mokala1989
JF-Expert Member
- May 4, 2013
- 2,236
- 730
kwani rwanda kuna kipi cha kujifunza pale?
kuua wapinzani wa kihutu na kuwaita magaidi, bila kusahau ndoto za alinacha za kutawala afrika mashariki kwa kutumia malaya wa kitusi!
kwani rwanda kuna kipi cha kujifunza pale?
watanznaia wote wakiwa na akili kam zako basi tumekwisha. Shame on you very useless wewe
FLDR comments sio big issue to Dar, or Kigali ni big issue kwa UN pia. Strategist wa Rwanda wanahaha sasa. Tuone hiyo transition from Kagame to James Kabarebe......!
kwa jinsi nchi inavyoendeshwa kipuuzi tutarajie nchi kuingizwa katika vita vya kipuuzi na watanzania kuumizwa kwa sababu ya maslahi binafsi ya viongozi wapuuzi!
viongozi waliokulia madrasa ni shida sana kuwa na upeo
viongozi waliokulia madrasa ni shida sana kuwa na upeo
Membe ni bonge la kiongozi ndo maana maadui zake wanahaha kumchafua. Hakika anafaa kuwa rais wa 5 wa Tz. Mpeni nafasi. CCM Lowassa camp acheni majungu. Mamvi mnayemlamba miguu ni mgonjwa hawezi tena mikikimikiki ya siasa za sasa
Membe ni bonge la kiongozi ndo maana maadui zake wanahaha kumchafua. Hakika anafaa kuwa rais wa 5 wa Tz. Mpeni nafasi. CCM Lowassa camp acheni majungu. Mamvi mnayemlamba miguu ni mgonjwa hawezi tena mikikimikiki ya siasa za sasa
this is coming from wenje???? one of those classless politicians waliojazana CDM anaongea upuuzi wowote kisa bunge lipo LIVE
this is coming from wenje???? one of those classless politicians waliojazana CDM anaongea upuuzi wowote kisa bunge lipo. Kama ndivyo basi inji hii ina kizazi kisichotakali mambo kwa mstakali wa nchi..ni nani hawa?
Jipange upya. Data yako ya bajeti financing proportions haiko sahihii...Mi nashindwa kuelewa Kikwete ana maslahi gani na vita ya Kongo hadi kujiingiza kwenye migongano ambayo ni totally BASELESS. Au ndio ule uvumi kuwa Riziwani anataka kuingia kwenye biashara ya almasi na mbao za Kongo?
Membe na Kikwete wanaweza kuwa wanatafuta sifa kwa kuwa watu wengi wanapenda siasa za KI_GANGWE lakini kidiplomasia haiiweki nchi yetu pazuri. Huku Chini Malawi mgogoro hawajautatua, then wanatafuta ugomvi wa KUNUNUA na Rwanda, hatujui kesho itakuwa nani??
Mind you Tanzania ndio nchi yenye uchumi dhaifu na maendeleo duni kwa sasa kwenye ukanda wa Afrika mashariki huku bajeti yake ikiwa tegemezi kwa asilimia 41. Kwa uchumi huu wa hospitali hazina dawa na akina mama wanalala wanne wanapojifungua hatuna haja ya kutafuta migogoro na majirani. FDLR hawatuhusu sisi watanzania na ni matatizo ya ndani ya Rwanda kwa nini tujihusishe?? Je siku Kagame akiibuka na kumshauri Kikwete aende walau kutoa POLE kwa mjane wa Mwangosi, Kikwete atafurahi?? Mbona Membe na CCM yake hawajakaa kwa majadiliano na watu wa Mtwara kuhusu matumizi ya gesi but wanataka majadiliano kwenye nchi za watu?? Wajanja tumenusa kitu hapo...
Mkuu hii ni large strategic plan....sio Tanzania tu! Vita ya Congo SADC imeshasema basi, tuwaonee huruma waafrika wenzetu wanaokufa bila hatia. Imefika wakati tuwe na Congo yenye amani ili majirani zake nao wapumzike. Kwa sasa amani ya Congo inasumbuliwa na Rwanda tu na vinginevyo....! Political will imeshapatikana.....lakini Rwanda hawataki wanang'ania vita kwanza kwa kisingizio cha FDLR na pili kwa kuanzisha proxy forces in Congo ambazo siku zote zina-destablise Congo. Sasa wakuu wamesema 'imetosha' ni muda wa kusoma alama za nyakati tu. One option ni kuwa na mazungumzo na FDLR na kuweka tume ya usuluhishi, kitu ambacho Kagame and inner circle hawakitaki. Sasa Kagame na genge lake aachwe aendelee kuuawa watu tu freely mpaka lini? Option ya pili ni kumng'oa Kagame kama individual na kuwa na mtu moderate ambaye atakubali suluhu ya kisiasa. Bahati mbaya option hiyo ni ngumu kwa sasa hata ukiandaa coup de tat still inabidi kuwa na back up army kwa vile inner circle ya Kagame inahusisha watu wengi. Kisa cha Gen. Kayumba Nyamwasa kukimbilia South Africa ni kutokana na option hiyo ya pili. Sasa option ya tatu iliyopo ni kuzibana hizo proxy forces zake, then baadae kubana b.u.m.b.u zake mpaka akubali suluhu ya kisiasa...!
Jipange upya. Data yako ya bajeti financing proportions haiko sahihii...
Membe ni bonge la kiongozi ndo maana maadui zake wanahaha kumchafua. Hakika anafaa kuwa rais wa 5 wa Tz. Mpeni nafasi. CCM Lowassa camp acheni majungu. Mamvi mnayemlamba miguu ni mgonjwa hawezi tena mikikimikiki ya siasa za sasa