aache kutafuta sifa nyepesi huyu mzee.
 
Yaani reginald mengi ana habari nzito kama hii halafu inaripotiwa na gazeti la raia mwema? Nipashe, daily news na itv anazomiliki zimeenda wapi? Tusidanganyane

Hapa katumia akili ya kawaida sana anajua ikiandikwa na magazeti yake italeta picha fulani kwahiyo yeye alichofanya kawapa hela Rai mwema waandike,

ujue akili ya mengi ndogo sana anacheza na akili ya watanzania tu kwa wale tunaomjua tunampuuza tu fisadi huyu.
 
Anaota kuwa Dangote wa mafuta wa bongo hafahamu Nigeria kuna Dangote 10 , masikini million 100, Delta force million 10 na Boko haram million 10
Yeye anachojali awe Dangote wetu tu.
Humkuti kutetea TPDC kutuwakilisha na husikii kuichagiza serikali shirika hilo lipewe nyenzo ili lituwakilishe vizuri kwa manufaa yetu sote....anachojali petro dolla tu
 
Kwa mujibu wa gazeti la Raia Mwema, Reginald Mengi anasema maisha yake yako hatarini.

Hii ni mara ya nne mzee wetu huyu kudai maisha yake yako hatarini. Mara ya kwanza wakati akiwa katika mzozo na wamiliki wa DTV, mara ya pili wakati wa Sakata la ufisadi na mara ya tatu wakati alipogombana na Waziri kijana ambaye hakumtaja.

Serikali impe ulinzi mzee wetu.
ukisoma kipande cha huyu jamaa unaweza kupata picha kuwa mengi wa hovy.
[h=2]Ukiondoa sababu ya kutoelewana na Reginald Mengi, sijaona sababu ya Prof. Muhongo kung'oka[/h]
Wana jamvi, ni matumaini yangu kuwa bado mnaendelea kutafakari mapendekezo hovyo ya Kamati ya PAC yaliyozaa maazimio hovyo ya Bunge juu ya sakata la Akaunti ya ESCROW. Mjadala mkubwa hapa JF kwa sasa ni juu ya sababu ya msingi ya kuondolewa kwa baadhi ya mawaziri kwa kuhusika kwao na sakata la ESCROW achilia mbali utata uliogubika mwenendo mzima wa uchunguzi wake. Ni bahati mbaya sana Ripoti ya CAG haikuainisha makosa ya msingi ya kuondolewa kwa Waziri wa Nishati na Madini, Sospeter Muhongo au hata Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Eliakim Maswi. Hakika hawa jamaa nawaadimire sana kwenye kazi zao. Wameleta displine kwa shirika la umeme na wamevuruga sana miradi ya kifisadi ambayo ilikuwa inapoteza mapato mengi sana ya TANESCO.

Wadau, kuna msemo usemao kuwa mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni. Ni aibu kwa kamati ya PAC kupendekeza waziri na Katibu Mkuu wa Nishati na Madini wang'oke kwa sababu zisizoeleweka. Eti wanasema kuwa Waziri anaondolewa kwa kusema kwake uongo bungeni. Haya tuambieni, kauli aliyotoa Muhongo ni ile ile aliyotoa Waziri Mkuu Pinda kuwa fedha zile si mali ya serikali wala TANESCO bali ni mali ya IPTL. Pia Naibu Waziri Stephen Maselle alitoa kauli hiyo hiyo ambayo ilitokana na ruling ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Werema. Sasa hapo kosa la Muhongo na Maswi lipo wapi?

Sababu ya pili iliyoainishwa na akina Zitto eti ndo sababu ya Waziri Msomi tena aliyeliletea manufaa makubwa shirika na wizara kwa ujumla wanasema ni kuwa dalali. Eti kwa vile wamiliki wa IPTL na wa PAP walikutana ofisini kwake. Hakika inashangaza sana. Yaani waziri na Katibu Mkuu hawaruhusiwi kukutana na wawekezaji wawe fake au halali? Nani anatambua kuwa mwekezaji fulani ni fake au halali? Hakika inachelesha sana. Nimefuatilia mijadala juu ya sababu ya kuondolewa kwa Viongozi hawa hakika kila mmoja anajikanyaga.

Jamani ifike wakati tuwe wakweli kusema ukweli. Wengi waliopiga kelele ili Maswi na Muhongo waondoke ni wale wale ama waliwahi kukwaruzana hapo nyuma kama ilivyo kwa Ole Sendeka dhidi ya Muhongo, au Kafulila dhidi ya Maswi. Usitegemee kuwa hawa wabunge watakuwa mabalozi wa mahasimu wao.

Wengine wanaopiga kelele ni wale waliotajwa kula mlungula kutoka kwa Reginald Mengi. Tena hawa walikuwa wanaongea kwa jazba kubwa utafikiri wana uchungu kumbe wanatetea rushwa waliyokula. Binafsi hii ndo naona sababu ya msingi ya Muhongo na Maswi kuondolewa. Rushwa rushwa rushwa. Mbowe ananuka rushwa. Zitto ananuka rushwa. Kafulila ananuka rushwa. Mbatia ananuka rushwa. Mnyika ananuka rushwa. Ole sendeka ananuka rushwa. Serukamba ananuka rushwa nk nk. Ndo maana Spika wa Bunge amekemea sana wabunge kupewa fedha
 
Back
Top Bottom