Inategemea na nini mkuuInategemea.
Mh 2.9 alikua anasoma kwel mbona hayuko competent ajihusishe na kilimo au ufugaji ila akaze sana msuli tuna wasomi wengi na wana ufaulu mzuri sana na wapo kitaa hivyo ajaribu akiona anakataliwa afuate ushauri wangu.Eti wadau huyu ataajiriwa kweli au aendelee na mambo mengne?
Na uwezo wake nje na huo wa kwenye Makaratasi. (Ndiyo sababu kuna Usahili)Inategemea na nini mkuu
Taasisi Kama zipi mkuuAsitegemee kuajiliwa taasisi zenye Hela sababu wanaangalia ufaulu zaidi
Sent from my Nokia 5.3 using JamiiForums mobile app
Ajira inahitaji content kichwani kazi haiangalii GPAEti wadau huyu ataajiriwa kweli au aendelee na mambo mengne?