Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 34,637
- 37,959
Demi weweee..!!Nakazia
Demi weweee..!!Nakazia
Heloo,
Hope you are doing poaa. Leo Nina kaujumbe kadogo kwa rafiki zangu jinsia ya kike!
Ni hiv, :zama za kususa, kuzira sijui atanitafuta shost angu utachina. Miaka hii ukipata mtu anayesomeka tambaa Naye mbele kwa mbele kitaeleweka tu.
Haya Mambo eti nimemfuma na sms za mwanamke simtaki tena baradhuri yule mshenzyy weweee wapi nyonyo wapi titi utaganda. Wewe ongeeni kaka ataonyesha kujutia yatengenezeni mjenge mahusiano na safari ya maisha iendelee.
Ipo hivi hawa wenzetu kama hamjui wao kulala hata na chizi kwao ni sawa. Sasa wewe jiulize machizi jojina humo barabarani yamepewa mimba na nani? Ni hawa hawa.
Cha kufanya hapa ni kutulia na mtu wako it raining everywhere my dear young sister usichezee bahati uliyopata, hebu angalia single mother wanavyonyanyaswa kwenye maandiko ya humu JF na mtaani Maana mwisho wa siku umri utaenda utaamua kuzaa tu. Maana hakuna asiyependa kuitwa mama sasa itwa Mama ukiwa na Baba pembeni ndugu au Kanisa au msikiti viwatambue lakini yote yatawezekana mkijenga msingi mzuri wa mahusiano.
Kumetokea mtafaruku kidogo elewaneni songeni mbele, Mambo ya kuzira na kususa wenzio watamchukua na utaachwa hapo unashangaa maisha hayapo simple ivyo.
Ni mwendo wa kukomaaa!
Sasa anayeringa uzeeni ana matatizo. Mdada binti ugande mwanaume ili iweje? Mgande anayekuganda
Mwambie Mshana aliyetajwa akurogee hiyo mtu



sirogi mtu, kwanza sipendi kuganda wala kugandwa na mtu mieWewe jua tu vinaridhisha sana sanaWe suzie _barbie weweee..!!! Ushatumia vyote?
umemsahau SexlessNgoja nione kwanza To yeye na binti kiziwi wana maoni gani kuhusu hili.
Unaakili wewe dah!HADI imedinda!hivi unapatikana wapi my!!?Heloo,
Hope you are doing poaa. Leo Nina kaujumbe kadogo kwa rafiki zangu jinsia ya kike!
Ni hiv, :zama za kususa, kuzira sijui atanitafuta shost angu utachina. Miaka hii ukipata mtu anayesomeka tambaa Naye mbele kwa mbele kitaeleweka tu.
Haya Mambo eti nimemfuma na sms za mwanamke simtaki tena baradhuri yule mshenzyy weweee wapi nyonyo wapi titi utaganda. Wewe ongeeni kaka ataonyesha kujutia yatengenezeni mjenge mahusiano na safari ya maisha iendelee.
Ipo hivi hawa wenzetu kama hamjui wao kulala hata na chizi kwao ni sawa. Sasa wewe jiulize machizi jojina humo barabarani yamepewa mimba na nani? Ni hawa hawa.
Cha kufanya hapa ni kutulia na mtu wako it raining everywhere my dear young sister usichezee bahati uliyopata, hebu angalia single mother wanavyonyanyaswa kwenye maandiko ya humu JF na mtaani Maana mwisho wa siku umri utaenda utaamua kuzaa tu. Maana hakuna asiyependa kuitwa mama sasa itwa Mama ukiwa na Baba pembeni ndugu au Kanisa au msikiti viwatambue lakini yote yatawezekana mkijenga msingi mzuri wa mahusiano.
Kumetokea mtafaruku kidogo elewaneni songeni mbele, Mambo ya kuzira na kususa wenzio watamchukua na utaachwa hapo unashangaa maisha hayapo simple ivyo.
Ni mwendo wa kukomaaa!
Hata kama akinyanyaswa?
Na kweli..Wanawake wengi wanaotegemea wanaume 100% hunyanyaswa sana...Unatafutaje Mwanaume wa kukunyanyasa?
Ndio maana nikiwaambia hapa Wanawake mjiweze kiuchumi na msipende kuhudumiwa kuna wanachukia utadhani nimewatukana. Lakini ninajua Kwa nini nasema hivyo.
Hizi hela zimetoka mwaka gani?
Sheria ibara ya ngapiPambaneni wenyewe mie sio mdada.
Na kisheria mwanaume ndo anatakiwa akugande, akutake wewe uwe mke wake sasa naona nyie mnataka kuvunja hiyo sheria. Mimi simo
Kisheria..!!!?? Demi hapo kwenye sheria unaanza kupotea taratibu..!!Pambaneni wenyewe mie sio mdada.
Na kisheria mwanaume ndo anatakiwa akugande, akutake wewe uwe mke wake sasa naona nyie mnataka kuvunja hiyo sheria. Mimi simo
Ya 12bSheria ibara ya ngapi
Ha haaKisheria..!!!?? Demi hapo kwenye sheria unaanza kupotea taratibu..!!
Yuko sahihi kwa 90% Kwa maelezo zaidi nipigie kwa namba yangu ya TTCL 😂Ngoja nione kwanza To yeye na binti kiziwi wana maoni gani kuhusu hili.
Somo zuri sana hili,ngoja nikupigie kwa namba yako ya TTCL ili tutete pembeni.Yuko sahihi kwa 90% Kwa maelezo zaidi nipigie kwa namba yangu ya TTCL 😂
Ila pamoja na ugumu wa game waangalie wasijeng’ang’ana kwenye abusive relationships….
Na kama umebarikiwa kumpata mwenye unafuu bora uende CUBA ukasome maana nyakunyaku wanawinda sana sa hivi. Macho juu juu watu hawatulii! Ila kuna wanaume wanawindwa sana, mimi hukaa pembeni na kucheka🤣
Hizi hela zimetoka mwaka gani...? 😄😄😄😄😄😄😄Hizi hela zimetoka mwaka gani?
Nimeamua kumganda bint demi. 😄😄😄😄😄Umeamua kumganda yupi kati ya hao?