Young Tanzanian
JF-Expert Member
- Mar 10, 2012
- 1,736
- 293
arudshwe mabilion ya forein affairs alizokwapua ili aztumie kutafta urais
huyu membe mtoa kucha si ndo naskia anafadhili vurugu za mtwara sasa akiwa rais si atatuoa kucha na meno labda agombee urais wa mtama au mtwara kwa Tanzania hafaiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii na hatumtakiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
u must be impotent
this is coming from wenje???? one of those classless politicians waliojazana CDM anaongea upuuzi wowote kisa bunge lipo LIVE
Kama wewe ulivyo mpuuzi!!
this is coming from wenje???? one of those classless politicians waliojazana CDM anaongea upuuzi wowote kisa bunge lipo LIVE
akina MR.Hamisa Kigwagwala wako wapi ndio wanaotokwaga mapofu kumsaidia membe mzeee wa mdimu lakin tunajua lao moja ata huyu kgwagwala ambaye nmeapaga kutomuita dokta si alkuwa ps kwa mama...
kutukana na kuua kubwa ni lipi? KAGAME MUUAJI MKUBWA! muda si mrefu yatampata yaliyowapata wadhalimu wenzake kama gadafi na amini.
Jipange upya. Data yako ya bajeti financing proportions haiko sahihii...
Useless wewe mbinafsi unayefurahia watanzania wenzako kukosa hata dawa hospitalini halafu unaona dili kuingia kwenye malumbano na kanchi kadogo kama Rwanda, ambacho ni kama Wilaya tu ya Tanzania. Anyway najua mnataka Joka la Mdimu liwe rais wa nchi hii lakini atausikia urais bombani. Kwanza uchochezi wenu wa gesi Mtwara na kumgombanisha Hawa Ghasia na wananchi tunayajua yote...watanznaia wote wakiwa na akili kam zako basi tumekwisha. shame on you very useless wewe
kwani Rwanda kuna kipi cha kujifunza pale?
Dunia haina shaka na uongozi wa Membe, Afrika haina shaka na uongozi wa Membe, Rais wa Tanzania hana shaka na uongozi wa Membe, Bunge halina shaka na uongozi wa Membe, CCM haina shaka na uongozi wa Membe, Mtama hawana shaka na uongozi wa membe, Mimi sina shaka na uongozi wa Membe, Mkutano Mkuu wa CCM hauna shaka na uongozi wa Membe...akigombea Urais sintokuwa na shaka naye, nitamuunga mkono.
Jamaa ni jembe sana.......
Anafaa kua rais ajaye.
Wenje kauliza toka lini Rais Kikwete akawa msemaji wa FDLR, tunasubiri jibu kwa Membe.
this is coming from wenje???? one of those classless politicians waliojazana CDM anaongea upuuzi wowote kisa bunge lipo LIVE
Asitafute maneno kwa Kagame.
Mbona wenyewe hapa wanawamwagia tindikali wanahabari na kuwabambikia kesi watu za ugaidi.
Dunia haina shaka na uongozi wa Membe, Afrika haina shaka na uongozi wa Membe, Rais wa Tanzania hana shaka na uongozi wa Membe, Bunge halina shaka na uongozi wa Membe, CCM haina shaka na uongozi wa Membe, Mtama hawana shaka na uongozi wa membe, Mimi sina shaka na uongozi wa Membe, Mkutano Mkuu wa CCM hauna shaka na uongozi wa Membe...akigombea Urais sintokuwa na shaka naye, nitamuunga mkono.