Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 13,709
- 23,117
Mimi nimelipa password.Ili tuwasiliane lazima aanze na kunitumia neno "MAMBO? mimi nikijibu POA ujue karuhusiwa tuwasiliane nipo free ila nikijibu FRESHI ujue nipo na mama mtawala.Pia nimemtisha kuwa mama mtawala akijua kuhusu sisi basi jua ndo mwisho wa mahusiano yetu. Kifupi kaupenda mchezo tupo nae tunasebenza nae


