Kindred Spirit
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 457
- 661
Unamaanisha nini kubadilisha wanaume? So you want to settle for a rubbish kisa unaogopa uliwapa wangapi moyo wako, is it a crime kubadili mwanaume, what's about wengi wanaokuja kwa fake promise, hakutaki unamganda una akili, si utajikuta unaenda kwa mganga "umdhibiti" mwisho uwe mchawi. Kwani mwanamke hana haki ya kuchagua mwanaume anayeona anafaa, what's the mantiki ya uchumba then? Kwani lazima mfanye matusi, uchumba ni kujuana na ni maamuzi ya mtu kuwa sexual or not na it doesn't have to count nothing, sex or no sex mwanamke naye ana haki ya kuamua mwanaume anamfaa maishani, what does number of potential men has to mean katika kutafuta the right person wa maisha yako? Mwanzo you wrote like you don't care just hold that man sasa you trying to justify post yako, I wish usije kupata binti utamtesa sana kwa hizi ideology za miaka 47, my dear the world is fast changing, change with it as well . Dating ain't the same as mama zetu walivyodate, amka mwanamke jitambue na uthamini utu wako. Nyie ndo wale mpenzi wako anakucheat unahangaika na the other woman badala ya mpenzi wako. Mapenzi ni kupendana bibi we lakini wote mkiwa na uelekeo mmoja siyo mmoja anaenda mashariki mwingine magharibi, akikupenda kweli wala hutapata shida, hiyo ndo kanuni pekee, anakutongoza, unaona anafaa mnapeana muda wa kufahamiana, kama mnaendana basi you plan for the next step together, siyo kwa kushikana mashati. Kemea kabisa ujinga huo. Key point, you should know the man vizuri before ufanye maamuzi kama anakufaa kuwa mume au la, hii ikiwa ni pamoja na kujua kama anakupenda, uchumba ni wakati wa kufahamiana na kufanya maamuzi kama kuwe na ndoa au la. Mwanamke hatakiwi kuolewa tu kisa mwanaume alikutaka ukakubali sasa ishakuwa nongwa lazima ndoa.Nimewaona hata humu wamekuja oooh unaongea Ya wazer wa zamani.Ngoja wawe wanabadirisha waume mpaka wakome