Mkuu umenena ni kweli ni miongoni mwao, na wanastrategy ya kujifunza kiswahili fasaha kwa nguvu zote. Hasa huyu anayejiita Nicholaus na wasi wasi naye sana kama wajamaa wanapita humu nawaomba wamfuatilie huyu maana ni nyoka aliyelala kitandanimkuu, hujasoma ramani bado? hawa ni miongoni wa lile kundi la watusi waliosambazwa na muuaji kagame! kwao vita na kujikweza ndiyo utamaduni.
Ndibalema, anasimamia ukweli aliounena raisi wetu!
this is coming from wenje???? one of those classless politicians waliojazana CDM anaongea upuuzi wowote kisa bunge lipo LIVE
this is coming from wenje???? one of those classless politicians waliojazana CDM anaongea upuuzi wowote kisa bunge lipo LIVE
Tanzania haiwezi kuwa baba kwa Rwanda.Labda zamani lakini sio sasa.Kwa vigezo vya KISIASA,KIUCHUMI,KIDINI na UMOJA,Rwanda haina cha kujifunza kwa Tanzania.UONGOZI wa Rwanda unaelewa unataka Rwanda iweje Miaka Kumi ijayo wakati Viongozi wetu maono yao ni kujineemesha binafsi.Tanzania ni kama imevamiwa.WASOMALI,WAETHIOPIA,WANYARWANDA,WAGANDA NA WAKENYA wamejaa tele Serikalini.Kwa ujumla ni kama tupo Uchi.hujui unalolisema wewe, aliyekuambia baba akiwa na makosa hawezi kumkanya mtoto akikosa ni nani?
Waziri wa mambo ya Nje Bernard Membe amesema Tanzania kamwe haitaomba radhi kwa kitendo cha Rais Kikwete kuwaambia Rwanda wakae na maadui zao FDLR wapatane.
Mm nampongeza mh.kikweete kwa ushauri wake kwa rwanda,kwani kumshauri mtu kunatatizo gani?rwanda nimapingwa wa propaganda sana,tusii laum serikali kwa kila jambo,michango mingi kama hii ya Jf,rwanda kule uhuru huo hakuna,mi naona kabla yakulaumiana tusome historia ya nchi majirani kwanza,kwakuwa siku zote matatizo yanchi hizo yamepoa tu,mda wowote yatalipuka,mi nadhani hizi nchi tano,ziweke mfumo mzuri wakiutawala, nakuondoa ukandamizaji hapo hata huo mungano,utadumu.
When did he make that statement and where? Its very important that I know. The Kikwete FDLR comments are a very big issue here in Rwanda.
kwani Rwanda kuna kipi cha kujifunza pale?Tanzania haiwezi kuwa baba kwa Rwanda.Labda zamani lakini sio sasa.Kwa vigezo vya KISIASA,KIUCHUMI,KIDINI na UMOJA,Rwanda haina cha kujifunza kwa Tanzania.UONGOZI wa Rwanda unaelewa unataka Rwanda iweje Miaka Kumi ijayo wakati Viongozi wetu maono yao ni kujineemesha binafsi.Tanzania ni kama imevamiwa.WASOMALI,WAETHIOPIA,WANYARWANDA,WAGANDA NA WAKENYA wamejaa tele Serikalini.Kwa ujumla ni kama tupo Uchi.
Tanzania haiwezi kuwa baba kwa Rwanda.Labda zamani lakini sio sasa.Kwa vigezo vya KISIASA,KIUCHUMI,KIDINI na UMOJA,Rwanda haina cha kujifunza kwa Tanzania.UONGOZI wa Rwanda unaelewa unataka Rwanda iweje Miaka Kumi ijayo wakati Viongozi wetu maono yao ni kujineemesha binafsi.Tanzania ni kama imevamiwa.WASOMALI,WAETHIOPIA,WANYARWANDA,WAGANDA NA WAKENYA wamejaa tele Serikalini.Kwa ujumla ni kama tupo Uchi.
mkuu umenena ni kweli ni miongoni mwao, na wanastrategy ya kujifunza kiswahili fasaha kwa nguvu zote. Hasa huyu anayejiita nicholaus na wasi wasi naye sana kama wajamaa wanapita humu nawaomba wamfuatilie huyu maana ni nyoka aliyelala kitandani
kwani Rwanda kuna kipi cha kujifunza pale?
the comments are a very big issue here in dar es salaam, too.
Hawezi utoa jibu huyo si unajua kuwa ni escapist?Wenje kauliza toka lini Rais Kikwete akawa msemaji wa FDLR, tunasubiri jibu kwa Membe.
soma kwa makini post yangu utaelewa.kifupi,tujifunze kuwa na "vision" kama ya serikali ya rwanda.
Mi nashindwa kuelewa Kikwete ana maslahi gani na vita ya Kongo hadi kujiingiza kwenye migongano ambayo ni totally BASELESS. Au ndio ule uvumi kuwa Riziwani anataka kuingia kwenye biashara ya almasi na mbao za Kongo?
Membe na Kikwete wanaweza kuwa wanatafuta sifa kwa kuwa watu wengi wanapenda siasa za KI_GANGWE lakini kidiplomasia haiiweki nchi yetu pazuri. Huku Chini Malawi mgogoro hawajautatua, then wanatafuta ugomvi wa KUNUNUA na Rwanda, hatujui kesho itakuwa nani??
Mind you Tanzania ndio nchi yenye uchumi dhaifu na maendeleo duni kwa sasa kwenye ukanda wa Afrika mashariki huku bajeti yake ikiwa tegemezi kwa asilimia 41. Kwa uchumi huu wa hospitali hazina dawa na akina mama wanalala wanne wanapojifungua hatuna haja ya kutafuta migogoro na majirani. FDLR hawatuhusu sisi watanzania na ni matatizo ya ndani ya Rwanda kwa nini tujihusishe?? Je siku Kagame akiibuka na kumshauri Kikwete aende walau kutoa POLE kwa mjane wa Mwangosi, Kikwete atafurahi?? Mbona Membe na CCM yake hawajakaa kwa majadiliano na watu wa Mtwara kuhusu matumizi ya gesi but wanataka majadiliano kwenye nchi za watu?? Wajanja tumenusa kitu hapo...