Makosa ya kiprotokali katika 'barua ya Nchimbi'

Makosa ya kiprotokali katika 'barua ya Nchimbi'

Allen Kilewella

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2011
Posts
25,842
Reaction score
50,554
Kiprotokali ni Rais ndiye alitakiwa atangaze kupokea barua ya Emmanuel Nchimbi kujiuzulu umakamo wa Rais na siyo Nchimbi kutangaza kuwa amemuandikia Rais barua ya kujiuzulu.

Hili kosa la Kiprotokali alilifanya pia Edward Lowassa alipojiuzulu uwaziri Mkuu toka kwenye Serikali ya Jakaya Kikwete.
 
9c31a67f105b48df9d83f079af79351e.jpg
 
Kiprotokali ni Rais ndiye alitakiwa atangaze kupokea barua ya Emmanuel Nchimbi kujiuzulu umako wa Rais na siyo Nchimbi kutangaza kuwa amemuandikia Rais barua ya kujiuzulu.

Hili kosa la Kiprotokali alilifanya pia Edward Lowassa alipojiuzulu uwaziri Mkuu toka kwenye Serikali ya Jakaya Kikwete.
Kwani balozi Polepole alifanyaje?
 
Kwa kua ni tukio la kwanza tokea kupatikana kwa uhuru hatuna rejea ya usahihi kwa kulinganisha.

Ila kwa ujumla kuna makosa makubwa sana kuanzia ya kimantiki na kimuktadha na hio kiprotokali.

Ndio maana tunadhubutu kusema imendikwa si kwa mkono wake, pengine hata yeye anashangaa kuoona ila ndio imekwisha kuwa hivyo.
 
Kwa kua ni tukio la kwanza tokea kupatikana kwa uhuru hatuna rejea ya usahihi kwa kulinganisha.

Ila kwa ujumla kuna makosa makubwa sana kuanzia ya kimantiki na kimuktadha na hio kiprotokali.

Ndio maana tunadhubutu kusema imendikwa si kwa mkono wake, pengine hata yeye anashangaa kuoona ila ndio imekwisha kuwa hivyo.
Ya Ndugai ilikuwaje ?
 
Kiprotokali ni Rais ndiye alitakiwa atangaze kupokea barua ya Emmanuel Nchimbi kujiuzulu umako wa Rais na siyo Nchimbi kutangaza kuwa amemuandikia Rais barua ya kujiuzulu.

Hili kosa la Kiprotokali alilifanya pia Edward Lowassa alipojiuzulu uwaziri Mkuu toka kwenye Serikali ya Jakaya Kikwete.
Wanajua wanachofanyq....asiposema wakajibu kuwa wamemtenguq au vinginevyo ?? Maana sio kiroho safi ni mtifuanoo hapo mkuu
 
Makamu wa Raisi tayari ameshampa taarifa mkuu wake (Raisi), ambayo sio lazima wewe uione, juu ya kujiuzuru na akapewa "go ahead" ni wajibu wake kuutangazia umma, kwa sababu ni maamuzi ni binafsi yake.

Protokali hufuata matakwa, Lowassa alimpa taarifa ya kujiudhuru JK, JK akamwambia akajiudhuru bungeni alikopitishwa. Waziri Mkuu kujiudhuru bungeni sio kuvunja protocol, alipotishwa mle, Raisi anatuma jina bungeni kwa barua ya serikali.

Huwezi ukataka wewe halafu Raisi, akatangazq, Raisi anatangaza anapotaka yeye, hiyo ndio protocols. Huwezi muwekea maneno raisi kwenye binafsi yako. Protocol imefuatwa na huo ndio utaratibu.

Soma ili uelewe barua hiyo; wewe umesoma ili ukosoe. Kasema kila kitu katika barua hiyo.
 
Kiprotokali ni Rais ndiye alitakiwa atangaze kupokea barua ya Emmanuel Nchimbi kujiuzulu umako wa Rais na siyo Nchimbi kutangaza kuwa amemuandikia Rais barua ya kujiuzulu.

Hili kosa la Kiprotokali alilifanya pia Edward Lowassa alipojiuzulu uwaziri Mkuu toka kwenye Serikali ya Jakaya Kikwete.

Huyu atakuwa amechomekewa tu kama walivyomchomekea Mpango na Ndugai.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom