::Memo for The Boss::

::Memo for The Boss::

By AshaDii Upande wa vinywaji you do know your shem, haitwi Kaizer buree....lol (everything under control!)

Hapa Alter itabidi uniruhusu nitoke nikaandae kamati; Nina list kabisa ya hawa wakuwatatuta, acha hawa ambao tupo nao...


Chakula - Karen Happuch, First Lady, Michelle, Lizzy, Cantalisia, Mamndenyi, @Woman of Substance, Mwali

Mapambo - King'asti, sweet Lady, Husninyo, afrodenzi, Belinda Jacob, Zion Daughter, cheusie mangala

Music - Apollo, Batalanta, Smile, Husny, Nyani Ngabu, Preta

Ulinzi - @Uporoto, @Klorokwin, The Finest, RR (not you alter lol), , Paw

Vinywaji - Kaizer, @Klorokwin, @MTM, steeve Dii, queenkami, blacki woman, @Pj

Baunsa - Bigirita, Fang, Memo, MAMMAMIA

Usafiri - BAGAH, Judgement, BAGAH, Smiling Saint, Mphamvu,

Mapokezi - Kigarama, jmushi1, vivian, deejay nasmile, Pet cash, Amyner

Roulette sehemu nyingi zimepwaya.... narudi kujaziliza....lol

ulinipa kitengo kizuri sana,
wale wakubeba wali kwenye mifuko akina mwita25
kwakweli hapa hawaoni ndani kabisa.

ila mimi sitakwenda sokoni hadi mwezi wa 12,
itabidi nihamishie stoo kwangu.
 
Wivu suna, hasa kitu kinapokuwa kinalipa bibieee.

Wakati hajawa King aah walikuwa wanampita, sasa hivi wote wanataka kuhamia kwangu.
Twende kwa Babu ODM tukasheee hadi tuchoke.

Na ilikuwaje sasa,
najua aliyetia wivu zaidi ni kongosho,
hawa wengine sijui maana nao wanajigonga gonga tu.
 
Ujue nasema makusudi ili abebe mabegi yako ayatupe kutoka kwenye hiyo sevanti kota.
Akurudishe kijijini kwa wazazi, yaani umemzimia shemeji yako taa weweeee hadi unataka kufanikiwa.

Hayakuhusu hayo....we hao wa pembeni mbona mie siwataji?? we wajisikia unafuu unapowataja hao?? sambamba na wewe!:rolleyez::hippie:
 
kama utaweza ya huyu jua na mengine utayaweza tu

mswati1.jpg


wivu hautakiwi mkuu.

Wivu suna, hasa kitu kinapokuwa kinalipa bibieee.

Wakati hajawa King aah walikuwa wanampita, sasa hivi wote wanataka kuhamia kwangu.
Twende kwa Babu ODM tukasheee hadi tuchoke.
 
Mpaka nitakapotia kidole kwenye ubavu....

Kaizer, utakuwa umenisaidia sana ukimtia kidole ubavuni huyu
Anaweza akataka kukaa kwako na AshaDii

ha ha ha ha haaaaaaaaaaaaa.....kujigonga kwa unayempenda ni raha sana...Kongosho zididsha wivu my dear,hiyo ndo yatupa chachu wenzio....!!

Mjue siku hizi natembea na kichupa cha tindikali, ntakayemkuta anamwongelesha mimi na yeye.

Ha ha ha, Michelle you are:A S angry: so mean:A S angry:, unasikia raha mie nikijisikia kunywa sumu?
 
RR
mzima mwanangu,
vipi usingizi umepatikana,
najua ilikuwa wivu tu,
mambo yakiwa sawa usingizi unakujaga tu.


I am a Mod, and as a Mod I report to the administration, but I work for all JF members.
However, some JF members are more exigent than others, One of them is The Boss.
The Boss stands no fuse, no excuse nor complaints. I have to do everything according to the book!

I have to make sure his wife and mistress do not bump into each other in case they come together in his office, I have to tolerate shiit, And since he has been crowned MMU king of the year 2011, he has been a real pain in the behind!
But stil
I, have to worship and execute everything he orders... why? because he is the Boss (source: The Boss).

Boss, today you are a baby. It's time to relax and let go, or you won't enjoy the fantastic party that your friends have organized for you.😛arty:😛arty:😛arty:😛arty:😛arty:


Why a party? Because when it is The Boss' Birthday we all go an extra mile to do the job.

Happy birthday Mr. Boss



birthday-wishes-for-boss-3.jpg
 
Ujue nasema makusudi ili abebe mabegi yako ayatupe kutoka kwenye hiyo sevanti kota.
Akurudishe kijijini kwa wazazi, yaani umemzimia shemeji yako taa weweeee hadi unataka kufanikiwa.

Nimeaga kwetu Kongosho,wala usijipe kazi zisizo na mafanikio.....najiamini pale sing'oki labda nitake mwenyewe ila si kwa fujo zako.....shemeji shemeji....ye huo ushemeji hauoni?? mbona wanihoji mimi sana?? :glasses-nerdy:
 
Kaizer, utakuwa umenisaidia sana ukimtia kidole ubavuni huyu
Anaweza akataka kukaa kwako na AshaDii



Mjue siku hizi natembea na kichupa cha tindikali, ntakayemkuta anamwongelesha mimi na yeye.

Ha ha ha, Michelle you are:A S angry: so mean:A S angry:, unasikia raha mie nikijisikia kunywa sumu?

Kaizer ana mambo mengi Kongosho, don't lean on him....tafuta mwingine...!

Honestly najisikia vibaya ku-share na wewe ila sasa ndo hivyo,wanaume wazuri wako wachache my dear...nimefanya chaguo 2012 kushirikiana na wewe....usinywe sumu....utakubali kuniacha nakula raha peke yangu???? :A S-cry:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom