Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,644
- 218,092
Mengi anaponzwa na tamaa zake na ubinafsi uliopitiliza.
Anataka watanzania tuumuunge mkono kila akiwa na ugomvi wake binafsi.
Suala la vitalu vya gesi Prof. Muhongo alishalitolea ufafanuzi wa kina kabisa, kuwa hakuna Mtanzania aliyenyimwa kumiliki vitalu, ila wafuate utaratibu wa kununua hisa TPDC.
Mengi ni mnafiki sana!
KWA TAARIFA YAKO HUYO MZEE AKIDHURIKA kuna watu WATADHURIKA NDANI YA NUSU SAA TU ! DAWA YA MOTO NI MOTO !