Mdada, ukipata mpenzi Mgande

Mdada, ukipata mpenzi Mgande

Heloo,

Hope you are doing poaa. Leo Nina kaujumbe kadogo kwa rafiki zangu jinsia ya kike!

Ni hiv, :zama za kususa, kuzira sijui atanitafuta shost angu utachina. Miaka hii ukipata mtu anayesomeka tambaa Naye mbele kwa mbele kitaeleweka tu.

Haya Mambo eti nimemfuma na sms za mwanamke simtaki tena baradhuri yule mshenzyy weweee wapi nyonyo wapi titi utaganda. Wewe ongeeni kaka ataonyesha kujutia yatengenezeni mjenge mahusiano na safari ya maisha iendelee.

Ipo hivi hawa wenzetu kama hamjui wao kulala hata na chizi kwao ni sawa. Sasa wewe jiulize machizi jojina humo barabarani yamepewa mimba na nani? Ni hawa hawa.

Cha kufanya hapa ni kutulia na mtu wako it raining everywhere my dear young sister usichezee bahati uliyopata, hebu angalia single mother wanavyonyanyaswa kwenye maandiko ya humu JF na mtaani Maana mwisho wa siku umri utaenda utaamua kuzaa tu. Maana hakuna asiyependa kuitwa mama sasa itwa Mama ukiwa na Baba pembeni ndugu au Kanisa au msikiti viwatambue lakini yote yatawezekana mkijenga msingi mzuri wa mahusiano.

Kumetokea mtafaruku kidogo elewaneni songeni mbele, Mambo ya kuzira na kususa wenzio watamchukua na utaachwa hapo unashangaa maisha hayapo simple ivyo.

Ni mwendo wa kukomaaa!
Sijui To yeye ana lipi.

Ila nadhani atabadili uamzi kutokana na huu ujumbe wako.

To Yeye njoo.
 
Ni mke wa mtu, nae ameanza kuniganda.

mi simtumiagi sms hata siku 1. nikimhitaji napiga simu, sitaki ushahidi

nae kajitahidi kuniganda ganda😄😄
Screenshot_20230704-090124.png
 
Hii Inaumiza Sana huwa naonaga Sana Single mother mitaani wanavyoteseka kupambana maskini mtoto wake akikosea kidogo tu vya kawaida mtoto atapigwa kipigo Cha mbwa Koko simply because she hate the fact the man dumped her..hey guys let us be serious on a serious note
Let them reap wht they sow
 
Flowers , NAONA NI KUPINDUA MEZA."Wanataka mapinduzi na mapinduzi hawayawezi"...basi ishakua vuta ni kuvute lol
 
Back
Top Bottom