Tundu Lissu na Bongozozo kuwaongoza Watanzania kuishangilia Taifa Stars huko Ivory Coast Leo!

Hizi ndio habari njema kama ziluvyoripotiwa na vyombo vya habari huko Ivory Coast

Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Antipas Lisu aka Muujiza Unaoishi leo atawaongoza Watanzania kuishangilia Taifa Stars huko Ivory Coast dhidi ya Morocco

Mungu mbariki Tundu Lisu
mmmghhh
 
Hizi ndio habari njema kama ziluvyoripotiwa na vyombo vya habari huko Ivory Coast

Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Antipas Lisu aka Muujiza Unaoishi leo atawaongoza Watanzania kuishangilia Taifa Stars huko Ivory Coast dhidi ya Morocco

Mungu mbariki Tundu Lisu
dah!
afaddhalli bolizozo amshike mkono na kumuinua tena maana alishapotea kwenye medani kabisa hana kiki wala issue tena na amejitenga na maandalizi ya maandramano ya mapanyarodi January 24 🐒
 
Mzee mbaya unazeeka vibaya, ni BONGOZOZO sio BOLIZOZO
kwahiyo unanizodoa mie au mleta bandiko kwa mgongo wangu kwamba mleta bandiko amekosea 🤓🐒

kwahiyo hujui kwamba Bolizozo ni wa ivory coast na Bongozozo wa bongo yupo Abidjan kuishuhudia Taifa Stars ikipiga mtu 3-1?

be careful bana 🐒
 
Back
Top Bottom