Phdum
JF-Expert Member
- Apr 15, 2019
- 812
- 1,667
Naombeni ushauri kuhusu mdogo wangu wa kiume ambaye hajamaliza hata shule ya msingi na sasa amekuwa mzigo, kwani mawazo ya kusoma hana. Nataka nimtafutie fani (ufundi) ili mbeleni asijekuwa mzigo, kumbuka ni miaka 18+.
Naombeni ushauri wa fani inayoweza kumfaa na labda pia kama mnajua chuo cha veta kinachotoa fani husika.
Location yake ni Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Musoma au Geita.
Nawasilisha
Naombeni ushauri wa fani inayoweza kumfaa na labda pia kama mnajua chuo cha veta kinachotoa fani husika.
Location yake ni Mwanza, Shinyanga, Simiyu, Musoma au Geita.
Nawasilisha