MDAHALO: Tundu Lissu vs Job Ndugai kama ilivyoonyeshwa na Star TV

Imeonekana kuwa Ndugai hakuwa na uwezo wa kushiriki mdahalo ule.
Kauli zake kadhaa zilimuaibisha yeye, kiti chake, na chama chake. Mifano ni hii:
1. Alikwepa kabisa kujibu swali la Bw Kubenea kuhusu hatua zilizochukuliwa au zitakazochukuliwa kuhusu mbunge/wabunge walioghushi saini za Waziri Mkuu. Na muongozaji Bi Rose hakumkumbusha kulijibu.
2. Alidai kuwa mbunge wa Arusha mjini Mh Godbless Lema hakupaswa kusema kuwa Waziri Mkuu Pinda ni mwongo eti kwa kuwa kiumri Pinda anaweza kuwa baba yake Lema. (Duh! eti mzee hawezi kudanganya!
3. Alijikanyaga kujibu swali la Kubenea kuwa ni kwanini hakumchukulia hatua mbunge wa CCM ambaye pia ni Waziri Mh Lukuvi ambaye anadaiwa kuwasha mic bila ruksa (kosa ambalo ndio lilifanya Ndugai awatoe nje Lissu, Lema na Msigwa).
Alipoulizwa tena na Kubenea kama hapo siku za usoni atawatoa wabunge bila ubaguzi wakiwemo wa CCM au mawaziri wakiwasha mic bila ruksa kadai kuwa eti mic zinaweza kuwashwa kwa bahati mbaya kwa kuguswa na vitabu!
 
the mdahahalo was very good ila waongoza midahalo mbona wanabana sana muda? dk mbili chache sana,mtu anashindwa kujenga hoja!
hata kongamano la katiba la leo hapa jijini Dar yaleyale...mtu anaongea nusu sentensi ananyang'anywa mic...hii sioni kama mnajenga na kama mnajenga bac mnajenga mazuzu wa kusema ndiyo mzee. Mtu kama lwaitama,Mkumbo,Kubenea and the likes wapewe muda,wajenge hoja ili watu wapate kitu na sio blabla tu....ni heri waongee wachache ila hoja zao zitambulikane kuliko kuongea wote ukimbini halafu mnatoka hakuna cha maana.
 
Yule dada aliyekua anaendesha mdahalo kaniboa kwa mambo flani. Mfano alimzuia Lisu kutoa ufafanuzi wa suala la kutolewa bungeni kwa kuwasha vipaza sauti (kwa madai tayari swali hilo lilikwisha tolewa ufafanuzi) lakini akamwacha Ndugai alitolee ufafanuzi (kwa mara ya pili). Pili, Lisu wakati anamalizia dakika zake 3 za mwisho alimharakisha aconclude lakini haraka hiyo hakuionesha kwa Ndugai. Na mwisho kuwaingilia mara kwa mara wauliza maswali ati "waulize swali moja kwa moja" ingawa baadhi maelezo yao ya awali yalikuwa yanaashiria ujenzi wa swali thabiti. Otherwise mdahalo ulikuwa poa na Lisu kamtoa TKO Ndugai
 
Ndugai kuandamwa humu ni kutaka kufifisha his good performance towards the dialogue with Lissu.Tutambue kuwa CDM wanajaribu kutawala jukwaa kwa kasi ndio maana hawakosi mijadala ama mikutano mbali mbali ya kisiasa.WanaCCM have no time with those mijadala,hivyo wachache hawa wa CDM upata fursa ya kuonekana ndani ya kumbi kwa kuzomea.

Ndugai kama hakulijua hili mapema,baadae kashtukia na kulitaja wazi hivyo tusipotoshe kiwa hao si wanaCDM eti ni Wananchi!!!.Mwenye interest ya uanaNchi huwa hana bias ya kichama mpaka kuonekana ushabiki wa wazi.Infact good competance results from more practice,performance of Ndugai found to be recognized due to more questions asked and reponded by him compared to Lissu (he got few questions).

Sitarajii kama Ndugai angesifiwa hata kama angejibu mnavyotaka baadhi ya makamanda humu.Kinachoonyesha Ndugai did well ni kwa sababu thread nyingi zimeelekea kumshutum na Lissu amekuwa forgotten himself and what he did simply no body refered to his argumentation zaidi ya kufeel sympath kuwa Ndugai kamu -abuse yeye na CDM.

Kama ni baadhi ya maswali kutojibiwa mbona Lissu pia ameskip some questions,mfano lugha chafu za Halima Mndee na pengine yalikuwa cheap answers kama lile la kushindwa kuwa mfano ama kusimamia nidhamu za wenzie zaidi ya kusukuma kuwa liko kwa Speaker.

Tuache ushabiki humu,kwani magamba hata wafanye nini hawawezi kupewa hongera yao ila ni ushindani tu zaidi ya ''Simba na Yanga'' sasa.Huku tunapoelekea hata maovu yatasifiwa tu kwa ushabiki.

Pumba kabisa
 
Ndugai amefeli kwenye point zifuatazo:-

Yeye kama Naibu Speaker ingebidi aonyeshe kwenye yuko partial na hapendelei upande wowote; sasa kwa kuwa-attack continuously Chadema ameonyesha kwamba either anawachukia, ana upendeleo wa kichama au anaona hawajui wanalolifanya kitu ambacho kitapelekea kuifanya kazi yake huku akiwa biased... Sioni any positives ya alichokipa kiti cha speaker
 
Ndugai amefeli kwenye point zifuatazo:-
Yeye kama Naibu Speaker ingebidi aonyeshe kwenye yuko partial na hapendelei upande wowote; sasa kwa kuwa-attack continuously Chadema ameonyesha kwamba either anawachukia, anaupendeleo wa kichama au anaona hawajui wanalolifanya kitu ambacho kitapelekea kuifanya kazi yake huku akiwa biased... Sioni any positives ya alichokipa kiti cha speaker
Samahani mkuu,
Sidhani kama alikuwa na haja ya kuwa bipartisan kwenye mdahalo wa leo,chama chake kina wabunge wengi,speaker siyo mwanasheria,siyo jaji,na ni kawaida kubase kwenye chama chake.
 
Mimi wananichekesha wanapotumia kauli za "Wananchi wataamua..." wanakosea sana. Heri wawe wazi na kueleweka, wananchi ndo wanazidi kutowaelewa.

Halafu wanazidi kusema 'watanzania si wajinga' na nadhani pia kauli hii bado wanaitumia kimakosa, inaweza kuwarudia wao.

Upinzani si uadui, na kuwa chama tawala haimaanishi kila utachofanya ni kibaya, bahati mbaya jamii inafahamu mabaya mengi kwani mazuri wameyakalia wao (kama yapo)...
Ndugai amefeli kwenye point zifuatazo:-

Yeye kama Naibu Speaker ingebidi aonyeshe kwenye yuko partial na hapendelei upande wowote; sasa kwa kuwa-attack continuously Chadema ameonyesha kwamba either anawachukia, ana upendeleo wa kichama au anaona hawajui wanalolifanya kitu ambacho kitapelekea kuifanya kazi yake huku akiwa biased... Sioni any positives ya alichokipa kiti cha speaker
 
Samahani mkuu,
Sidhani kama alikuwa na haja ya kuwa bipartisan kwenye mdahalo wa leo,chama chake kina wabunge wengi,speaker siyo mwanasheria,siyo jaji,na ni kawaida kubase kwenye chama chake.
Mkuu kumekuwa na shutuma kwamba Speaker (Kiti) kipo biased na kinaitetea Serikali inayoongozwa na Chama Chake (Chama Tawala).., Speaker ni kama referee na kazi yake ni kuendesha bunge bila upendeleo na bila ku-base kwenye chama chochote, inabidi afate haki kulingana na kanuni..

Hivyo basi leo ingebidi ajikite kwenye kanuni na sio kushambulia Chama (hapo anaonyesha yeye kama referee anapendelea timu moja na sio nyingine)

Mkuu huoni tatizo la speaker kubase kwenye chama chake (ambacho ndio kina serikali) inafanya alibuluze Bunge na kutumika kama rubber stamp ya maamuzi ya chama (serikali) Badala ya kazi ya Bunge ya kutunga sheria na kuwa watchdog wa serikali
 
Mkuu kumekuwa na shutuma kwamba Speaker (Kiti) kipo biased na kinaitetea Serikali inayoongozwa na Chama Chake (Chama Tawala).., Speaker ni kama referee na kazi yake ni kuendesha bunge bila upendeleo na bila ku-base kwenye chama chochote, inabidi afate haki kulingana na kanuni..

Hivyo basi leo ingebidi ajikite kwenye kanuni na sio kushambulia Chama (hapo anaonyesha yeye kama referee anapendelea timu moja na sio nyingine)

Mkuu huoni tatizo la speaker kubase kwenye chama chake (ambacho ndio kina serikali) inafanya alibuluze Bunge na kutumika kama rubber stamp ya maamuzi ya chama (serikali) Badala ya kazi ya Bunge ya kutunga sheria na kuwa watchdog wa serikali
Hapo ndio unapokosea,kwenye mdahalo yeye bado ni mwana CCM,na CCM hatuipendi CDM kwa hiyo kulikuwa hamna haja ya kuficha hilo,na utakuwa ni upumbavu kama hata base sana kwa CCM hata mjengoni.
Hao ni wanasiasa tu,they dont have to make sense.
 
Ndugai kuandamwa humu ni kutaka kufifisha his good performance towards the dialogue with Lissu.Tutambue kuwa CDM wanajaribu kutawala jukwaa kwa kasi ndio maana hawakosi mijadala ama mikutano mbali mbali ya kisiasa.WanaCCM have no time with those mijadala,hivyo wachache hawa wa CDM upata fursa ya kuonekana ndani ya kumbi kwa kuzomea.

Ndugai kama hakulijua hili mapema,baadae kashtukia na kulitaja wazi hivyo tusipotoshe kiwa hao si wanaCDM eti ni Wananchi!!!.Mwenye interest ya uanaNchi huwa hana bias ya kichama mpaka kuonekana ushabiki wa wazi.Infact good competance results from more practice,performance of Ndugai found to be recognized due to more questions asked and reponded by him compared to Lissu (he got few questions).

Sitarajii kama Ndugai angesifiwa hata kama angejibu mnavyotaka baadhi ya makamanda humu.Kinachoonyesha Ndugai did well ni kwa sababu thread nyingi zimeelekea kumshutum na Lissu amekuwa forgotten himself and what he did simply no body refered to his argumentation zaidi ya kufeel sympath kuwa Ndugai kamu -abuse yeye na CDM.

Kama ni baadhi ya maswali kutojibiwa mbona Lissu pia ameskip some questions,mfano lugha chafu za Halima Mndee na pengine yalikuwa cheap answers kama lile la kushindwa kuwa mfano ama kusimamia nidhamu za wenzie zaidi ya kusukuma kuwa liko kwa Speaker.

Tuache ushabiki humu,kwani magamba hata wafanye nini hawawezi kupewa hongera yao ila ni ushindani tu zaidi ya ''Simba na Yanga'' sasa.Huku tunapoelekea hata maovu yatasifiwa tu kwa ushabiki.
That means hajajibu ipasavyo ndo maana hajasifiwa, Pia hakupaswa kujibu tunavyotaka sisi bali alipaswa kujibu kama swali lilivyoulizwa. Nahisi wewe ni Ndugai unajaribu kuharmonize upupu ulioufanya mbele ya watanzania jioni ya leo.
 
Hapo ndio unapokosea,kwenye mdahalo yeye bado ni mwana CCM,na CCM hatuipendi CDM kwa hiyo kulikuwa hamna haja ya kuficha hilo,na utakuwa ni upumbavu kama hata base sana kwa CCM hata mjengoni.
Hao ni wanasiasa tu,they dont have to make sense.

Mkuu mwanasiasa mzuri inabidi afiche makucha yake na awe anauma na kupuliza, tunajua kwamba hawawezi kazi na hawalitakii taifa letu mema (hii ni kutokana na miaka takribani 50 lakini umasikini wa mtanzania unazidi) sasa yaani hata kashindwa kuonyesha kwamba yupo partial...?

Heshima mkuu hainunuliwi na ukiheshimu watu na wewe watakuheshimu, sasa unadhani baada ya vijembe alivyotoa leo wapinzani hata wasipokuwa na imani nae kweli walaumiwe?

Na pale leo aliitwa ku-represent kiti cha Speaker...(sidhani kama aliitwa kama Job Ndugai, mwana CCM)
 
Hapo ndio unapokosea,kwenye mdahalo yeye bado ni mwana CCM,na CCM hatuipendi CDM kwa hiyo kulikuwa hamna haja ya kuficha hilo,na utakuwa ni upumbavu kama hata base sana kwa CCM hata mjengoni.
Hao ni wanasiasa tu,they dont have to make sense.

Mkuu hivi wewe unapenda chama kama timu ya mpira wa miguu au unapenda manufaa ya nchi yako...?
Sababu mkuu bila upinzani kuweza kuwa-check na kudhibiti chama tawala basi hicho chama kitajisahau na kuacha kuleta maendeleo..

Mimi sio mwana-Chadema ila kila siku naomba Mungu CCM ife na vyama vya upinzani vipate nguvu zaidi (sababu hapo ndio kutakuwa na ukombozi wa kweli)... Tusipende kufananisha vyama vya siasa kama timu za mpira (unless kama una maslahi binafsi katika chama)
 
Mkuu hivi wewe unapenda chama kama timu ya mpira wa miguu au unapenda manufaa ya nchi yako...?
Sababu mkuu bila upinzani kuweza kuwa-check na kudhibiti chama tawala basi hicho chama kitajisahau na kuacha kuleta maendeleo..

Mimi sio mwana-Chadema ila kila siku naomba Mungu CCM ife na vyama vya upinzani vipate nguvu zaidi (sababu hapo ndio kutakuwa na ukombozi wa kweli)... Tusipende kufananisha vyama vya siasa kama timu za mpira (unless kama una maslahi binafsi katika chama)
Nakuelewa
Ila sio lazima awe neutral huo utakuwa unafiki.
 
Kwa hakika mdahalo ulikuwa mzuri japokuwa kulikuwa na kasoro za hapa na pale (eg. Sauti kutokusika vema, Kukatika kwa matangazo ya television, Muda kuwa mfupi nk) Kifupi ulikuwa mpambano kati ya Serikali(Job Ndugai) dhidi ya Mwanaharakati(Tundu Lisu) Na hii ni analysis yangu kwa ujumla: *Tundu Lisu aliweza vema kuuthibiti mjadala kwa kukidhi maeneo yote muhimu ya mjadala(Critical debate Parameters) 1/TECHNICS(Ufundi) eg. Mood(Hisia),Motion(Mjadala), Regulation(Kanuni/Taratibu)) 2/TACTICS(Mbinu) eg. Open minded, not offensive, not defensive (Fikra zilizo funguka, sio kushambulia/Kulaumu,Wala sio kujitetea) 3/COMPETENCE(Umahili) eg.Understanding(Kuelewa), Explaination(Ufafanuzi), Convincing(Ushawishi). Hivyo vyote ni vitu muhimu sana katika mijadala yote duniani (eg USA presidential election debates,Havard university-Law chamber debates, UK Prime minister television debates etc). Ni vigezo ambavyo hutazamwa sana na analysts(Washambuzi). Kifupi ndivyo vigezo viliwapa umaarufu mkubwa sana watu kama John Kenedy, JK Nyerere, Nelson mandela, Barack Obama, Tony Blair, David Cameroon etc wakati wanafanya harakati zao kuwa viongozi. *MAKOSA MAKUBWA ALIYOFANYA JOB NDUGAI(TECHNICAL&TACTICAL BLUNDERS) 1/Propaganda(Siasa za upotoshaji wa makusudi) eg.Uvaaji wa Combat,Mzozo wa Shibuda ,Mzozo wa madiwani wa Arusha,Maandamano ya kupinga ukandamizaji,Kutoshirikishwa kwa vyama vingine katika kambi rasmi ya upinzani,Harakati za chadema bungeni .nk. 2/Kutoka nje ya mjadala kwa kuamua kushindana na washiriki badala ya kushindanisha hoja (eg.Inasemekana siku moja kabla, alishatanga ndani ya Bunge kuwa anakwenda kwenye mdahalo akiwa tayari ni mshindi!) That is wrong attitude before the battle(So that he missed the target of the motion).Lengo la mjadala halikuwa kumshindanisha yeye na Lisu,bali kufafanua&kujibu hoja zinazohusu mwenendo mpya wa Bunge letu. 3/Kujaribu kuisemea serikali na watendaji wake(eg. Uwezo wa Pinda bungeni, Utendaji wa serikali etc). Kifupi hakujua yuko pale kama nani (ie.Mwakilishi wa kiti cha spika,Msemaji wa serikali,Mwakilishi wa CCM,au nani?) 4/Kuwashambulia baadhi ya washiriki waalikwa (eg.Alidai Kuwa ni wanachama wa chadema) That is the biggest mistake he did. Remember Good debater always chalenges the motion but never challenge individual opponent (Nafikiri mwongozaji alijaribu kutumia hekima kubwa kwa kumkumbusha kwamba ule ni mjadala mkubwa sana na waliopo pale ni zaidi ya mwanachama wa vyama vya siasa) 5/Kushindwa kuelewa hisia(Mood) za muungozaji(Rose),Mzungumzaji mwenzie(Tundu Lisu) na pia baadhi ya washiriki waalikwa(Kumbuka alikuwa akirudiarudia kusema kuwa watu wote waliokuwa wakimpinga pale ni watu wa Chadema) *KETE ZA USHINDI ALIZOTUMIA TUNDU LISU(CREDIBILITY POINTS) 1/Ufasaha katika kujibu&kutoa maoni katika maswali aliyoulizwa. He was Straight,Effective,Short&Clear hit to the point (eg.Kazi za mnadhimu wa upinzani, Changamoto za bunge hili, Sababu ya kutolewa nje bungeni, Lugha ya kuudhi bungeni etc) 2/Alijikita zaidi kwenye hoja iliyowekwa kujadiliwa(He concentrated to debate the motion,and nothing else) 3/Alijitahidi sana kufuata kanuni za mjadala(He tried to rely on debate regulations).Mfano:kulinda Muda,Kuheshimu mwongozaji,Kutuliza munkari wa wachangiaji, Kuvumilia shutuma alizotupiwa, Kukwepa kumshambulia mtu binafsi nk) *MWISHO(MAONI YANGU) 1/Tundu Lisu yuko vizuri sana katika katika kujenga hoja yake au kubomoa hoja ya mpinzani wake. Kifupi ni aina ya mwanasiasa ambaye watanzania wanaweza kumtumia,kujifunza na hata kujivunia.He is impressing young generation to join in political movement in a proper way. Jamaa huko Calm,Confident&Competent katika harakati zake za kisiasa. I wish him all the best in his political movement. 2/Mdahalo ni jambo muhimu sana katika kukua kwa uelewa wa jamii. Hivyo basi iandaliwe vizuri na mara kwa mara. Wakati mwingine CCM iandae watu wenye uwezo katika kukabiliana na hoja muhimu kama hizi na siyo kukurupuka tu. Kwani wanatia aibu. Kumbuka hii siyo mara ya kwanza kwa wawakilishi wa CCM kutia aibu katika mijadala muhimu. Mfano: @Tambwe hiza (Mswaada wa katiba mpya-Karimjee) @Prince Bagenda(Mjadala wa katiba mpya-UDSM) @Hawa Ngubi(Mchakato majimboni-Ubungo). Hawa wote walishindwa kukidhi mahitaji ya hoja muhimu. Tafadharini sana CCM anzeni kujifunza sasa mfikie viwango vya wapinzani wenu. Bado humjachelewa. Kukimbia midahalo hakukusaidia na kuikimbilia pia hukutawasaidia.Kaeni chini mjifunze kutengeneza hoja na siyo kudandia au kubeza hoja za wapinzani wenu. NAWASILISHA.
 
haaaa kumbe wabunge wanaangalia maslahi ya chama chao kwanza, jimbo, taifa afu wao wenyewe hayo ndo majibu ya Ndugai
my take: kumbe sisi wapiga kura ni second priority kwani nani amewachagua ni chama au?

kwani umesahau kuwa walianza kuchaguliwa na chama kisha wananchi tukafauta.
 
Wana jf nimeskiliza kwa makin sana mdahalo ulolushwa na star tv,bt kuna mambo kadhaa yalonifanya nimwite ndugai mnafiki km ifuatavyo:a)badala ya kujadili masuala ya kitaifa au mambo yalokua yanahitaj kujadiliwa matokeo yake kaanza kuingilia mambo ya chadema eti chadema msiwatishe madiwani,pia eti isimtishe shibuda,na kibaya zaid eti ktk chama magwanda ya nn! Kwa mm bnafs nilimwona mnafiki tu na hana jipya.

sio mnafiki tu bali ni mjinga
 
Ndugai hakuudhuria kama Naibu Spika pale ila kama Mwanachama na Mbunge wa CCM kama alivyoudhuria Lissu kama Mwanachama na Mbunge wa CDM.Kama ni kuzingatia nafasi zao basi Lissu angepaswa kuitwa na Lukuvi na si Ndugai.

Vile vile tukubaliane kuwa interest to a party may hinder a person to judge fairly to other party.Look comments to Lissu + Ndugai.
 
Back
Top Bottom