Men Talk: Una handle vipi michepuko yako?

Men Talk: Una handle vipi michepuko yako?

Kuna mtu kakuta chupi kwenye suruali ya mume
Mwingine kaambiwa kwani we huna ex wako
Yani vituko mpaka nimewaza hivi kwanini wanaume wanaoa kama wanasumbua wanawake kiasi hicho
Mambo yako hivyo pande zote 2 ... Kuna wanaume pia Wana sumbuliwa na wanawake kila kukicha ... Ila nikwakuwa wanaume hatunaga desturi ya kuongea mambo yetu hadharani kwa kuwa huwa tunatafasiri kwamba tutaonekana wadhaifu so hiyo Hali inapelekea jamii kutotambua ukubwa wa changamoto zinazo tuzunguka ktk mahusiano
 
Umenikumbusha kisa flani hivi kilimkuta jamaa.alikua na michepuko miwili, na alikua anajisifu kwamba anaihandle fresh tu. Sasa kumbe wife wake alishashtukia mchezo siku nyingi.
Alitengeneza urafiki na moja ya mchepuko wa mumewe na akawa anamuuliza namna ya kudeal na mume wa mtu ( ikumbukwe mchepuko alikua hamjui wife wa jamaa, ila alikua anajua tu kaoa). Ushosti ukakolea na mchepuko ulimsaidia wife wa jamaa kua pro katika kuchepuka na waume za watu.
Siku moja wife wa jamaa alimualika huyo shost nyumbani kwake. Mchepuko ukaaga kwa jamaa kwamba anaenda kwa rafiki yake na atalala huko ( alimsimulia pia namna huyo rafiki yake alivyo pro kwenye kuchepuka na waume za watu na moja ya mchepuko wake alikua mtu mzito jeshini)

Wife wa jamaa anamwambia mumewe kwamba kuna rafiki yake atakuja kumsalimu na atalala. Jioni jamaa anarudi home anakuta mchepuko na wife wako jikoni wanapiga story, wife anamtambulisha yule shosti kwamba yule ni mume wake!
Aiseee jamaaa alipaniki na alikosa uvumilivu.akamvamia wife na kumshushia kipigo heavy nusura auwe!
Jamaa akaishia jela, 3 years akatumikia. Ametoka mwaka jana disemba na ndo akanipa story nini kilitokea.

MAKE SURE YOU CHEAT SMART. WANAWAKE WENGINE NI MAFIA BALAA
akili Hana huyo jamaa
 
Akishakuwa mchepuko you don't need to care kuhusu yeye kuwa na mtu or watu wengine atajijua mwwnyewe na balaa lake ilimradi yeye akupe utamu tu then maisha ya endelee
Afya ya mchepuko wako...inauhusiano na Yakwako...Akichepuka mchepuko..akapata maradhi ..mkeo nae kapata ...
Sasa utasemaje mchepuko afanye atakalo
 
Ntamuabisha ukoo mzima na nitachukua vizibiti vyote ntajitahidi kufatilia na kuvipata then ntaenda kanisani kwa baba paroko ndoa ivunjwe. Kwa sababu ndoa itavunjika tuu ikiwa kuna uzinzi umefanyika. Shida ni kwamba huwa tunawaza watoto mara familia ila hatuwazi magonjwa,mateso kwa familia ikiwa huyo mchepuko atamchukua akili mazima huyo baba. Na itabaki kuwa aibu kwake maana itajulikana alikua na mke ila hakua mwaminifu.
Mpe mpenzi wako mahaba ila asikutese tese sijui jeuka huku 😅😅
 
Umenikumbusha kisa flani hivi kilimkuta jamaa.alikua na michepuko miwili, na alikua anajisifu kwamba anaihandle fresh tu. Sasa kumbe wife wake alishashtukia mchezo siku nyingi.
Alitengeneza urafiki na moja ya mchepuko wa mumewe na akawa anamuuliza namna ya kudeal na mume wa mtu ( ikumbukwe mchepuko alikua hamjui wife wa jamaa, ila alikua anajua tu kaoa). Ushosti ukakolea na mchepuko ulimsaidia wife wa jamaa kua pro katika kuchepuka na waume za watu.
Siku moja wife wa jamaa alimualika huyo shost nyumbani kwake. Mchepuko ukaaga kwa jamaa kwamba anaenda kwa rafiki yake na atalala huko ( alimsimulia pia namna huyo rafiki yake alivyo pro kwenye kuchepuka na waume za watu na moja ya mchepuko wake alikua mtu mzito jeshini)

Wife wa jamaa anamwambia mumewe kwamba kuna rafiki yake atakuja kumsalimu na atalala. Jioni jamaa anarudi home anakuta mchepuko na wife wako jikoni wanapiga story, wife anamtambulisha yule shosti kwamba yule ni mume wake!
Aiseee jamaaa alipaniki na alikosa uvumilivu.akamvamia wife na kumshushia kipigo heavy nusura auwe!
Jamaa akaishia jela, 3 years akatumikia. Ametoka mwaka jana disemba na ndo akanipa story nini kilitokea.

MAKE SURE YOU CHEAT SMART. WANAWAKE WENGINE NI MAFIA BALAA
Mkuu baada ya hapo ndoa iliendelea kuwepo?
 
Akishakuwa mchepuko you don't need to care kuhusu yeye kuwa na mtu or watu wengine atajijua mwwnyewe na balaa lake ilimradi yeye akupe utamu tu then maisha ya endelee
Noma sana mkuu, una uzoefu wa kutosha
 
Kuna kitu gani kipya kinapatikana kwa mchepuko na kukosekana kwa mke!!...kwa upande wangu hakuna kipya zaidi kero tu majuto, nimeacha mambo hayo kitambo sana baada ya kuona ni hasara badala ya faida, kama mbunye ni ileike cha muhimu nikuwa mbunifu tu na mkeo utamuona mpya kila siku.
 
Kuna kitu gani kipya kinapatikana kwa mchepuko na kukosekana kwa mke!!...kwa upande wangu hakuna kipya zaidi kero tu majuto, nimeacha mambo hayo kitambo sana baada ya kuona ni hasara badala ya faida, kama mbunye ni ileike cha muhimu nikuwa mbunifu tu na mkeo utamuona mpya kila siku.
Wewe wasema

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom