Mdomoni wajuaji lakini kitandani 'magogo'

Mdomoni wajuaji lakini kitandani 'magogo'

Hapo naona unawasema wanaume wenzio na wewe mwenyewe, hebu funguka bwana. Thru my small experience wanaume wenye kelele hawana lolote. Kabla ya mechi atajisifia na kukuambia ana shughuli kubwa! Muweke 6x6, ana ki toothpick halafu akigusa paja tu kamaliza!
Akijitahidi sana dakika 2 nyingi. Akisogeza muda utaboreka hadi basi.
Wanaume naomba pia mjue kua uwezo wa mwanamke unategemea na utundu wako wewe mwanaume! Ukiwa zoba na mie ntakupeleka kizoba zoba, ukiwa machachari hali kadhalika.
Eti gogo kitandani, wakati yeye kaamua kua gogo na wewe unafanya nini? Kama si magogo mawili mmekutana!

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
aisee kwahiyo vichiriku kumbe ndio magogo, nshastuka mapema hii dili, naanza kuwaibukia mabubu kabisa
 
Mbaya zaidi gogo afu ana panya aliyekufa afu alikua anakuzungushaa na hela zako kala.
 
Nimemuuliza mwanamke mmoja hapa pembeni kanijibu hivi

mwanzo wa kunukuu
"sasa kama nyie wanaume mnavibamia sie tujitoe jasho la nini"
mwisho wa kunukuu
 
Wanawake wengi wasemaji sana na wanaojisifu sana kuhusu mahaba,hawana lolote kitandani. Hawa wao wamejaliwa maneno tu kama chiriku lakini wakifika kitandani wanakuwa 'magogo'. Wanaweza kuwa warembo,kutembea na kuongea kwa mbwembwe lakini 'magogo'.

Wanawake wakimya ni tofauti.Wao hawana maneno mengi. Hufanya mambo makubwa sana kitandani. Wakimya wa maneno ni waongeaji wa kimatendo. Wanaume wenzangu chungeni sana wanawake wanaoongea kama wamemeza kanda za pwagu na pwaguzi. Hawana vitendo. Ni magogo.

Nikiwa kama mshauri wa mambo ya kijinsia,nimelalamikiwa sana na wananume ambao wake zao wanaongea kama mashine za kusaga. Ni mabibi-majivuno tu. Hata humu JF wapo wa aina zote mbili.Mabandiko yao yanajieleza.
kweli??
 
hii ni fallacy of generalization,yaani kisa demu wako anaongea kama amemeza kanda ya yondo sister au msondo ngoma then kitandani hana kitu ndo unajua ni wote? mi mvulana ila hapo umechemka
 
Ulishindwa nini kutapikia hukohuko ulikolia chakula???

Wanaume teke kama wewe mara nyingi hata mitalimbo yenu dolo.
Deny it . . . . so we see whether you hold that reasonableness!!!
 
Nimemuuliza mwanamke mmoja hapa pembeni kanijibu hivi

mwanzo wa kunukuu
"sasa kama nyie wanaume mnavibamia sie tujitoe jasho la nini"
mwisho wa kunukuu

Hhahahaahhaha nimeipendaaaaa
 
Back
Top Bottom