johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,992
- 142,008
Hii wiki Nyota ya Chadema imeng'aa sana kwani kila kikwazo kilichoibuka mbele yao Walikiruka
Tulitangaziwa Tundu Lisu angehojiwa Star tv lakini hatukumuona na badala yake Mjumbe wa CCM ndio akatimba kipindini lakini jana Lisu alikuwa kwenye kipindi kwa kujiachia Kabisa
Kamati ya Maridhiano ya Taifa ilihofu maandamano ya Chadema lakini hawa jamaa wa Ufipa walioandamana kwa Amani na kistaarabu Kabisa
Leo msibani kwa Lowassa Mwenyekiti Mbowe hakuwemo kwenye Ratiba ya kiserikali lakini familia ikampa fursa ya kuongea kama mwanafamilia na Yeye akajiongeza na kutumia fursa hiyo kutoa salamu za Chadema
Mungu wa Mbinguni ibariki Chadema
Mlale unono 😀😀
Tulitangaziwa Tundu Lisu angehojiwa Star tv lakini hatukumuona na badala yake Mjumbe wa CCM ndio akatimba kipindini lakini jana Lisu alikuwa kwenye kipindi kwa kujiachia Kabisa
Kamati ya Maridhiano ya Taifa ilihofu maandamano ya Chadema lakini hawa jamaa wa Ufipa walioandamana kwa Amani na kistaarabu Kabisa
Leo msibani kwa Lowassa Mwenyekiti Mbowe hakuwemo kwenye Ratiba ya kiserikali lakini familia ikampa fursa ya kuongea kama mwanafamilia na Yeye akajiongeza na kutumia fursa hiyo kutoa salamu za Chadema
Mungu wa Mbinguni ibariki Chadema
Mlale unono 😀😀