Membe: Hatutawaomba radhi Rwanda

Membe: Hatutawaomba radhi Rwanda

viongozi waliokulia madrasa ni shida sana kuwa na upeo

Mkuu hii ni large strategic plan....sio Tanzania tu! Vita ya Congo SADC imeshasema basi, tuwaonee huruma waafrika wenzetu wanaokufa bila hatia. Imefika wakati tuwe na Congo yenye amani ili majirani zake nao wapumzike. Kwa sasa amani ya Congo inasumbuliwa na Rwanda tu na vinginevyo....! Political will imeshapatikana.....lakini Rwanda hawataki wanang'ania vita kwanza kwa kisingizio cha FDLR na pili kwa kuanzisha proxy forces in Congo ambazo siku zote zina-destablise Congo. Sasa wakuu wamesema 'imetosha' ni muda wa kusoma alama za nyakati tu. One option ni kuwa na mazungumzo na FDLR na kuweka tume ya usuluhishi, kitu ambacho Kagame and inner circle hawakitaki. Sasa Kagame na genge lake aachwe aendelee kuuawa watu tu freely mpaka lini? Option ya pili ni kumng'oa Kagame kama individual na kuwa na mtu moderate ambaye atakubali suluhu ya kisiasa. Bahati mbaya option hiyo ni ngumu kwa sasa hata ukiandaa coup de tat still inabidi kuwa na back up army kwa vile inner circle ya Kagame inahusisha watu wengi. Kisa cha Gen. Kayumba Nyamwasa kukimbilia South Africa ni kutokana na option hiyo ya pili. Sasa option ya tatu iliyopo ni kuzibana hizo proxy forces zake, then baadae kubana b.u.m.b.u zake mpaka akubali suluhu ya kisiasa...!
 
Membe ni bonge la kiongozi ndo maana maadui zake wanahaha kumchafua. Hakika anafaa kuwa rais wa 5 wa Tz. Mpeni nafasi. CCM Lowassa camp acheni majungu. Mamvi mnayemlamba miguu ni mgonjwa hawezi tena mikikimikiki ya siasa za sasa
 
Membe ni bonge la kiongozi ndo maana maadui zake wanahaha kumchafua. Hakika anafaa kuwa rais wa 5 wa Tz. Mpeni nafasi. CCM Lowassa camp acheni majungu. Mamvi mnayemlamba miguu ni mgonjwa hawezi tena mikikimikiki ya siasa za sasa

kweli ni bonge la kiongozi na ndo maana alilia kweli gadhafi alivouliwa
 
Membe ni bonge la kiongozi ndo maana maadui zake wanahaha kumchafua. Hakika anafaa kuwa rais wa 5 wa Tz. Mpeni nafasi. CCM Lowassa camp acheni majungu. Mamvi mnayemlamba miguu ni mgonjwa hawezi tena mikikimikiki ya siasa za sasa

mbona magogoni kuna MGONJWA kuliko mamvi
 
Kama vipi zipigwe tuu

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 


this is coming from wenje???? one of those classless politicians waliojazana CDM anaongea upuuzi wowote kisa bunge lipo LIVE

Acha uoga wewe kikwete yupo sahihi kwani hujui chanzo cha ugomvi wa kongo???
 


this is coming from wenje???? one of those classless politicians waliojazana CDM anaongea upuuzi wowote kisa bunge lipo. Kama ndivyo basi inji hii ina kizazi kisichotakali mambo kwa mstakali wa nchi..ni nani hawa?
 
Mi nashindwa kuelewa Kikwete ana maslahi gani na vita ya Kongo hadi kujiingiza kwenye migongano ambayo ni totally BASELESS. Au ndio ule uvumi kuwa Riziwani anataka kuingia kwenye biashara ya almasi na mbao za Kongo?

Membe na Kikwete wanaweza kuwa wanatafuta sifa kwa kuwa watu wengi wanapenda siasa za KI_GANGWE lakini kidiplomasia haiiweki nchi yetu pazuri. Huku Chini Malawi mgogoro hawajautatua, then wanatafuta ugomvi wa KUNUNUA na Rwanda, hatujui kesho itakuwa nani??

Mind you Tanzania ndio nchi yenye uchumi dhaifu na maendeleo duni kwa sasa kwenye ukanda wa Afrika mashariki huku bajeti yake ikiwa tegemezi kwa asilimia 41. Kwa uchumi huu wa hospitali hazina dawa na akina mama wanalala wanne wanapojifungua hatuna haja ya kutafuta migogoro na majirani. FDLR hawatuhusu sisi watanzania na ni matatizo ya ndani ya Rwanda kwa nini tujihusishe?? Je siku Kagame akiibuka na kumshauri Kikwete aende walau kutoa POLE kwa mjane wa Mwangosi, Kikwete atafurahi?? Mbona Membe na CCM yake hawajakaa kwa majadiliano na watu wa Mtwara kuhusu matumizi ya gesi but wanataka majadiliano kwenye nchi za watu?? Wajanja tumenusa kitu hapo...
Jipange upya. Data yako ya bajeti financing proportions haiko sahihii...
 
Mkuu hii ni large strategic plan....sio Tanzania tu! Vita ya Congo SADC imeshasema basi, tuwaonee huruma waafrika wenzetu wanaokufa bila hatia. Imefika wakati tuwe na Congo yenye amani ili majirani zake nao wapumzike. Kwa sasa amani ya Congo inasumbuliwa na Rwanda tu na vinginevyo....! Political will imeshapatikana.....lakini Rwanda hawataki wanang'ania vita kwanza kwa kisingizio cha FDLR na pili kwa kuanzisha proxy forces in Congo ambazo siku zote zina-destablise Congo. Sasa wakuu wamesema 'imetosha' ni muda wa kusoma alama za nyakati tu. One option ni kuwa na mazungumzo na FDLR na kuweka tume ya usuluhishi, kitu ambacho Kagame and inner circle hawakitaki. Sasa Kagame na genge lake aachwe aendelee kuuawa watu tu freely mpaka lini? Option ya pili ni kumng'oa Kagame kama individual na kuwa na mtu moderate ambaye atakubali suluhu ya kisiasa. Bahati mbaya option hiyo ni ngumu kwa sasa hata ukiandaa coup de tat still inabidi kuwa na back up army kwa vile inner circle ya Kagame inahusisha watu wengi. Kisa cha Gen. Kayumba Nyamwasa kukimbilia South Africa ni kutokana na option hiyo ya pili. Sasa option ya tatu iliyopo ni kuzibana hizo proxy forces zake, then baadae kubana b.u.m.b.u zake mpaka akubali suluhu ya kisiasa...!

kabila ni weak na ana jeshi weak sana...mbona jk hamchokozi museveni na inajulikana wanasaidia vita drc...leave alone RWanda jk hana ubavu wa kufanya mediation..madagascar wamepoteza muda weeeee mwisho wa siku kale ka dj kamesema kanagombea na wasimchanganye haiwahusu yeye kuwa rais....
 
Membe ni bonge la kiongozi ndo maana maadui zake wanahaha kumchafua. Hakika anafaa kuwa rais wa 5 wa Tz. Mpeni nafasi. CCM Lowassa camp acheni majungu. Mamvi mnayemlamba miguu ni mgonjwa hawezi tena mikikimikiki ya siasa za sasa

Dunia haina shaka na uongozi wa Membe, Afrika haina shaka na uongozi wa Membe, Rais wa Tanzania hana shaka na uongozi wa Membe, Bunge halina shaka na uongozi wa Membe, CCM haina shaka na uongozi wa Membe, Mtama hawana shaka na uongozi wa membe, Mimi sina shaka na uongozi wa Membe, Mkutano Mkuu wa CCM hauna shaka na uongozi wa Membe...akigombea Urais sintokuwa na shaka naye, nitamuunga mkono.
 
huyu membe mtoa kucha si ndo naskia anafadhili vurugu za mtwara sasa akiwa rais si atatuo kucha labda rais wa mtama au mtwara
 
Ila naona kama warwanda walioverreach, nakumbuka walitonyesha jinsi walivyopatana wenyewe kwa wenyewe, tukaona na documentaries etc. kumbe bado hayajaisha
 
huyu membe mtoa kucha si ndo naskia anafadhili vurugu za mtwara sasa akiwa rais si atatuoa kucha na meno labda agombee urais wa mtama au mtwara kwa Tanzania hafaiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii na hatumtakiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii​
 
Back
Top Bottom