::Memo for The Boss::

::Memo for The Boss::

Ntakaachia kweli hapa hata sentimita??

Kuna watu wanakatolea macho kweli, nakanyonyeshea mgongoni huko huko.

Nimeamini, abiria chunga mzigo wako.
Hii sherehe ni funga mwaka. katoto kametulia kwenye hori hataki kelele.
 
Ricky, mchunge Amyner, naye anataka kuja mwembeni kwangu.
Hahaaaa
Kazi ya kumlea kichanga...Prezidaa mtarajiwa umepewa wewe nashangaa unakimbilia miembeni lol
Amy wangu kajilaza hapa kifuani mwangu hata hajui mambo ya miembe..lol
 
Ntakaachia kweli hapa hata sentimita??

Kuna watu wanakatolea macho kweli, nakanyonyeshea mgongoni huko huko.

Nimeamini, abiria chunga mzigo wako.
Hhhaaa
kwa kujihami uko vizuri....
Unadhani mama ndo atakusaidia??
 
Tamu ya asali ajuaye mlambaji babu, ukiliuliza sega halitajua kitu.
Hahahahahahahahaaaa
Kongosho we noma lol
Ndo maana ma wife hataki kabisa ushemeji shemeji usio na mwelekeo...dah
 
Mama nimemeona kaka The Boss kajificha na dada Kongosho pale chini ya mwembe....
Amekua eeeh
Michelle ameconfirm. Wako pamoja, kanitumia na picha, he is sleeping in her arms
 
Umeona kwenye ile post ya ku-mention?

Watu wa kwanza ku-mentioniwa ni nani na nani?

Sasa changanya na zako kabla sijaharibu.

Mwali.

Michelle ameconfirm. Wako pamoja, kanitumia na picha, he is sleeping in her arms
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha, chezeiya baby ya Konnie, sumaku ile wakigusa wananata afu wanataka kukaa hapa hapa.

Hahahahahahahahaaaa
Kongosho we noma lol
Ndo maana ma wife hataki kabisa ushemeji shemeji usio na mwelekeo...dah
 
Shem RR toka nifike mahala hapa... sijawahi ona umewahi mnuso, Ole wako uje uchelewe wangu...lol
Hahahaaaa wako lini Ashadii?? Dah naomba niwe mwenyekiti wa kamati ya maandalizi
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom