AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,189
- 18,113
Hahahaaaa wako lini Ashadii?? Dah naomba niwe mwenyekiti wa kamati ya maandalizi
Bado saana.... Basi tu nampiga biti RR ni mtegezi saana wa haya mambo..lol. Vipi mzima wewe?
Hahahaaaa wako lini Ashadii?? Dah naomba niwe mwenyekiti wa kamati ya maandalizi
Bado saana.... Basi tu nampiga biti RR ni mtegezi saana wa haya mambo..lol. Vipi mzima wewe?
Sorry, sorry sorry. I meant Kongosho of course. lol
We bibi hujamuona mylove Amyner?Mmmh, watch your mouth.
Sijui nimuite au nimwambie akalale?
We bibi hujamuona mylove Amyner?
hajarudi home hadi saa hizi....uko nae??
Thubutu, aje kwangu?
Nwamwogesha *****.
Kwa ushoga kazi huu? Wa gengeni tu huu ushosti.
Hivi u.pu.pu nalo ni forbidded passion?
MaBiG!
Hahahahahahaaa
Kongosho acha hiyo kitu.....
Unanikumbusha kigoma sec enzi hizooo
Encript uone km nyota zitatokeaMi nashangaa hizo nyota nyota za nini tena.
Au pu ya mwisho walidhani ni bu? Hata hivyo hakina 'm' pale.
Najaribu magazijuto zote sioni forbidden inakujaje.
Encript uone km nyota zitatokea
hilo neno la kwanza ni nini?
Umeanza vingereza vya bungeni?
Kwa taarifa yako iam political medicology in engineering daily bledi.
Hahahaahahahaaa nimecheka kiukweli lol
Hata sijui nesemaje....anyway mfano baba ungeandika abab
sasa ingekuwa ndo neno gani sasa?
Ngoja nijaribu, puuup
duh, lugha zenu bana, kama ulozi.
Nimerudi toka china tunaendeleza ligi la kwa boss utakuwa umenikumbuka
Japo sijakukumbuka, lakini umepatwa nini hadi ukarudi toka China ukiwa na mask?