Mdada, ukipata mpenzi Mgande

Mdada, ukipata mpenzi Mgande

Demi today's World is not the way you Guess or think Just change your mind set and you will simply your life but whether you like or not man will dominate and nothing we can do to change that so by saying so when you happen to have someone in life at least a good one just stuck on him
Nadhani wewe ndo unaishi kizamani my dear, dunia ya sasa haipo hivyo unavyowaza. Mawazo yako ni kama ya bibi zetu wa mwaka 1922. Naamini hata binti yangu wa kizazi cha sasa hana mawazo kama ya kwako.
Baada ya miaka 10 hutaongea hiki unachoongea sasa hivi.

Kila la kheri kwenye kuwaganda hawa viumbe...nipo nimekaa paleeeee 👉👉
 
Nadhani wewe ndo unaishi kizamani my dear, dunia ya sasa haipo hivyo unavyowaza. Mawazo yako ni kama ya bibi zetu wa mwaka 1922. Naamini hata binti yangu wa kizazi cha sasa hana mawazo kama ya kwako.
Baada ya miaka 10 hutaongea hiki unachoongea sasa hivi.

Kila la kheri kwenye kuwaganda hawa viumbe...nipo nimekaa paleeeee
 
Hii Inaumiza Sana huwa naonaga Sana Single mother mitaani wanavyoteseka kupambana maskini mtoto wake akikosea kidogo tu vya kawaida mtoto atapigwa kipigo Cha mbwa Koko simply because she hate the fact the man dumped her..hey guys let us be serious on a serious note
Sijui kama nitakuwa nimekuelewa vizuri lkn nadhani unaongelea kwamba ukipata mwanaume anayeeleweka umgande,right;, lakini nafikiri ungetumia neno"Muombee asibadilike" My dia kumganda mtu sio sababu ya yeye kuacha,lahasha,kama Hana mapenzi na ww hata umgande vipi ataondoka tu.


Tuna mifano halisi ya watu tuliowaganda pamoja na kuwa na madhaifu yao tuliyafukia tukawa tunaangalia mema tu,yani hata akosee vipi unaendelea kumpenda na kumganda tu,lkn mwisho wa siku anakutaftia sababu ambayo,wewe mwenyewe utanyoosha mikono useme yes,nimesarender.


Tusichokijua ni kwamba Hawa ndugu zetu wanaume,baadhi yao wakiona wanapendewa na kugandwa sana wanakudharau,sio wote lkn there are some men are very humbled,yani ukimpenda anajua kurudisha shukrani,ila mwingine ukimganda ndo umeula wa Chuya.

So jambo la msingi hapa ni kwamba endapo utapata mwanaume anayeeleweka,na mwenye mapungufu ambayo it can be solved,Muombee asibadilike,lkn kumganda mtu haisound na inategemea kuwa huyo mtu ana mapenzi kwako kiasi gani,kama anakupenda hata usipomganda ataendelea kukupenda tu,nakama hakupendi hata umgande vipi,ataondoka tu,I'm done
 
Sijui kama nitakuwa nimekuelewa vizuri lkn nadhani unaongelea kwamba ukipata mwanaume anayeeleweka umgande,right;, lakini nafikiri ungetumia neno"Muombee asibadilike" My dia kumganda mtu sio sababu ya yeye kuacha,lahasha,kama Hana mapenzi na ww hata umgande vipi ataondoka tu.


Tuna mifano halisi ya watu tuliowaganda pamoja na kuwa na madhaifu yao tuliyafukia tukawa tunaangalia mema tu,yani hata akosee vipi unaendelea kumpenda na kumganda tu,lkn mwisho wa siku anakutaftia sababu ambayo,wewe mwenyewe utanyoosha mikono useme yes,nimesarender.


Tusichokijua ni kwamba Hawa ndugu zetu wanaume,baadhi yao wakiona wanapendewa na kugandwa sana wanakudharau,sio wote lkn there are some men are very humbled,yani ukimpenda anajua kurudisha shukrani,ila mwingine ukimganda ndo umeula wa Chuya.

So jambo la msingi hapa ni kwamba endapo utapata mwanaume anayeeleweka,na mwenye mapungufu ambayo it can be solved,Muombee asibadilike,lkn kumganda mtu haisound na inategemea kuwa huyo mtu ana mapenzi kwako kiasi gani,kama anakupenda hata usipomganda ataendelea kukupenda tu,nakama hakupendi hata umgande vipi,ataondoka tu,I'm done
Hajakuwa huyu!anaongea vitu visivyo na uhalisia
 
Pambaneni wenyewe mie sio mdada.
Na kisheria mwanaume ndo anatakiwa akugande, akutake wewe uwe mke wake sasa naona nyie mnataka kuvunja hiyo sheria. Mimi simo
Well said Demi,
No wonder ndoa nyingi za siku hizi ni migogoro mitupu hayo mambo ya kumganda mtu hata hakupendi unaolewa nae hisia na moyo wake kaacha kwingine,kifuatacho hapo ni dharau,vipigo,kudhalilishwa na kila aina ya tafran.
 
Hu

Huyu njaa inamsumbua....angekuwa na uhakika wa kula usingeona meseji zake
Unaona hiki ndo nilikuwa nakisema,ona huyo mwanamke anavyojichiresha kwa jamaa ambaye hamtaki ila kwa vile amemganda anaona isiwe kesi,ngoja awepo tu,anamlia timing siku ikifika anamtupa kule,ladies be careful
 
Unaona hiki ndo nilikuwa nakisema,ona huyo mwanamke anavyojichiresha kwa jamaa ambaye hamtaki ila kwa vile amemganda anaona isiwe kesi,ngoja awepo tu,anamlia timing siku ikifika anamtupa kule,ladies be careful
Tatizo ladies wanajazana ujinga....I wish mabinti wadogo wasifuate huu ushauri kabisa....mwanamke anatakiwa ajithamini mwenyewe na hao wanaume watamthamini
 
Heloo,

Hope you are doing poaa. Leo Nina kaujumbe kadogo kwa rafiki zangu jinsia ya kike!

Ni hiv, :zama za kususa, kuzira sijui atanitafuta shost angu utachina. Miaka hii ukipata mtu anayesomeka tambaa Naye mbele kwa mbele kitaeleweka tu.

Haya Mambo eti nimemfuma na sms za mwanamke simtaki tena baradhuri yule mshenzyy weweee wapi nyonyo wapi titi utaganda. Wewe ongeeni kaka ataonyesha kujutia yatengenezeni mjenge mahusiano na safari ya maisha iendelee.

Ipo hivi hawa wenzetu kama hamjui wao kulala hata na chizi kwao ni sawa. Sasa wewe jiulize machizi jojina humo barabarani yamepewa mimba na nani? Ni hawa hawa.

Cha kufanya hapa ni kutulia na mtu wako it raining everywhere my dear young sister usichezee bahati uliyopata, hebu angalia single mother wanavyonyanyaswa kwenye maandiko ya humu JF na mtaani Maana mwisho wa siku umri utaenda utaamua kuzaa tu. Maana hakuna asiyependa kuitwa mama sasa itwa Mama ukiwa na Baba pembeni ndugu au Kanisa au msikiti viwatambue lakini yote yatawezekana mkijenga msingi mzuri wa mahusiano.

Kumetokea mtafaruku kidogo elewaneni songeni mbele, Mambo ya kuzira na kususa wenzio watamchukua na utaachwa hapo unashangaa maisha hayapo simple ivyo.

Ni mwendo wa kukomaaa!
Bora uwaambie maana Wengine visirani kweli kweli 🤔
 
Naomba niseme neno hapa,hivi unafikiri kumganda mwanaume inamfanya akupende?? Mimi ninachojua Hawa wenzetu wanahitaji kuheshimiwa kusikilizwa na utiifu,ukiyafanya hayo umewin kabisa,wengine ukiwaganda wanakuona kama kero maana unawanyima uhuru.

Sasa basi ukitaka kuiishi ndoa yako vizuri waheshimi,wasikilize na uwatii,lkn la msingi na muhimu zaidi kama umepata wa kueleweka MUOMBEE,Wala sio kumganda kwa sababu unaweza fanya hivyo na ukaishia kwenye maumivu au hata kutolewa uhai wako kwa kumganda mtu asiyekuwa hata na hisia na ww,eti kisa tu ana uwezo wa kukulisha kukuvisha umgande,hapana,tuangalie pia na furaha za mioyo yetu,kama anakupa furaha mgande ila usimgande kwa sababu ana Mali au ana uwezo mkubwa wa kukuhudumia.


Be in your mind kwamba upendo ndio nguzo kuu katika mahusiano hivyo Ganda palipo na upendo ila sio utajiri.
 
Demi today's World is not the way you Guess or think Just change your mind set and you will simply your life but whether you like or not man will dominate and nothing we can do to change that so by saying so when you happen to have someone in life at least a good one just stuck on him
Upwwe maua yako. Men wll always dominate so tulizeni mbususu hizo.
 
Sister Joannah hivi wewe mbona tunakubembeleza sana kwann lakini?!

Hizi pesa zikitupita wallahi sikusamehiii
Hana kitu huyo! we hujui tu mwaka wa 22 hana nauli ya kurudi bongo,we endelea kudanganyika🤣🤣🤣🤣🤣we Bora umgande shemeji yangu Countrywide atakupeleka hata Ngorongoro ukaone tembo huyo Kiranga ana miliki maneno tu
 
Back
Top Bottom