Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 53,159
- 72,199
Sawa mchepsImetulia
Sawa mchepsImetulia
Nipe no. za wife mkuu nimpange nimtoe wasiwasi Kwamba huwa huchepuki


Mkuu wapo wengi sana wa hivi.Unapokuwa na mchepuko, just be aware kwamba you're in the chain. Siamini kama mwanamke anaweza kuwa mchepuko wako na akatulia na wewe tu wakati anajua kabisa una mke, I just can't buy it!
otherwise endelea na shughuli zako.Na wewe ukaamini kabisa kuwa mkeo amekuelewa na kuamini huo uongo wako? Unaijua akili ya mwanamke vizuri wewe? Dawa yako ipo jikoniMie nina mchepuko wangu upo dsm .! Nashukuru hauna usumbufu nauvutia muda nije nitafute ka safari ka uongo na kweli nikamkunje kisawa sawa....!
Ile kumsukumia motooo haswaaa.
Akaniuliza mbona anasema amekosea namba wakati namba iko saved.! Ila nilimbembeleza akanielewa
Una i handle kiboya, au ni wote mmepagawa!! Au mkeo yuko fair kiasi.Huyo Ni pro mkuu.
Nimekutana na Unskilled one .....nikatumia skills zote kumpagawisha , Arooo Arooo simu haziishi now nimeblock ...na Anajua kuwa Nimeoa.
Nawaambia Tena wake zetu hakuna kazi ngumu Kama kuhandle michepuko.
Umemkamataaa!!!!!Na wewe ukaamini kabisa kuwa mkeo amekuelewa na kuamini huo uongo wako? Unaijua akili ya mwanamke vizuri wewe? Dawa yako ipo jikoni
Hapo WhatsApp bado amateur kula hiiNaona wachangiaji wengi humu bado ni amateurs kwenye kuchepuka, Mi ni pro kwenye michepuko, nina michepuko kama 6 hivi na yote nawasiliana nayo kwa kutumia Whatsapp any time I want, even if I'm at home. Ni hivi: Kwenye simu yangu nina whatsapp 2, moja ni kwa ajili ya watu wangu na nyingine ni kwa ajili ya michepuko. Hii whatsapp ya michepuko nimeificha na kama itaingia msg yoyote basi itaonesha icon tu kwenye notification bar.
Simu zenye clone app ndio zinasaidia. Unaclone WhatsApp kisha unaiweka clone kwenye vault utakuwa unatumia kwa muda wako uko. Tatizo namba ile itajulikana iko WhatsApp ila utaficha last seen na unaikana kwa wasiohusika wala huweki dpNaona wachangiaji wengi humu bado ni amateurs kwenye kuchepuka, Mi ni pro kwenye michepuko, nina michepuko kama 6 hivi na yote nawasiliana nayo kwa kutumia Whatsapp any time I want, even if I'm at home. Ni hivi: Kwenye simu yangu nina whatsapp 2, moja ni kwa ajili ya watu wangu na nyingine ni kwa ajili ya michepuko. Hii whatsapp ya michepuko nimeificha na kama itaingia msg yoyote basi itaonesha icon tu kwenye notification bar.
NotedImetulia