CBE?Nenda kwenye vyuo vikuu au taasisi za uhasibu utasoma kwa kuheshimiwa utapata elimu nzuri.
CBE bado hakijajipanga kwa huduma zao sio nzuri,ukitaka huduma kufokewa au kufukuzwa au kukatiwa simu ni jambo la kawaida kwao but fanya utafiti kwanza kwa wanafunzi au Nenda chuoni ujifanye Kama mgeni unaweza kuanza kupata majibu sehemu utayoenda kusoma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.