Mdada huyu ananisumbua

Mdada huyu ananisumbua

Watu wengne wanapenda sifa, au unaona ujiko kupendwa? wew kama ulijijua una mke uliamua kukutana physically ya nn? au umekuta halipi ndo unaanza kutuzingua? Jiheshim bana, mbona wengne tunapendwa sna bt tunakausha tu, we utakuwa unasoma Form three shule ya kata
 
hehehe! Ntakuchafuliaje cv hukoo! Lol. Utajuta kuntafuta.

he he he he! tena nitakuja na ushahidi wa pm zako , sms zako hapa jamvini kuwa eti nisikutaje jina....halafu nitakukomeshaje nitakavyosimulia kwa staili ya mjeda CHAI CHUNGU ,mashabiki kibaoooo.
 
Last edited by a moderator:
he he he he! tena nitakuja na ushahidi wa pm zako , sms zako hapa jamvini kuwa eti nisikutaje jina....halafu nitakukomeshaje nitakavyosimulia kwa staili ya mjeda CHAI CHUNGU ,mashabiki kibaoooo.

hahahahaha!!! ntauplodiaje miphoto yako!!! ntawatajiaje watu kazi unayo fanya...... ntawaoneshaje msgs zako za mpesa na za malavidavi. lazma ufungue ID nyingine au urudi zako fb. lol
 
Last edited by a moderator:
hahahahaha!!! ntauplodiaje miphoto yako!!! ntawatajiaje watu kazi unayo fanya...... ntawaoneshaje msgs zako za mpesa na za malavidavi. lazma ufungue ID nyingine au urudi zako fb. lol

shost leo upo night shift????
 
Umbea unanisumbua tu hapa nausingizi balaaa

lala shost. mi hapa sina usingizi. nimekumbatia midoli weee hadi nimechoka ila wapi!! nimeona niingie jf nikumbatiane na vivuli. lol
 
hahahahaha!!! ntauplodiaje miphoto yako!!! ntawatajiaje watu kazi unayo fanya...... ntawaoneshaje msgs zako za mpesa na za malavidavi. lazma ufungue ID nyingine au urudi zako fb. lol

teh teh teh! hapo kwenye photo nitatoa mpaka zile utakazokuwa unanipigia magoti kulbembelezea penzi langu lol! mbona utajuutaaa kuniona wewe ,utatamani tungeisha [m eti
 
teh teh teh! hapo kwenye photo nitatoa mpaka zile utakazokuwa unanipigia magoti kulbembelezea penzi langu lol! mbona utajuutaaa kuniona wewe ,utatamani tungeisha [m eti

aaaahhh waaapi!!! ntakupiga vikumbo kila nikikuona jf na msonyo km1000000/second. utakondajeeee!!!
 
Watu wengine mnapata bahati halafu mnazichezea. Ni wachache wenye kupata bahati ya kupendwa na kung'ang'aniwa na wanawake, sasa wewe umempata halafu unamletea mapozi. Ngoja akutane na vipanga usijekumtolea mimacho tu!!!:confused2::confused2::confused2:
 
Umelikoroga linywe....yani wewe hujui cha kufanya ukiwa mwanamke humtaki, mbona uliweza kupanga kukutana?
 
muweke wazi kwa kumtaja jina km ni kweli na km huna nia ya kuvuruga ndoa yako.
 
Mshaurini mwenzenu namna ya kulikacha hilo jinamizi la JF, sio mnamnanga tu naye anataka ushauri.
 
mmh...this is funny! unaomba ushauri humu JF. wengine watakushauri um-do, wengine watakushauri umweke wazi humu JF watu wamjue, wengine watakushauri umwambie mkeo, nk. mimi nakwambia wewe ni mwanaume na siku zote mwanaume anapasa kuwa strong katika kufanya maamuzi. halafu unasema kihakika huyo mdada ni mzuri! hapo unamaanisha nini? suppose tuseme ulim-do na mdada akanogewa na kuamua kuchonga mzinga, sasa kukufuata fuata kwake ndo imekuwa kero kwako na ndio umeamua kuleta topic JF, hapo unasemaje?
 
sidhani kama ushauri wowote unaoweza kupewa hapa, we kama ni kweli mpaka mmeshakutana? lazima kulikua na point of weakness kwako mapema au kuna kitu ulitegemea sasa ukakikosa ndo unaomba ushauri, this is childish! so ukishauriwa mchukue awe kimada utafanya hivyo? hebu fikiri kwa makini bwana kitu ambacho unaweza kuandika huku jf, nadhani hii ungeweka facebook
 
km umeoa sidhani km lilikuwa jambo jema kutafuta rafiki wa kike halafu outcome yake unaona km ni usumbufu. Matatizo mengi tunayatengeneza wenyewe!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom