Mengi: Natishwa

Mengi anaponzwa na tamaa zake na ubinafsi uliopitiliza.

Anataka watanzania tuumuunge mkono kila akiwa na ugomvi wake binafsi.

Suala la vitalu vya gesi Prof. Muhongo alishalitolea ufafanuzi wa kina kabisa, kuwa hakuna Mtanzania aliyenyimwa kumiliki vitalu, ila wafuate utaratibu wa kununua hisa TPDC.

Mengi ni mnafiki sana!

KWA TAARIFA YAKO HUYO MZEE AKIDHURIKA kuna watu WATADHURIKA NDANI YA NUSU SAA TU ! DAWA YA MOTO NI MOTO !
 
Sijawahi kuona serikali yoyote makini ambayo ni adui kwa wawekezaji wazawa kama serikali ya Tanzania

Mzee Mengi ametukanwa na kudhalilishwa sana na baadhi ya watu wenye dhamana serikalini huku wakilinda kuwanyenyekea wageni.Haiwezekani hata kidogo

Pia ikifikia hatua Mwenyekiti wa Bunge la katiba ambaye ni waziri anatishia ITV kwa kutekeleza wajibu wake ujue kuna serious hostility dhidi ya mmiliki wake

Labda wawekezaji wazawa hawakati cha juu kama wageni!
 
Nakula kiapo kwamzalendo huyu .
Ole wake atakaye mgusa mzee wetu huyu mzawa!
Nipo tayari kwa lolote juu ya huyu mzee wetu kipenzi.
=uongozi legelege haya ndiyo matokeo yake
 
Wanamtisha kwa kuwa kwa mara ya kwanza bunge lieonyeshwa kupitia itv mhongo kuthibitisha ni muongo? Mbona mim nilionyesha live kupitia ramli? Waje wantishe basi cha moto wakione
Kwa mara ya kwanza ITV walionesha wakati wao walidaka matangazo ya TBC na kuyarusha kwa umma!!
 
Mengi anaponzwa na tamaa zake na ubinafsi uliopitiliza.

Anataka watanzania tuumuunge mkono kila akiwa na ugomvi wake binafsi.

Suala la vitalu vya gesi Prof. Muhongo alishalitolea ufafanuzi wa kina kabisa, kuwa hakuna Mtanzania aliyenyimwa kumiliki vitalu, ila wafuate utaratibu wa kununua hisa TPDC.

Mengi ni mnafiki sana!

Tutamlinda mzee wetu Mengi kwa garama zozote dhidi ya nyie mafirauni wauaji ccm wakiongozwa na kina Lizaboni.
 
Kwa mujibu wa gazeti la Raia Mwema, Reginald Mengi anasema maisha yake yako hatarini.

Hii ni mara ya nne mzee wetu huyu kudai maisha yake yako hatarini. Mara ya kwanza wakati akiwa katika mzozo na wamiliki wa DTV, mara ya pili wakati wa Sakata la ufisadi na mara ya tatu wakati alipogombana na Waziri kijana ambaye hakumtaja.

Serikali impe ulinzi mzee wetu.
Mengi anapenda kutumia wananchi kuonyesha anaonewa katika mambo yanayo mnuaisha yeye binafsi hata kama akiwa kinyume cha taratibu na anafanya makusudi
 
Waziri mwenye dhamana anapodai kuwa wawekezaji wa Tanzania hawana uwezo wa kuwekeza kwenye gesi hivyo wawekeze kwenye juice ,Matunda na Maandazi unalichukuliaje?

Mengi anataka kutudalalia hata sisi watanzania wenzie kwenye gas?

Huyu Mchaga katili sana!
 
Sijawahi kuona serikali yoyote makini ambayo ni adui kwa wawekezaji wazawa kama serikali ya Tanzania

Mzee Mengi ametukanwa na kudhalilishwa sana na baadhi ya watu wenye dhamana serikalini huku wakilinda kuwanyenyekea wageni.Haiwezekani hata kidogo

Pia ikifikia hatua Mwenyekiti wa Bunge la katiba ambaye ni waziri anatishia ITV kwa kutekeleza wajibu wake ujue kuna serious hostility dhidi ya mmiliki wake

Ni Tanzania tu ndio serikali yenye uadui na wananchi wake.
 
Lakini hana kashifa ya ufisadi kama huyu wa kwenu.

Lakini imetoka wapi tena? Tukubaliane kuwa kuna watanzania wenye asili ya India, na Pia kuna wahindi wenye asili ya Tanzania, kama vile wamerakani wenye asili ya Tanzania/Africa etc
 
Mzee Mengi atawadanganya wengine au labda wale wenye interest nae! Natamani kuelezea mlolongo wa unafiki wa Mzee Mengi lakini sina budi na hapa nitaeleza mambo mawili tu:
  • Juzi juzi tu hapa, akalalamika dunia mzima ikamsikia kwamba Mzee Mengi anapigani haki ya wananchi kupata habari! Hili lilitokea pale TCRA lilipoamua kuzima mitambo ya analogue Dar es salaam! Mzee Mengi akasimama kidete kupinga huku akijifanya kuwatetea wananchi wasio na uwezo wa kununua ving'amuzi kwamba watanyimwa uhuru wa kupata habari! Baada ya ving'amuzi vya Digtek kuingia sokoni, Mzee Mengi kimyaaaaaa.... hatusikii tena akiwapigania wananchi wasio na uwezo wa kununua ving'amuzi! Wenye akili zao ndipo wakaja kugundua kwamba eh; kumbe kelele zote zile ni kwavile alifahamu mitambo ya analogue ikizimwa wakati ving'amuzi vyake havijaingia sokoni, people will have no way out but to turn to Star Time to the point, hadi ving'amuzi vyake vinaingia sokoni, kila mmoja atakuwa ameshabeba cha Star Time na vyake kumdodea!


  • Hata baada ya ving'amuzi vyake kuingia sokoni, akaindoa ITV na Channel 5 kutoka Star Times kinyume na sheria za TCRA! Alifanya hayo ili kuwataka watu wanunue ving'amuzi vyake kwavile anafahamu Watanzania wengi ITV ni moja ya vituo vyao muhimu! Thanks kwa ujasiri wa Profesa Mkoma, Mengi akapigwa biti na hakuwa na namna zaidi ya kuirudisha ITV Star Times.


  • Several years ago, ten years or so Mengi huyu huyu aliingia kwenye malumbano na mawaziri wa serikali ya Mkapa kwa kile alichoita kubaniwa kuinunua Kilimanjaro Hotel. Akapiga kelel, akalia na kila mtu akaona wale mawaziri hawawathamini wawekezaji wazawa!Miaka takribani kumi imepita na sijasikia kwamba Mzee Mengi amejenga hotel mahali fulani. Sasa hapo mtu unajiuliza, kwamba huyu mzee aliitaka Kilimajaro Hotel ili awekeze kwenye hospitality industry au aliitaka kwavile alifahamu kwamba ipo prime location na angekuja kuipiga bei kwa pesa maradufu ya ile aiyonunulia!!!
 
Back
Top Bottom