johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,968
- 141,981
Enzi za Kikwete alipowaalika Viongozi Wakuu wa CHADEMA Ikulu baada ya mazungumzo Tundu Lissu alitoa chupa ya Maji kwenye mkoba wake akanywa wakati akina Mbowe wakigonga juice.
Juzi pale Star TV kwenye Agenda na Mtozi huyu Mhe. Lissu alitoa chupa ya Maji kwenye mkoba wake akanywa
Kuna watu Wanaishi kwa kanuni aisee 🐼
Juzi pale Star TV kwenye Agenda na Mtozi huyu Mhe. Lissu alitoa chupa ya Maji kwenye mkoba wake akanywa
Kuna watu Wanaishi kwa kanuni aisee 🐼