☹️Ngoja nione kwanza To yeye na binti kiziwi wana maoni gani kuhusu hili.
Pita kwa Mangi pata chochotee, bill juu yangu.Nyie ndo mnatobolewa macho kisa kungangania sehemu msiyopendwa na kudhaminiwa..
Jiheshimu dada.Life does not revolve around men
Unawaona lkn muda wa shughuli ukipanga nae unaahirisha ww badala ya yeye@Cute Wife ukaniloge kabisa sasa nisione mwingine Zaid yako
Yani kama vile mimi ndiye nazipitisha, halafu nashangaa sizitambui zimepita vipi!Hizi hela zimetoka mwaka gani...? 😄😄😄😄😄😄😄
Na muda n mchacheMambo ni mengi na safari ndefu sana

Kumbe wewe ni fisadi pia una hujumu uchumi 😄😄😄😄😀😀😀😀Yani kama vile mimi ndiye nazipitisha, halafu nashangaa sizitambui zimepita vipi!
Mimi mwenyewe tu uchumiKumbe wewe ni fisadi pia una hujumu uchumi![]()



Umezaliwa umezikuta unatumia utaziacha na msiba wako hela zitatumika - sir Andy chande FREEMASON CHAIR MAN. 😁Mimi mwenyewe tu uchumi
"I'm not a businessman, I'm a business man"
Jay-Z
Dah, huyo Mzee alikuwa rafiki yake sana mshua.Umezaliwa umezikuta unatumia utaziacha na msiba wako hela zitatumika - sir Andy chande FREEMASON CHAIR MAN.![]()
HahahahahahaaaaHeloo,
Hope you are doing poaa. Leo Nina kaujumbe kadogo kwa rafiki zangu jinsia ya kike!
Ni hiv, :zama za kususa, kuzira sijui atanitafuta shost angu utachina. Miaka hii ukipata mtu anayesomeka tambaa Naye mbele kwa mbele kitaeleweka tu.
Haya Mambo eti nimemfuma na sms za mwanamke simtaki tena baradhuri yule mshenzyy weweee wapi nyonyo wapi titi utaganda. Wewe ongeeni kaka ataonyesha kujutia yatengenezeni mjenge mahusiano na safari ya maisha iendelee.
Ipo hivi hawa wenzetu kama hamjui wao kulala hata na chizi kwao ni sawa. Sasa wewe jiulize machizi jojina humo barabarani yamepewa mimba na nani? Ni hawa hawa.
Cha kufanya hapa ni kutulia na mtu wako it raining everywhere my dear young sister usichezee bahati uliyopata, hebu angalia single mother wanavyonyanyaswa kwenye maandiko ya humu JF na mtaani Maana mwisho wa siku umri utaenda utaamua kuzaa tu. Maana hakuna asiyependa kuitwa mama sasa itwa Mama ukiwa na Baba pembeni ndugu au Kanisa au msikiti viwatambue lakini yote yatawezekana mkijenga msingi mzuri wa mahusiano.
Kumetokea mtafaruku kidogo elewaneni songeni mbele, Mambo ya kuzira na kususa wenzio watamchukua na utaachwa hapo unashangaa maisha hayapo simple ivyo.
Ni mwendo wa kukomaaa!
Nadhani alikuwa ana nafasi fulani kwenye bodi ya wadhamini wa shule [or something like that].Dah, huyo Mzee alikuwa rafiki yake sana mshua.
Ukitaka mtoto aingie sijui Shaaban Robert au Mzizima, huyo simu moja tu anamaliza mchezo.
Ndiyo maana basi.Nadhani alikuwa ana nafasi fulani kwenye bodi ya wadhamini wa shule [or something like that].
Kwenye mikutano muhimu ya shule na wazazi alikuwa hakosi.
Bora umeomba msamaha kabla hujarogwa duh nmekumbuka ashaokoka😂😂🤣🤣Jamani hata sijawahi muona After all sikumaanisha huyu Mshana wenu wa humu wapo kitaa.Kama kutumia jina lake I'm sorry ni sawa ningetaja John
Demi today's World is not the way you Guess or think Just change your mind set and you will simply your life but whether you like or not man will dominate and nothing we can do to change that so by saying so when you happen to have someone in life at least a good one just stuck on himPambaneni wenyewe mie sio mdada.
Na kisheria mwanaume ndo anatakiwa akugande, akutake wewe uwe mke wake sasa naona nyie mnataka kuvunja hiyo sheria. Mimi simo