Mamndenyi
Platinum Member
- Apr 11, 2011
- 44,606
- 64,452
mjini kuna watu wazima kweli - utani tu.
mmh wewe mamamdogo wewe..... boss hataki watu wazima tena
mmh wewe mamamdogo wewe..... boss hataki watu wazima tena
Upande wa vinywaji you do know your shem, haitwi Kaizer buree....lol (everything under control!)
:mad2:Mbona kuna Shabhan na Hashycool:mad2:
Ngoja nitafakuri mbinu mbadala
Za kupotea lakini? Nikafurahi nikajua Shabhan kaondoka na wewe.
Na ilikuwaje sasa,
najua aliyetia wivu zaidi ni kongosho,
hawa wengine sijui maana nao wanajigonga gonga tu.
Na ilikuwaje sasa,
najua aliyetia wivu zaidi ni kongosho,
hawa wengine sijui maana nao wanajigonga gonga tu.
Hayakuhusu hayo....we hao wa pembeni mbona mie siwataji?? we wajisikia unafuu unapowataja hao?? sambamba na wewe!:rolleyez::hippie:
2012 dunia yako,chaguo lako....nimechagua The Boss...life goes on!!
Kaizer.....u know what i mean????:target:
Mpaka nitakapotia kidole kwenye ubavu....
ha ha ha ha haaaaaaaaaaaaa.....kujigonga kwa unayempenda ni raha sana...Kongosho zididsha wivu my dear,hiyo ndo yatupa chachu wenzio....!!
ha ha ha ha haaaaaaaaaaaaa.....kujigonga kwa unayempenda ni raha sana...Kongosho zididsha wivu my dear,hiyo ndo yatupa chachu wenzio....!!
I am a Mod, and as a Mod I report to the administration, but I work for all JF members.
However, some JF members are more exigent than others, One of them is The Boss.
The Boss stands no fuse, no excuse nor complaints. I have to do everything according to the book!
I have to make sure his wife and mistress do not bump into each other in case they come together in his office, I have to tolerate shiit, And since he has been crowned MMU king of the year 2011, he has been a real pain in the behind!
But stilI, have to worship and execute everything he orders... why? because he is the Boss (source: The Boss).
Boss, today you are a baby. It's time to relax and let go, or you won't enjoy the fantastic party that your friends have organized for you.😛arty:😛arty:😛arty:😛arty:😛arty:
Why a party? Because when it is The Boss' Birthday we all go an extra mile to do the job.
Happy birthday Mr. Boss
![]()
eeeeeh,
wewe tayari umesalimu amri, lol.
Ujue nasema makusudi ili abebe mabegi yako ayatupe kutoka kwenye hiyo sevanti kota.
Akurudishe kijijini kwa wazazi, yaani umemzimia shemeji yako taa weweeee hadi unataka kufanikiwa.
Kaizer, utakuwa umenisaidia sana ukimtia kidole ubavuni huyu
Anaweza akataka kukaa kwako na AshaDii
Mjue siku hizi natembea na kichupa cha tindikali, ntakayemkuta anamwongelesha mimi na yeye.
Ha ha ha, Michelle you are:A S angry: so mean:A S angry:, unasikia raha mie nikijisikia kunywa sumu?
eeeeeh,
wewe tayari umesalimu amri, lol.
Ijumaa mida ya kwenda kwaya imefika,
msigombane nyie watoto wangu,
theboss atawahudumia nyie wote vizuri tu,
mnasikia eeeh.
He he he he he Mamndenyi unausemea moyo wa mtu hapa??? Bado sana...mwambie anitafutie alternative niache kilicho chake.....lol