Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,102
- 828,977
- Thread starter
- #121
Mchana unakuwa kwenye mode ya kuangalia na kuona vitu vingi kwa wakati mmoja kuwaza kupanga na kupangua nknk mind inakuwa extremely busyhivi mkuu naomba kujua juu ya hii kitu....
inakuwaje mtu kila ifikapo usiku umelala unajikuta unathink beyond yiur normal daily thinking na unajikuta unaizyumu universe in three dimension state mpaka unafikia hatua ya kuwa kila ukilala unaanza kukumbuka matendo yote uliyoyatenda siku hiyo kuanzia asubuh mpka usiku ule lakini kila tendo unalofikilia unajikuta unaliwaza katika weekness yake( I mean yani ukianza tu kuzama deep during meditation unajikuta unareview your weeknesses nying katika kila hatua uliyoipitia siku hiyo...yani kwa mfano kama ulikuwa unatoa speach mbele za watu na ukimaliza kutoa speach na watu wakakupongeza lakini kila ukifika nyumbani unagundua errors nyingi sna katika uwakilishaji wa speach yako katika watu japo hakuna mtu aliyekucorect kwa lolote...inafikia hatua unakuwa unajikorect wew mwenyew kuwa ningefanya hivi ingekuwa poa..na ukiangalia kweli unakuta ni kweli you cud do something amazing though what you interact with others they value your presence much kias cha kutokufikia hatua ya kukucorect au kukushauri kwa lolotr juu ya interaction yako na wao....
inakuwaje hii..je ni namna gani ya meditation hii au ndo psychic illusions...??
kwanin ufikie hatua ya kugundua weekness zako hata bila kuambiwa na mtu...??
imekaaje hii mkuu....?
is this normal way of meditation or is psychic illusion and if so what has its advantages....??
should it be stoped or.??...but its difficult to stop ....every day you start reviewing your weeknesses during interaction na watu...how is this valid under normal circumstance.....??
Usiku baada ya kupumzika in any mode mind inaingia kwenye auto cleansing mode, auto review mode na hapo ndio unagundua errors kibao