Mdada, ukipata mpenzi Mgande

Mdada, ukipata mpenzi Mgande

Kashaliwa huyo. Hii id nina mashaka nayo sana lakini

Mshana simpatii picha akiwa anambamiza bamiza kitandani kama mpira wa chandimu.

Asee jf tamu sana.
Jamani hata sijawahi muona After all sikumaanisha huyu Mshana wenu wa humu wapo kitaa.Kama kutumia jina lake I'm sorry ni sawa ningetaja John
 
Wapambane kuwaganda waolewe, wanaume wenyewe ndo hawa kataa ndoa
Hao kataa ndoa wote hawajapata wale wadada majasusi wanaojua formula zote za kuganda hata above freezing point.

Au labda hawana qualities za ku attract hao wadada.

"There are some ghetto secrets, I can't rhyme in this song"
Nas - "Last Real Brother Alive".
 
ni mume ndio unaweza kumganda msonge mbele lakini mpenzi ambae ni kama daladala muda wowote unashuka anapanda mwengine hapana,
Soma Tena mwanzo wa mume ni Nini Sasa Kama unaachana kirahisi rahisi na wachumba kwa visababu vidogo mume unampataje maana hata mume mtashindwana in short mahusiano ya mume au mchumba ni kuchukuliana.Madhaifu ni mengi ndo ubinadamu
 
Waambie kabisa wakiwa singo maza ndio wanalika zaidi maana wanatapatapa hawajui nani atamuoa.

Wanatupeaga yote wakijua tutawasitiri kwa ndoa af kidume kinasepa
Hii Inaumiza Sana huwa naonaga Sana Single mother mitaani wanavyoteseka kupambana maskini mtoto wake akikosea kidogo tu vya kawaida mtoto atapigwa kipigo Cha mbwa Koko simply because she hate the fact the man dumped her..hey guys let us be serious on a serious note
 
Back
Top Bottom