Kwetunikwetu
JF-Expert Member
- Dec 23, 2007
- 1,535
- 416
kabila ni weak na ana jeshi weak sana...mbona jk hamchokozi museveni na inajulikana wanasaidia vita drc...leave alone RWanda jk hana ubavu wa kufanya mediation..madagascar wamepoteza muda weeeee mwisho wa siku kale ka dj kamesema kanagombea na wasimchanganye haiwahusu yeye kuwa rais....
Kigogo....hapa suala si kumchokoza mtu, maanake huu sio mchezo wa kitoto wa kuputa watu wazichape! Kama nilivyokwambia hapo juu hii ni strategic move ya kuondosha balaa la vita katika nchi tunazopakana. Adha ya wakimbizi kutoka Congo sisi ndio tunaozijua, adha ya wakimbizi toka Burundi sisi ndio tulihangaika nazo, adha ya wakimbizi toka Rwanda sisi ndio tulihangaika nazo. Sasa suala la Burundi lilikwisha kwa msaada wa Tanzania na nchi marafiki baada ya lile jeshi la kabila moja kukubali mazungumzo na waasi kuanzia CNDD-FDD and FNL. Sasa Kagame hataki mazungumzo na waasi halafu anaweka proxy forces kule Congo. Hilo kimkakati halikubaliki.....!