Men Talk: Una handle vipi michepuko yako?

Men Talk: Una handle vipi michepuko yako?

1. Hujui kama wife yupo humu au lah!!

2. Anaijua ID yako moja!!

3. Una IDs 10+ hapa JF!

Kama hujui kama yupo humu ni yupi huyo unayemstalk kimya kimya kwa ID ya 10?

Ujinga raha sana.

Sijui kama yupo humu..!Nilimanisha sijui kama anakomenti kwenye hili jukwaa.! Anapenda mambo ya mapishi so sijui kama anapitaga na hapa. So ni suala la kutuliza akili kuelewa nilichokiandika
 
Mambo yako hivyo pande zote 2 ... Kuna wanaume pia Wana sumbuliwa na wanawake kila kukicha ... Ila nikwakuwa wanaume hatunaga desturi ya kuongea mambo yetu hadharani kwa kuwa huwa tunatafasiri kwamba tutaonekana wadhaifu so hiyo Hali inapelekea jamii kutotambua ukubwa wa changamoto zinazo tuzunguka ktk mahusiano
Kweli mwanaume umetulia ila mwenzako akipungukiwa 5000 anakigawa free kabisa. Wanawake wanalika sana sababu ya kupenda wepesi wa maisha.
 
Yani nyie ndio bure kabisa, mnasema siri mbele ya majeshi pinzani ohooo tutarajie ndoa nyingi kuvunjika.
 
Naona wachangiaji wengi humu bado ni amateurs kwenye kuchepuka, Mi ni pro kwenye michepuko, nina michepuko kama 6 hivi na yote nawasiliana nayo kwa kutumia Whatsapp any time I want, even if I'm at home. Ni hivi: Kwenye simu yangu nina whatsapp 2, moja ni kwa ajili ya watu wangu na nyingine ni kwa ajili ya michepuko. Hii whatsapp ya michepuko nimeificha na kama itaingia msg yoyote basi itaonesha icon tu kwenye notification bar.
Tabu yote ya nini?? Siku moja utakamatwa tu
 
Kabisa kwa hali hii mimi ni mkristo naunga mkono hoja kuliko kujifanya ww ni mkristo safi kumbe unafanya dhambi ya uzinzi nje. Mtu anajisifia eti ana michepuko 6. Yani navyojiheshimu hivi nakataa vishawishi kwa wanaume namtunzia mume wangu na afya yangu leo nimkute live au msg inayoonyesha wamefanya hiko kitendo kweli he will pay the price.
Kwa iyo ukigundua na we utang'atwa
 
No phone calls, no sms, no WhatsApp we are just twitting our DMs
Juzi kati kuna malaya mmoja town nimemla akaanza kuleta mazoea ya texts na simu nikamuita tuonane sehem kweli akaja akakuta nakula vyombo nae akaagiza alichoshangaa sikua na mchangamkia kama kawaida, nikamwambia nilishakuonya usinipigie simu wala sms ila naona hatuelewani, sasa kwakua umeshindwa kufuata conditions naomba mambo yaishie hapa, lets forget kama tumewahi kugongana tubakie kuwa marafiki kama ilivyokua awali, demu kashtuka kajifanya kupanick ila nikamwambia thats it.
 
Kwanza Salam kwenu wakuu

Ninapenda kuwafahamisha wanawake/wake zetu kuwa hakuna kazi ngumu kama kuhandle michepuko isiingiliane na shughuli za kila siku ndani ya ndoa /nyumba.

Kuna michepuko ambayo unakuta inatambua kuwa umeoa inakuwa inakutafuta siku ya dudu jeupe tuu, mingine siku ikitaka pesa.
Mingine inaelewa kuwa umeoa na inaheshimu ndoa, inasubiri mpaka uitafute wewe ndo muwe mnafanya mawasiliano.

Sasa kuna kichwa maji, bogus, Fakeni na Tablalasa; hiyo haielewi kila muda ni calls, SMS na faken shits nyingine. Kwa kiasi inakera na mara nyingi unakuta ni mafresheshers kwenye suala la kupeana utamu.

Sasa mwenzenu yamenikuta. Kuna pisi moja first year uni moja, Pisi Kali matata nikaamua kuifanyia kazi kiuzoefu nikijua ni Pro kumbe ni amateur. Nikaanza na Mikiki ya kuipagawisha kunako bed ili ilainike niikule vilivyo next time nipate Tunda isinione Fala.

Nikatumia ujuzi wangu wote kumbe Fresher. Kapagawa sasa kila siku anapiga simu na SMS za kuzidi.

Sasa imefikia hadi job anakuja. Wifey nahisi kashtukia mchezo ila kakaa kimya.

NATAFUTA HANDLER WA HUYU MCHEPUKO.
Wengine hatuwezi kabisaa, yaani siku nikiwa na mchepuko najulikana siku hiyo hiyo. Nimeshashidwa kuhandle mahusiano mawili kwa wakati mmoja. Labda ni breakup alafu nianze mengine mapya ila vichochoro vimenishinda.
 
mbinu nyingine tukiziweka ni hapa hatari sana kiama kitashushwa kesho yake!!! maana vijana wa siku hizi hamtumii akili
 
Back
Top Bottom