Men Talk: Una handle vipi michepuko yako?

Wakuu we chepuka tu!!
But fanya ufanyavyo usije ukachepuka na mchepuko wenye akili nyingi...
Ipo siku utakuja kujuta na kujiona mjinga sana..
Nilikua najionaga PRO, MAMBA na majina yote ila nikaja nikakutana na nyangumi... aliniyumbisha kifamilia mpaka nikajuta...

Inshort..
Nilipata Pisi moja ya ki A-TOWN ... iko vizuri kila idara halafu haina njaa kabisa ya hela coz familia bora na yenyewe inamishe zake mjini inaishi fresh...
Kutokana na hali ya uchumi wa kati na +ubahiri wa chini ya mlima ... nikaona nimeokota nazi chini ya mwembe...
nikaanza kuteleza nayo ikanogewa ..bila nguvu ikawa inafata sheria zote... kumbe inanikusanyia ushahidi na taarifa ili inimalize...
kidume nikazama nikaona nimefik... kumbe hii pisi huwa inanakili taarifa zangu muhimu na kila kitu ndani ya miezi 8 ... akawa ameshapata kila kitu kuanzia namba za wifu na anaishu gani town...
weekend moja nilikua tyt kishenzi kihome home coz kulikua na kaugeni toka kwa wakwe so nikawa niko tyt full,.. nikasahau kumcheki... nikashinda full day jmosi na j2 niko na wife bampa to bampa... usiku kama saa 4 j2 akanicheki kwa kunicall nikakata na kuzima simu...
hapo nikawa nimejipalia makaa..

Akamcall wife akamwambia naomba kuongea na flani,,, nilimpa jina langu maarufu.. wife akasema hamjui labda kakosea namba. demu kwambia hajakosea.. kama vp amwambie mme wake awashe simu paliwaka .. huku na huku kidume nikaambiwa niwashe simu nikamwonyesha simu ipo on mbona.
wacha wife amwogeshe matusi huyo demu... demu akamwambia akubali tu kuwa yeye ni mke mdogo aondoe stress coz yeye anamjua siku nyingi...
mi nikaruka mita mia na kujiapiza simjui .. na wife akawa anatafuta ushahidi kuwa kweli huyo demu ni wangu kuanza kumhoji ndio alimwaga vizibitisho vyote...
MIXER kumpa ratiba zangu zote tata ambazo tuikua tunaenda kukutana nae...
na details za mwili toka kwenye nywele mpaka unyayo..
ili kua nikama mwezi wa drama ..
kesho yake nikamtafuta nimzingue demu ananiambia yeye ni mke mdogo so anahaki ya kujuliwa hali kama kawaida tena ikiwezekana apate na ratiba ya kulala kwake full sio kuiba iba..

yan ilikua ni shida mpaka imefika mwisho naachana nae ilikua nitaabu

kuanzia hapo nachepuka na mademu ambao hawawezi kunipa shida .
mostly napenda zile za hit and run hakuna makazi
duh uyo mchepuko atakuwa ana phd ya mbinu za hatar sana sema kamanda ulikamatika vp bado unaendelea na ile michepuko ya kina mwajuma ndalandefu au
 
Mambo yako hivyo pande zote 2 ... Kuna wanaume pia Wana sumbuliwa na wanawake kila kukicha ... Ila nikwakuwa wanaume hatunaga desturi ya kuongea mambo yetu hadharani kwa kuwa huwa tunatafasiri kwamba tutaonekana wadhaifu so hiyo Hali inapelekea jamii kutotambua ukubwa wa changamoto zinazo tuzunguka ktk mahusiano
umenikumbusha mbali sana,yule dada mke wa mtu alikuwa akichat na mimi mpaka saa6 usiku. sometimes ananipa game kwenye gari yake. nilipogundua kama ni mke wa mtu nilishangaa sana aliwezaje yote yale
 
Wakuu we chepuka tu!!
But fanya ufanyavyo usije ukachepuka na mchepuko wenye akili nyingi...
Ipo siku utakuja kujuta na kujiona mjinga sana..
Nilikua najionaga PRO, MAMBA na majina yote ila nikaja nikakutana na nyangumi... aliniyumbisha kifamilia mpaka nikajuta...

Inshort..
Nilipata Pisi moja ya ki A-TOWN ... iko vizuri kila idara halafu haina njaa kabisa ya hela coz familia bora na yenyewe inamishe zake mjini inaishi fresh...
Kutokana na hali ya uchumi wa kati na +ubahiri wa chini ya mlima ... nikaona nimeokota nazi chini ya mwembe...
nikaanza kuteleza nayo ikanogewa ..bila nguvu ikawa inafata sheria zote... kumbe inanikusanyia ushahidi na taarifa ili inimalize...
kidume nikazama nikaona nimefik... kumbe hii pisi huwa inanakili taarifa zangu muhimu na kila kitu ndani ya miezi 8 ... akawa ameshapata kila kitu kuanzia namba za wifu na anaishu gani town...
weekend moja nilikua tyt kishenzi kihome home coz kulikua na kaugeni toka kwa wakwe so nikawa niko tyt full,.. nikasahau kumcheki... nikashinda full day jmosi na j2 niko na wife bampa to bampa... usiku kama saa 4 j2 akanicheki kwa kunicall nikakata na kuzima simu...
hapo nikawa nimejipalia makaa..

Akamcall wife akamwambia naomba kuongea na flani,,, nilimpa jina langu maarufu.. wife akasema hamjui labda kakosea namba. demu kwambia hajakosea.. kama vp amwambie mme wake awashe simu paliwaka .. huku na huku kidume nikaambiwa niwashe simu nikamwonyesha simu ipo on mbona.
wacha wife amwogeshe matusi huyo demu... demu akamwambia akubali tu kuwa yeye ni mke mdogo aondoe stress coz yeye anamjua siku nyingi...
mi nikaruka mita mia na kujiapiza simjui .. na wife akawa anatafuta ushahidi kuwa kweli huyo demu ni wangu kuanza kumhoji ndio alimwaga vizibitisho vyote...
MIXER kumpa ratiba zangu zote tata ambazo tuikua tunaenda kukutana nae...
na details za mwili toka kwenye nywele mpaka unyayo..
ili kua nikama mwezi wa drama ..
kesho yake nikamtafuta nimzingue demu ananiambia yeye ni mke mdogo so anahaki ya kujuliwa hali kama kawaida tena ikiwezekana apate na ratiba ya kulala kwake full sio kuiba iba..

yan ilikua ni shida mpaka imefika mwisho naachana nae ilikua nitaabu

kuanzia hapo nachepuka na mademu ambao hawawezi kunipa shida .
mostly napenda zile za hit and run hakuna makazi
Huyo alikuelewa
 
Naona wachangiaji wengi humu bado ni amateurs kwenye kuchepuka, Mi ni pro kwenye michepuko, nina michepuko kama 6 hivi na yote nawasiliana nayo kwa kutumia Whatsapp any time I want, even if I'm at home.

Ni hivi: Kwenye simu yangu nina whatsapp 2, moja ni kwa ajili ya watu wangu na nyingine ni kwa ajili ya michepuko. Hii whatsapp ya michepuko nimeificha na kama itaingia msg yoyote basi itaonesha icon tu kwenye notification bar.
kumbe ndo zenu
 
Wakuu we chepuka tu!!
But fanya ufanyavyo usije ukachepuka na mchepuko wenye akili nyingi...
Ipo siku utakuja kujuta na kujiona mjinga sana..
Nilikua najionaga PRO, MAMBA na majina yote ila nikaja nikakutana na nyangumi... aliniyumbisha kifamilia mpaka nikajuta...

Inshort..
Nilipata Pisi moja ya ki A-TOWN ... iko vizuri kila idara halafu haina njaa kabisa ya hela coz familia bora na yenyewe inamishe zake mjini inaishi fresh...
Kutokana na hali ya uchumi wa kati na +ubahiri wa chini ya mlima ... nikaona nimeokota nazi chini ya mwembe...
nikaanza kuteleza nayo ikanogewa ..bila nguvu ikawa inafata sheria zote... kumbe inanikusanyia ushahidi na taarifa ili inimalize...
kidume nikazama nikaona nimefik... kumbe hii pisi huwa inanakili taarifa zangu muhimu na kila kitu ndani ya miezi 8 ... akawa ameshapata kila kitu kuanzia namba za wifu na anaishu gani town...
weekend moja nilikua tyt kishenzi kihome home coz kulikua na kaugeni toka kwa wakwe so nikawa niko tyt full,.. nikasahau kumcheki... nikashinda full day jmosi na j2 niko na wife bampa to bampa... usiku kama saa 4 j2 akanicheki kwa kunicall nikakata na kuzima simu...
hapo nikawa nimejipalia makaa..

Akamcall wife akamwambia naomba kuongea na flani,,, nilimpa jina langu maarufu.. wife akasema hamjui labda kakosea namba. demu kwambia hajakosea.. kama vp amwambie mme wake awashe simu paliwaka .. huku na huku kidume nikaambiwa niwashe simu nikamwonyesha simu ipo on mbona.
wacha wife amwogeshe matusi huyo demu... demu akamwambia akubali tu kuwa yeye ni mke mdogo aondoe stress coz yeye anamjua siku nyingi...
mi nikaruka mita mia na kujiapiza simjui .. na wife akawa anatafuta ushahidi kuwa kweli huyo demu ni wangu kuanza kumhoji ndio alimwaga vizibitisho vyote...
MIXER kumpa ratiba zangu zote tata ambazo tuikua tunaenda kukutana nae...
na details za mwili toka kwenye nywele mpaka unyayo..
ili kua nikama mwezi wa drama ..
kesho yake nikamtafuta nimzingue demu ananiambia yeye ni mke mdogo so anahaki ya kujuliwa hali kama kawaida tena ikiwezekana apate na ratiba ya kulala kwake full sio kuiba iba..

yan ilikua ni shida mpaka imefika mwisho naachana nae ilikua nitaabu

kuanzia hapo nachepuka na mademu ambao hawawezi kunipa shida .
mostly napenda zile za hit and run hakuna makazi
Dooh!

So mmeachana kabisa kabisa na hakusumbui?
 
Ukiijua saikolojia ya mwanaume husika ishu inakuwa nyepesi sana kudeal na wanaume wenye michepuko, usitumie hasira kabisa mbona unampangia matukio tu ya kiakili mpaka anasanda mwenyewe, mbinu zangu nikizitumia kwa mwanaume yeyote yeye mwenyewe ataomba talaka, anikimbie au ajiue
Uza ramani ya vita mrembo
 
Naona wachangiaji wengi humu bado ni amateurs kwenye kuchepuka, Mi ni pro kwenye michepuko, nina michepuko kama 6 hivi na yote nawasiliana nayo kwa kutumia Whatsapp any time I want, even if I'm at home.

Ni hivi: Kwenye simu yangu nina whatsapp 2, moja ni kwa ajili ya watu wangu na nyingine ni kwa ajili ya michepuko. Hii whatsapp ya michepuko nimeificha na kama itaingia msg yoyote basi itaonesha icon tu kwenye notification bar.
Michepuko 6 lol.
 
Kwanza Salam kwenu wakuu

Ninapenda kuwafahamisha wanawake/wake zetu kuwa hakuna kazi ngumu kama kuhandle michepuko isiingiliane na shughuli za kila siku ndani ya ndoa /nyumba.

Kuna michepuko ambayo unakuta inatambua kuwa umeoa inakuwa inakutafuta siku ya dudu jeupe tuu, mingine siku ikitaka pesa.
Mingine inaelewa kuwa umeoa na inaheshimu ndoa, inasubiri mpaka uitafute wewe ndo muwe mnafanya mawasiliano.

Sasa kuna kichwa maji, bogus, Fakeni na Tablalasa; hiyo haielewi kila muda ni calls, SMS na faken shits nyingine. Kwa kiasi inakera na mara nyingi unakuta ni mafresheshers kwenye suala la kupeana utamu.

Sasa mwenzenu yamenikuta. Kuna pisi moja first year uni moja, Pisi Kali matata nikaamua kuifanyia kazi kiuzoefu nikijua ni Pro kumbe ni amateur. Nikaanza na Mikiki ya kuipagawisha kunako bed ili ilainike niikule vilivyo next time nipate Tunda isinione Fala.

Nikatumia ujuzi wangu wote kumbe Fresher. Kapagawa sasa kila siku anapiga simu na SMS za kuzidi.

Sasa imefikia hadi job anakuja. Wifey nahisi kashtukia mchezo ila kakaa kimya.

NATAFUTA HANDLER WA HUYU MCHEPUKO.
kwa mlikofikia nadhani kikubwa ni kupiga chini meenda mbali sana
 
Back
Top Bottom