Membe be careful, adui yako wa kweli humjui!

Hutaki unaacha.
Sasa wokovu wa Tanzani uko karibu sana kuliko tulivyoanza kuamini.
Mnara wa Babeli lazima uanguke.

Hutaki unaacha!
 
  • Thanks
Reactions: Ame
Kuamini kuwa jk anaweza kushiriki ku 'eliminate his enemies' ni non sense; JK yuko incompetent hata kwenye ku fight his enemies...

Halafu yeye alichotaka ni kuwa rais na ameshakipata....sasa 'aji risk 'kiwango hiko?

Hiyo siamini...
..

Mkuu kuhusu kuaminika kwa story bila facts siwezi kubisha..., ila issue ya it does not make sense..., mtoa mada ametoa motive ambayo ina hold water..., kwamba hawa jamaa kwa maovu waliyofanya na kufuja mali zetu watahakikisha anaerithi kiti ni mtu wao ili kesho au keshokutwa asije kuwaumbua..., (yaani wanalinda interests zao)
 
Tanzania yenye neema bila CCM kuwa madarakani inawezekana.

Hawa wooote wanaopigana vita hadi kuwekeana sumu hawafai kuongoza kwani uongozi hasa nafasi ya urais ni mzigo mkubwa mno kuubeba kama unayo dhamira ya kweli ya kuwatumikia watanzania hivyo mtu yoyote anayeitafuta nafasi hiyo kwa mbinu chafu ikiwa ni pamoja na matumizi ya fedha, kuwachafua wengine, kuwadhuru wengine na vitendo vinvyofanana na hivyo hatufai. Hao wote wanaotajwa na kupigiwa debe wameshajiingiza kwenye mbinu hizo chafu hivyo hawafai.

Mfano hai ni JK ameutafuta urais kwa miaka 13 na alitumia mbinu chafu hadi kuupata urais, lakini sisi wote hapa Tanzania ni mashahidi wa jinsi alivyoshindwa kuongoza na jinsi afisadi ulivyoshamiri katika kipindi chote cha utawala wake. Dawa peke ni watanzania kuikataa CCM na makada wake wasipate nafasi tena katika uongozi wa Taifa letu.

TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA
.

Well said Mkuu !
 
Hivi kuna watanzania wenye nazo ambao kweli wanaweza kupoteza hata dakika moja kujaribu kutafuta Rais kutoka ndani ya CCM? Tena kwa kujadili RA, EL, Membe na Kikwete?

Hivi huyu mtoa hoja na wenzake wanaolumbana juu ya membe na EL ni Watanzania kweli wanaoipenda nchni yao kwa dhati? Hizi kwani tusikubaliane kama jamii iliyojifunza kutoka na makosa kuwa kuwajadili hao kosa na tusi katika jamii yetu?

Kama JF inataka kuitendea haki Tanzania basi wajue ukweli kuwa kujadili hao hayawani kwa lengo la kuwapigia kampeni ni matusi ambayo yangetosha kumpa mtu Bann hata milele, hii si sawa na kitendo cha kuruhusu kumsifia shetani Kanisani na ndani ya Misikiti? Sisi tuna mchango gani katika Taifa letu kama hata hatuwezi kusema kuwa Kumpigia Kampeni Lowasa, Membe, Mwinyi, Magufuri na waovu kama hao ni kosa na ni sawa kuhujumu Taifa letu?

Hivi ni mpumbavu wa kiasi gani bado anafikiria juu ya hawa watu? Naamini hii si nguvu ya fedha bali ni ujinga wa wahusika, sasa ifikie wakati tusiwape nafasi kabisa, maana mtu mpumbavu hana aibu.

Hili nalo neno.......!
 
Something like Sindbad adventures! or may be George Orwell "1984"
 
ukiwasikiliza jason bourne, salma 2015, na hutaki unaacha, plus mwanakijiji unatamani kufa

Yani RF umepatia kabisa hawa unasoma thread zao with high caution maana ni shocking news tu kwa kwenda mbele.
 
wakati mwingine unaweza kuamini kabisa kuwa TZ imefikia kama Sicily Italia enzi hizo... rejea masimulizi ya Mario Puzzo

MM tunaongozwa na genge la kimafia....Tunahitaji ukombozi wa haraka sana jamani,la sivyo siku yaja tutakuta nchi ipo kwenye hali mbaya,mgawanyiko huu usije ukaingia hata kwenye jeshi letu,maana kama ni hivyo kuna harufu ya damu kumwagika Tanzania..Mungu saidia!!!
 
unaniacha hoi unapomsifu JK....hivi hujui huyo alikuwa mtoto wa Chief? na unaweza ku-substantiate vp kuwa JK ni msafi? na ni kwanini marais watoke Foreign Ministry kuna nini kimefichika huko?
 
kweli wajinga ndiyo waliwao,,hivi ww kwa upuuzi wako unadhani membe anayosifa ya kuwa rais wa Tanzania? ww bure kweli huo ungempa ww na ndugu zako tu,,lakini siyo kupitia kwetu wanamapinduzi wa kweli na wajamaa wa kweli tunafuata misingi ya baba wa taifa,,MEmbe akiwa rais Tanzania linakuwa chaka la wahuni kama yeye
 
Mkuu ni movie based on a fiction book by Mario Puzzo THE LAST DON (Actually the book is better than the Movie)

VOR naona unaitaji kuingia darasani kidogo kuhusu hawa jamaa hiyo movie ni story ya mafia based on true story iliyotegenezwa kuelezea mfumo wa shughuri za kimafia kuanzia miaka 1922 ya ndani ya Taifa la Marekani na hicho nilichokitoa mimi ndio ufahamu wangu katika kupitia vitabu na kusoma makala mbalimbali [USA -1922].Haya mambo ya jamaa hawa naona wewe unaona ni vitabu ya kuigiza [fiction Story] kamwe haya ni mambo ya kweli.Na kwa wenzetu Hooly wood ni watu wenye kutengeneza vitu ambavyo wakati mwingine aviendi mbali sana na ukweli wa mambo yao mengi haswa zinapokuja kwenye angle za kisiasa na kiuchumi.

Hata issue ya JFK Rais wa Marekani miaka ya 1960 alikumbana na mziki wa hawa jamaa baada ya kuwa alikuwa na mahusiano na superstar, mcheza sinema na mwimbaji Marilyn Monroe [Beyonce wa zama hizo] kwa miaka hiyo ya late 50s na early 60s.Walikutana na JFK miaka ya 1954 na wakaja kuwa wapenzi lasmi [President's Lover] mwaka 1961 December yani ndani ya mwezi huo Tanzania inapata Uhuru.Lakini binti huyo aliingiza familia ya JFK kwenye mgogolo kiasi kuwa bwana mdogo wa Rais ambae alikuwa mwanasheria wa Serikali ya Marekani RFK [Attoney General] nae akaanza kula mzigo ulio liwa na kaka yake yaani JFK ,kiasi kuwa Wazazi wao kennedy family wakamwomba dogo kutema mzigo huo haraka sana baada ya kujua hilo.

Katika familia kutema mzigo huo mdau wa mafia akaibuka Don Sam Giancana akawa anatafuna mzigo, na makazi yake ya kutafuna mzigo yalikuwa kwenye mjengo [mansion] ya mwanamziki maalufu enzi hizo Frank Sinatra [kwa wazungu wanamziki wa kizazi cha sasa hakuna mfano wake]. Sasa pata picha je wakati mkuu Presidar anatafuna mzigo The Don Sam nae alikuwa anakula pamoja nae pamoja.Mrembo huyo alikufa mwaka 1962 mwaka mmoja baada ya ya bosi kujua kuwa mtoto kaliwa uroda na Don Sam katika Bangaroo la Frank na wakati huo aliaga dunia na kuacha taarifa kuwa wahusika wa kifo chake ni nani.Baadae mwaka mmoja 1963 Rais wa Nchi ya Marekani JFK nae akaondoka kwa kuuwawa [Asssination] na muuaji ambae pia aliuwa na kuacha kizungumkuti cha tukio zima.

Kwa hivyo hizi sio hadithi za kuigiza haya ni maisha ya kweli na yapo mpaka sasa,inatagemea unayachukuliaje.

10-13-2011 2-08-57 PM.jpg
Ndugu watatu wakwanza kulia ni Mwanasheria ni RFK katika ni Senator EMK na wa Mwisho ni President Mwenyewe JFK

Marilyn .jpg
Mrembo na Msanii Maarufu Marilyn Monroe na Mwanamziki gwiji Frank Sinatra [Yaani hao ni Jay Z na Beyonce wa Miaka hiyo ya 1950-1960]

Sam Giancana.jpg
The Don Sam Giancana [Mafia Don] aliyemtafuna mrembo Marilyn Monroe nyumbani kwa Frank Sinatra.
 
dah!post ya HUTAKI UNAACHA imenisikitisha saana.Dah!Mwakyembe,Mwandosya....!Nchi yetu ilipofikia sio siri ni PABAYA SAANA.
 
Kwa mtazamo wangu Membe asipoteze muda wake na nguvu kuota uraisi labda acheze karata yake kuendelea kuwa Waziri wa wizara husika au PM.
Lakini ni vizuri ili kuweka mambo sawa na kuwa na uwanja huru wa mpambano inafaa 2012 Mzee wa Kaya kuwekwa pembeni na kumpisha Mwenyekiti wa muda wa CCM (2012-2015). Mkakati huu ni muhimu ilikuiweka sawa Chama na hapa ningelishauri Vijana kuchukua jukumu hili haraka iwezekanavyo.Zoezi hii la kutengeneza Mrithi wa JK toka pale magogoni litakuwa limekwisha.
Mkakati huu utaleta nafuu kwa wanaoota ndoto ya urais 2015 pamoja na kwamba pesa ndiyo itakayoelekeza nani ni nani hasa siku ya siku.
 
Siku hizi ukiumwa.umepewa sumu na jk,hahaha..lipumba nae alikua india nae alipewa sumu eh?..malecela nae huh?
This is bullsheet
 
Join Date : 19th September 2010
Posts : 5
Rep Power : 0

uchache wa post zako na urefu wa uzi wako nilitaka kuidharau, but i was wrong nimepatakitu mkubwa kwa siku ya leo.siasa ni mbinu nimekubali.thanks.
 
mtu mzima hatishwi nyau

i've stayed out of this lowasa and his clown episodes lakini naona sasa gloves are off....

This lowasa guy had his time and its up...he doesnt matter anymore japo watu wake hawataki kumwambia kuwa aanze kuangalia mambo mengine

in short lowasa you are out of the game na watu wana move on without you.

other than small glitches za kuto update website ya foreign membe has served this country honourably compared to huyu fisadi lowasa ambaye all he thinks about 24.7 ni kuukwaa urais wa tanzania. if anything, kama alivyo huyo chief propagandist wake mpya (balile) i suspect kuwa lowasa kaanza ku suffer from the walter mitty syndrome kama aliyo nayo balile. Uzuri hapa jf we can smell b***t a mile way.

so far lowasa has convinced himself that if he reminds us about his old gone by days as former premier and how unfair life has been to him tangu ajiuzulu, we'll forget about his incompetence, deceits, duplicities, dishonesty, downright lying, bullying, cowardice, legendary volcanic temper tantrums, vanity, sulking, unjustified sense of entitlement, betrayal, bungling and boasting in both public and private functions.

ssasa mliotumwa nendeni mkwambie huyo lawasa kuwa if anything sisi kama wana jf na wa tanzania kwa ujumla we've overcome with emotion, empathy, sympathy and admiration that weve never overlooked the fact that this is the man aliyeliingiza taifa kwenye giza , who shamefully sold out our sovereignty to unaccountable foreign element, flogged off our resources to the lowest bidder, destroyed the little esteem we had left as a nation.

Chonde chone wewe unayejiita "htaki nataka" elewa kuwa some of us have memories longer than a dragonfly's. And be very careful of what you wish for.

The difference between lowasa & membe ni kuwa tofauti zao ni sawa na usiku na mchana. And the is that lowasa hasn't got a 'story' which comes anywhere close not only to jk lakini to membe.
just like jk, mheshimiwa membe is the son of of an ordinary mkulima, who rose from poverty to become one of our best foreign ministers. He has a proud record of political integrity and has never been afraid to put the interests of this country first.

jambo ambalo nyinyi mnautumwa na huyo lowasa ni kuwa lazima muelewe kuwa wa tanzana si wajinga and unlike membe & jk, huyo bosi wenu lowasa hasn't really got a story!!!!! - aside from being ridiculously rich and and of course being a hot headed prime minister which does not entitle him any sympathy from us!





he's never had to struggle, like member, or endure, like jk. No one could accuse lowasa of having any political integrity, or being a maverick. Or standing up for ordinary people. He's never even had a proper job na hapo hatujasahau mwalimu alipomuuliza a justify his wealth at a tender age kule dodoma.

Wana jf msitishwe na hawa ma bwana wadogo kwani we all know kuwa if anything yeye na team yake wamekuwa attention w*****s na ushahidi wa threads za lowasa humu unajionyesha wazi. He seems to have been born believing it was his destiny to become tanzanian's president. He spent 5 years in a petulant sulk because jk let him, and then, having got the premiership, had no idea what to do when he got there.
unlike membe and jk, bwana lowasa didn't go out on the stump, glad-handing voters in villages, travelling thousands to meet with the real people and listen to their needs and aspirations
.
he didn't have to go through a gruelling primary season to become pm. His 'campaign' involved a bit of boasting to a few audiences chosen from his crew of which resembles tony sopranos at the badabing. Lowasa didn't even face an election.

when he has been forced to come face to face with the electorate who had to pay the price for his richmonduli - he's been humiliated. For someone who considers himself the heir to sokoine, he has reduced ccm to a hated rabble, less popular than before and led tanzania into what his own by then energy minister describes as the worst power ration since uhuru
.
in short mtu akisoma hizi kampeni za kumchafua jk na membe anazofanya lowasa kwenye both print and electronic media ni simple....huyu bwana is asking not what he can do for his country, but what his country can do for him!!!

that is edward lowasa's story.

So spare us the ngonjeras, old son. We're not interested.





food for thought



2007 ----ministry of foreign affairs & international cooperation minister of foreign affairs & international co-operation

2006 2007---- ministry of energy & mineral resources deputy minister of energy & mineral resources

2006 2006 -----ministry of home affairs deputy minister of home affairs

2005 ------ mtama constituency mp for mtama

1992 2000----ministry of foreign affairs & international cooperation advisor in the ministry fo foreign affairs

1990 1992---- john hopkins university postgraduate student - ma international relations


1981 1984 university of dar es salaam undergraduate student - ba
(subject unknown)


1977 1990 president's office defence & national security analyst - president's office


date of birth 9 nov 1953


nimeona nami nije na style ya mwanakijiji ya kuwapa vitendawili mvitengue.

Wakati masakata ya akina sitta na wenzie yanawaweka watu bize..huyu bwana has been busy na mambo mengi tuuu ambayo ni sinister na yanaenda na kinyume na national interest na national security


sasa hiki ni kitendawawili ambacho naamini great thinkers na insiders wataweza kukitengua



jf home of great thinkets & insiders


btw
tegemeeni influx wale watetezi wake wa wakati wa sakata la dili lake la vitambulisho


well, inaelekea kuwa bernard membe is not as clean as he wants us to think. Lakini siwezi kusema conclusively kuwa ni clean. Kuna leaks kuwa membe na lowasa hawasemi kisa ni mradi wa vitambulisho vya taifa ambavyo wote wanataka kampuni zao zipewe hiyo tenda.



assah .mmwambene . (spin doctor wa membe) najua kwa kutaka kudivert bad news atakuja kumtetea bosi wake humu au atatuma jeshi lake kujaribu kudivert hii thread. The bottom line is laka huyo a.m anafanya kazi yake vizuri then leo hii foreign wangekuwa na website.

Mindhali wana jf mshajiposition kupinga ufisadi then hii itakuwa nzuri kwa kuanzia mwaka.


Anyway issue imekaa hivi:
bernard membe:
membe alipotoka singapore akaingiwa na huu wazimu wa id cards kama zinazotumika kule singapore. Mind you, singapore ni moja kati ya totalitarian states duniani...na uchumi wake umekuwa at the expense of civil liberties. Membe anamtumia mpambe wake anaitwa
bwana mwikalo ambaye yuko usa kama front ya hiyo kampuni ambayo anata ipewe tenda ya id cards

idea aliyoipata membe toka kule singapore ilikuwa ni ya technology ya smart car /rfid ambayo wataala wanasema kuwa haitaweza kufanikiwa tanzania.

Tatizo lingine ni kuwa proposal ya huu mradi wa membe hautokuwa na masalahi kwa taifa kwani ni expensive sana. Bwana membe aliiendelea na shopping trips zake na kila aendako alikuwa anapata cheaper alternative wakati yeye alitaka expensive ili apate pesa nyingi zaidi.

By the way hao jamaa wa
gotham consultants wanawakilishwa na the so called "local consultant" (mjukuu wake jkn) ambaye alishawekwa kwenye magazeti na usalama wa taifa kuwa ni tapeli ambaye anatumia jina la hiyo ofisi(nadhani nyie watu wa jikoni mnajua who i am talking about here).

lowassa


waziri wetu mkuu mheshimiwa, ndugu yetu edward lowassa kupitia mwanae wenyewe wana propose technology ya 2d bar coding ambayo ni affordabale and applicable kwa tanzania...sasa membe anawafanyia fitna kwa jk ili kampuni ambayo ana maslahi nayo ipewe

mungai

by the way sasa mungai nae ana jaaa zake wa tehnobrain. Hapa iko kazi...naye ashaanza ku lobby ili kampuni yake ipewe



mungu ibariki tanzania na fikra za mwalimu nyerere

huna habari? Kajini tatizo la membe ni njaa..na kama ujuavyo money talk people listen ...ndio maana membe anapush huu mradi wa id kama hana akili vizuri vile..in short membe keshaanza ufisadi urais hajaupata


mzee tuelewane

hii issue ni kweli kabisa na huyu membe ambaye kusema ukweli nilidhani angeweza kuleta mabadilo makubwa pale foreign lakini tayari keshaniboa na sasa sioni kama ana interest yoyote na ile nchi.

Hivi kweli how long does it take kufungua website ya foreign? Well, mnaweza kuliona hili ni jambo dogo lakini ukweli unabaki kuwa kama anashindwa jambo dogo kama hili what makes you think anaweza mambo makubwa?

Surprisingly huyu membe alitaka kushindana na agostino mahiga! What a twat!


Mzee hili la ugomvi lipo na membe anatumia u close wake na jamaa "ofisi kubwa" kumfanyia fitna waziri mkuu


es, nakumbuka wewe ndiye unayesema tumkome nyani giladi...well i dont think kama tunaweza tukalalmika kuwa wana siasa wana double standards halafu na sisi tunaendelea kufanya hivyo au unasemaje mzee?

Assah mwambene ni msemaji mkuu wa membe au whatever they call him nowadays, na kwa kuona umuhimu wa kukeep intouch na yanayojiri kwenye jf aliamua kujiunga kama walivyojiunga akina marjorie mbilinyi,zitto kabwe,freeman mbowe na bila kumsahau jj mnyika just to name a few.

Muhimu ni huyo bwana mwikalo na hiyo grand project ya membe tuone itafika wapi na je inamanufaa kwa nani? And why now?

Najua kuwa my day will very long na najua as time goes by we will know what we didnt know na huu si udaku







 
Wakati mnafikiria kuwapigia kampeni viongozi wenu nani awe rais 2015 jaribuni pia kufikiria ni jinsi gani mtatuletea maendelea sisi walala hoi mana miaka mitano imepita na blabla sasa hivi mnakuja kivingine......shame on u
 
Back
Top Bottom