Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,939
- 43,569
Daaaah unasikitisha sana!
Muda huu ameniandikia sms kuniomba nisiweke jina hapa
Muda huu ameniandikia sms kuniomba nisiweke jina hapa
Unataka nigombane na Mamspapu wangu?mwambie mkeo hii habari.
Muda huu ameniandikia sms kuniomba nisiweke jina hapa
acha kujishaua
Tena na foleni hizi za Dar? Huyu kweli anawapima akili WanaJF. Mi namshauri huyu jamaa anitumie namba za huyo bidada mi nionane naye naamini atanipenda na kuniganda na hatimaye nikamuondolea huo usumbufu anaousema na pia nitasuuza roho ya huyo bidada anayeonekana kuwa yu mpweke. Asipotuma hiyo namba basi mjue huyu jamaa anajishaua tu, hana lolote na hivyo huu uzi ufungwe na ukatupwe kwenye dustbin!kilichokufanya ukamwone nini? Umemwacha mkeo kuhangaika barabarani
Unataka nigombane na Mamspapu wangu?
kilichokufanya ukamwone nini? Umemwacha mkeo kuhangaika barabarani
kwa type yako sidhani kama kuna kiumbe wa kukung'ang'ania wewe.....km umetunga unajidhalilisha mwenyewe ,hala acha PM iwe PM mkuu.............mwendo ni kumalizana humo humo privately
namshanga! Humu ukishajipanga kuonana na mtu lazma utongoze au utongozwe. Lol
si ndo hapo! Watu waache kumang'ang'ania asakuta same! Ligentleman la nguvu! Lol.
Habari ya wewe?
ha ha ha! naomba tuonane mimi na wewe best ,halafu mmoja akimganda mwenzake anafunguliwa sread hapa jf
hahahaha! Mi nshaanza kukuandalia thread maana najua utaniganda. Lol
ha ha ha ha ha! weeee nitalianzisha mpaka chit chat ,na kuwatag wakongwe wote ukomee kuniganda ganda kama ruba ebo!