Meditation in your daily routine

Meditation in your daily routine

ukivuta bangi na ukiwa high unapowazua jambo NA kupata decisions nzuri mpaka ukakubali kwa maono ya mbali kabisa....inaweza kuhusishwaje MF. ukiwa high unamjua hadi mtu ambaye ni mbaya kwako NA mambo Mengi tu positively

bangi NA maono!?
 
Kuna uzi niliusoma unaelezea Meditation ya pumzi, niliifatilia sana na nikaanza (1) nimefanikiwa kuacha pombe, sigara, nyama napendelea kula hasa matunda. Sasa kinachonishinda ni kuwa nikifanya Meditation huwa macho yanapoteza uwezo wa kuona 2 kichwa kinauma kama maji nakunywa ya kutosha sasa tatizo liko wapi? tuanze na hayo kwanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna uzi niliusoma unaelezea Meditation ya pumzi, niliifatilia sana na nikaanza (1) nimefanikiwa kuacha pombe, sigara, nyama napendelea kula hasa matunda. Sasa kinachonishinda ni kuwa nikifanya Meditation huwa macho yanapoteza uwezo wa kuona 2 kichwa kinauma kama maji nakunywa ya kutosha sasa tatizo liko wapi? tuanze na hayo kwanza.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza hongera sana pili huo ni mwanzo tu usikate tamaa endelea hiyo hali itaisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna uzi niliusoma unaelezea Meditation ya pumzi, niliifatilia sana na nikaanza (1) nimefanikiwa kuacha pombe, sigara, nyama napendelea kula hasa matunda. Sasa kinachonishinda ni kuwa nikifanya Meditation huwa macho yanapoteza uwezo wa kuona 2 kichwa kinauma kama maji nakunywa ya kutosha sasa tatizo liko wapi? tuanze na hayo kwanza.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hello Mkuu.

Ni kweli kuwa meditation ya pumzi inaweza kukufanya ukaacha bad habits kwa sababu ni Insight meditation na inaongeza utambuzi wa kuona uhalisia wa choices zetu katika maisha na kuondoa mashikilio ya mazoea. Unakuwa na focus na hekima.

Kuhusu kusababisha uwezo wa kuona, sio kweli kwamba meditation inaweza kupelekea uwezo wa kuona ukapungua.

Kuhusu kuumwa na kichwa ni kweli kuna sometimes kichwa kinakuwa kizito au kigumu, inatokana na sababu mbili; Kutokana na kufunguka kwa chakra ya utosi, na ubongo kujijenga (rewiring) inapelekea kama kichwa kuwa kizito au kuumwa kwa kichwa lakini huwa hali hii inatokea tu pale mtu akiwa anafanya meditation. Ni hali ya kupita na ukiendelea kufanya meditation zaidi chakra ikifunguka energy inapita kwa urahisi na inapelekea unakuwa okay kama kawaida.

Jaribu kuangalia inawezekana negative impact zake hazijatokana na meditation.
 
Hello Mkuu.

Ni kweli kuwa meditation ya pumzi inaweza kukufanya ukaacha bad habits kwa sababu ni Insight meditation na inaongeza utambuzi wa kuona uhalisia wa choices zetu katika maisha na kuondoa mashikilio ya mazoea. Unakuwa na focus na hekima.

Kuhusu kusababisha uwezo wa kuona, sio kweli kwamba meditation inaweza kupelekea uwezo wa kuona ukapungua.

Kuhusu kuumwa na kichwa ni kweli kuna sometimes kichwa kinakuwa kizito au kigumu, inatokana na sababu mbili; Kutokana na kufunguka kwa chakra ya utosi, na ubongo kujijenga (rewiring) inapelekea kama kichwa kuwa kizito au kuumwa kwa kichwa lakini huwa hali hii inatokea tu pale mtu akiwa anafanya meditation. Ni hali ya kupita na ukiendelea kufanya meditation zaidi chakra ikifunguka energy inapita kwa urahisi na inapelekea unakuwa okay kama kawaida.

Jaribu kuangalia inawezekana negative impact zake hazijatokana na meditation.
Unapotea sana mkuu, mada zako nazikubaligi kinoma
 
Back
Top Bottom